luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Sawa mwalimu.Huna akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mwalimu.Huna akili
Lofer kweli wewe, nisiwaze kufanya biashara zangu mwenyewe nifanye kazi ya kipumbavuKama ni hivyo moja ya ndoto zake ni kazi ya Uwalimu sema vigezo hana kwa hiyo machungu ana malizia JF.
Fata maisha yakoSidhani kama upo sawa kwa ulichoandika ni kukosa maadili au stress mnafikia hali hiyo....
Zoezi la kuwafanya wanao wawe wa kishua litakuwa gumu SanaNimekuwa mwl Kwa Muda Sasa, na naona hata wanangu wanaona Mimi kichwani ni sifuri
We unadhani biashara ni bando unaandika utumbo wowote,Biashara inahitaji mtu mwenye akili timamu na wewe huna.Lofer kweli wewe, nisiwaze kufanya biashara zangu mwenyewe nifanye kazi ya kipumbavu
Daah aisee una shida sana waone wataalamu...Fata maisha yako
Ana stress za kufa mtu. Kaka mpwayungu village njoo nikuliwaze. Hakikisha unakunywa supu ya pweza kwanzaDaah aisee una shida sana waone wataalamu...
Ni mwalimu mwenye stress zake namjuwa tunaishi nae hapa kitaa.Kama ni hivyo moja ya ndoto zake ni kazi ya Uwalimu sema vigezo hana kwa hiyo machungu ana malizia JF.
Hapana ni mwalimu uyu alikopa anadaiwa pesa ndefu now anamsongo mkubwa wa mawazo kwani pesa aliyokopa imeisha bila kufanya cha maana huku mshahara unatoka kiduchu [emoji16][emoji16][emoji16]Naamin ww n mwalimu uliyemaliza mwaka 2015 wa masomo ya arts toka mwaka huo huna ajira ss unachofanya n kukandia walimu tu
Saana, kataa ualimu ualimu ni laanaZoezi la kuwafanya wanao wawe wa kishua litakuwa gumu Sana
Pole sanaWe unadhani biashara ni bando unaandika utumbo wowote,Biashara inahitaji mtu mwenye akili timamu na wewe huna.
Walimu ni maboya tuuNaamin ww n mwalimu uliyemaliza mwaka 2015 wa masomo ya arts toka mwaka huo huna ajira ss unachofanya n kukandia walimu tu