Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Acha yafe, hayajielewi ni maoga ukiwaambia yaandamane ya naogopa kufa nakati kifo ni Natural death, sasa Mungu anaamua kujibu Kwa vitendo nawatapukutika
wewe umeandamana? Au kazi kung'ang'aniza wengine. Kazi ya CHADEMA ni kuwatumia wengine kwa kazi zao chafu. Ndiyo maana hamtafanikiwa, mkiwa na uchungu wa kweli waambie wanachama wenu waandamane. Siko tayari kuumia kwa sababu ya CHADEMA kupata madaraka. Waandamane wenyewe, siyo kazi kushawishi huku watoto wao wamewaficha Ulaya/Dubai. Wakisha pata madaraka wataiwaita watototowao wawepe ulaji.
 
Inasemekana marehemu ambaye pia tumeelezwa kwamba ni mwalimu huko mkoani Simiyu alikwenda kwa mganga huyo kwa lengo la kuaguliwa ili afanikiwe katika biashara yake ya madini. Tunasubiri taarifa za uchunguzi kujua chanzo cha kifo,” amesema.
 
Nipo hospital ya mkapa apa dodoma
Nikupe pole tena nakupa pole, pesa ninayo ingiza hapa Kariakoo kwenye biashara yangu ya makapeti na mapazia ya nyumbani ni zaidi ya million saba Kwa mwezi hiyo sio profit ni NET PROFIT
Hapa umeniacha njia panda CHIEF, ni kwamba unapiga kaz hospital dom na huku kariakoo unauza makapeti?
 
Mwl. Shule ya Msingi iliyopo Wilaya ya Itimila huko mkoani Simiyu.......

Naomba kuuliza kwani mwanadamu ukiridhika unapungukiwa na nini??? Mpaka kwa Mganga, halooo wachagga bado wana hii tabia.

R.I.P MWL. MONICA PATRICK.
 
Wengi tuliocomment kwenye huu uzi ni walimu
Waalimu mliomo humu naomba mjibu mpyayangu village ki hoja kwa kuonyesha umahili wenu, kurushiana matusi sio jibu, hapo mtakua mnafanana, yeye kama yeye tuhuma zake kwake zina ukweli na mashiko kwa% fulani, nyie ni wasomi tena waalimu counter- challenge him, sio kulilia mod kufuta uzi, naona huo ni udhaifu kwa upande wa waalimu, teteeni mwenzenu kwa hoja.
 
Maiti ipo kwenye maji. Pia umefupisha kulitaja kwa kirefu linaitwa jeshi la zimamoto na uokoaji
Wakishaopoa mwili ni kazi ya jeshi la polisi kufanya logistics zake kwa sababu kuna mambo kadhaa yanayohusu scemario na kuchukua maelezo ya awali na kwenda kusimamia postmoterm....
 
Angekuwa analeta hoja angejibiwa, wewe nawe unaonekana tuu chuki moja na mtoa mada, yaani kwa akili yako unaona kabisa anatoa hoja? Hujiulizi kwanini kila mtu anamlalamikia? If possible update your IQ brother, huu upumbavu
 
Hii taarifa imeniumiza sana,Monica ni classmate wangu wa Olevel,alikuwa ni yatima pia.Ameacha simanzi kwa mtoto wake ambae ni mdogo sana na familia pia.Sijui nini kimekukuta Monica lakini hata kwenye group letu la whtasaap la Oleve tutakumiss pia maana ulikuwa active member.

Rest well mate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…