Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wengine wanapiga za rushwa na posho kibao za vikao, per diem, overtime, house allowance na pesa ya chakula ila walimu wanabweka kama mbwa hawana chochoteIfike hatua wapumzishe kada zote mambo sio muswano Sana Pia
InshaalahMungu akusaidie upate wepesi
Ni mwalimuUnaweka emoji za kucheka kwenye kifo Cha mtu ?
Acha yafe, hayajielewi ni maoga ukiwaambia yaandamane ya naogopa kufa nakati kifo ni Natural death, sasa Mungu anaamua kujibu Kwa vitendo nawatapukutikaR.I.P
Radio One wamesema alikwenda kutafuta msaada wa kigangaMwalimu wa Shule ya Msingi Lagangabilili Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Monica Patrick (31) aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha amepatikana akiwa ameuwawa na mwili wake kutelekezwa kichakani mtaa wa Nyang’wena Manispaa ya Musoma.
Ukweli ni kwamba wewe ni mwalimu utake usitake na unaonekana una mawazo mno.Siwezi kuwa mwalimu abadani bora niungane na shetani kumwasi Mungu kuliko kuwa mwalimu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbweha we acha upuuzi kenge we
Sunaona akili zao, yani walimu ni wachawi wanarogana wao Kwa wao na wakati mchaw ni ccm ila hayajielewiRadio One wamesema alikwenda kutafuta msaada wa kiganga
Huyu 100% hana ajira believe meNina uhakika wewe mtoa mada ni Mwalimu na unajaribu kufikisha ujumbe,Maana haiwezekani kila siku unawasema Walimu.
R.I.P Mwalimu
Ila wewe kumer ushikage mpwayungu village usije adabu yako.Hhhahaha bora umeongea ukweli, pole sana mwalimuila
Nikupe pole tena nakupa pole, pesa ninayo ingiza hapa Kariakoo kwenye biashara yangu ya makapeti na mapazia ya nyumbani ni zaidi ya million saba Kwa mwezi hiyo sio profit ni NET PROFITUkweli ni kwamba wewe ni mwalimu utake usitake na unaonekana una mawazo mno.
Ni mwalimu huyu anamsongo mkubwa wa mawazo.Dah kaka mbona unawachukia hvo waalimu hadi marehemu waalimu pia unawakandia kaka au ww ndo una msongo wa mawazo[emoji16][emoji16]
Bora kuwa jobless kuliko kuwa mwalimu bwegeHuyu 100% hana ajira believe me
Sumeona akili zenu, mkishindwa kujibu fact mnatukanaIla wewe kumer ushikage mpwayungu village usije adabu yako.
Ni mwalimu kabisaNina uhakika wewe mtoa mada ni Mwalimu na unajaribu kufikisha ujumbe,Maana haiwezekani kila siku unawasema Walimu.
R.I.P Mwalimu
Huna akiliNi mwalimu huyu anamsongo mkubwa wa mawazo.
We lofer kweliNi mwalimu kabisa
Kama ni hivyo moja ya ndoto zake ni kazi ya Uwalimu sema vigezo hana kwa hiyo machungu ana malizia JF.Huyu 100% hana ajira believe me