Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Shida ndizo hupelekea mtu kufanya mambo haya,fikiri mwalimu msomi alijua kuwa anaenda kujikomboa kwa biashara ila kakutana na sharti la mganga ndo imekuwa mwisho wa ualimu na biashara kwa pamoja.
Walimu ni matahila huwa nasema kila siku
 
Moderator Maxence Melo hivi huyu jamaa huwa mnamuogopa, nilipandisha uzi wa biashar ya pikipiki mkaufuta, huyu anakashifu walim tena marehem halafu mpo kimya kama hamuoni,


achen upendeleo ifike mahali mpigee ban uzi za huyu jamaa za uzalilishaj, anaweza kuwa ni mwalim huyu ana stress z maisha haiwezekan apondee kias hiki. Sio fair kabisa kupondea kias hiki
Chizi kweli wewe, unafiri hapa ni kwenu, jamiiforum is free chat where we dare to talk
 
Shida nini, ni laana au msongo wa mawazo? Mbona mnakufa kila siku, walimu msipojirekebisha mtaisha, Kuna yule nae aligongwa na nyuki mpaka akafa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

----
Mwalimu wa Shule ya Msingi Lagangabilili Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Monica Patrick (31) aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha amepatikana akiwa ameuwawa na mwili wake kutelekezwa kichakani mtaa wa Nyang’wena Manispaa ya Musoma.

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Mara, Agostino Magere amethibitisha mwili huo kuopolewa kutoka kwenye kichaka kilichoko ndani ya maji pembezoni mwa Ziwa Victoria.

“Februari 19, 2023, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara tulipokea taarifa ya mwili wa mtu kuonekana ikielea juu ya maji kwenye kichakani kilichopo mtaa wa Nyang’wena Manispaa ya Musoma na kweli tullipofika tuliukuta na kuuopoa ukiwa umeharibika.

“Marehemu ametambulika kwa jina la Monica Patrick aliyekuwa mwalimu katika shule moja ya msingi mkoani Simiyu,” amesema Kamanda Magere

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu Februari 20, 2023, Kamanda huyo wa Zimamoto na Uokoaji amesema mwili wa Mwalimu Monica umekabidhiwa kwa wataalam wa afya kwa uchunguzi zaidi kubaini chanzo cha kifo chake.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Nyang’wena, Selemani Makanja amesema taarifa za awali zinadai Mwalimu Monica ambaye ndugu zake wametoa tangazo la kutoweka kwake kupitia njia ya mitandao ya kijamii alifariki dunia baada ya kunyweshwa dawa na mtu anayeaminika kuwa ni mganga wa kienyeji kwa lengo la kufanikiwa kibiashara.

“Inasemekana marehemu ambaye pia tumeelezwa kwamba ni mwalimu huko mkoani Simiyu alikwenda kwa mganga huyo kwa lengo la kuaguliwa ili afanikiwe katika biashara yake ya madini. Tunasubiri taarifa za uchunguzi kujua chanzo cha kifo,” amesema.

Amesema mwili wa merehemu Monica umekutwa eneo la mradi wa majitaka ambao haujakamilika, huku akiiomba Serikali kukamilisha mradi huo kuondoa kichaka ambacho kimegeuka kuwa

Kupitia mitandao ya kijamii, familia ya Mwalimu Herman Mlale wa Sanya Juu Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro ilitangaza kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa mtoto wao Monica Patrick, ikiomba mwenye taarifa ama kuwasiliana na familia hiyo kupitia namba tatu za simu zilizoambatana na tangazo hilo au kituo chochote cha polisi.

Taarifa zilizoifikia Mwananchi zinaeleza kuwa mwili wa Mwalimu Monica tayari umewasili nyumbani kwao Sanya Juu ambako mazishi yanatarajiwa kufanyika leo kutokana kuharibika.

Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinadai mwalimu Monica ambaye haijajulikana iwapo alikuwa akijihusisha ba biashara ya madini kama inavyoelezwa baada ya kifo chake, alitoweka muda mfupi baada ya kupokea fedha za mkopo kiasi cha Sh5 milioni kutoka katika moja ya taasisi za fedha mkoani Simiyu.

Chanzo: Mwananchi
Sasa hapo motive ya wauaji ni very obvious, wamempora pesa na kumuua.

Ila nyie mods , Moderator , mnaona maudhui ya huu uzi hayapaswi kuwa moderated, mnaona sawa tu?
 
Sasa hapo motive ya wauaji ni very obvious, wamempora pesa na kumuua.

Ila nyie mods , Moderator , mnaona maudhui ya huu uzi hayapaswi kuwa moderated, mnaona sawa tu?
Huko timamu wewe, sasa kama marehemu kafa Kwa upumbavu wake unataka sisi ndotuhuzunike, lofer limetoka simiyu uko kwenda kutafuta uchawi limekufa then mje mseme mpwayungu ni mbaya
 
Huko timamu wewe, sasa kama marehemu kafa Kwa upumbavu wake unataka sisi ndotuhuzunike, lofer limetoka simiyu uko kwenda kutafuta uchawi limekufa then mje mseme mpwayungu ni mbaya
Si sahihi kusema yeye ni lofa, mtu anaweza kuvamiwa na jambazi popote na akauwawa.., nadhani ni tragic incident, Mungu awape nguvu familia yake.., ni wakati mgumu wanapitia, pengine alikuwa na watoto.., inasikitisha.

By the way, watch your mouth.
 
Shida nini, ni laana au msongo wa mawazo? Mbona mnakufa kila siku, walimu msipojirekebisha mtaisha, Kuna yule nae aligongwa na nyuki mpaka akafa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

----
Mwalimu wa Shule ya Msingi Lagangabilili Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Monica Patrick (31) aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha amepatikana akiwa ameuwawa na mwili wake kutelekezwa kichakani mtaa wa Nyang’wena Manispaa ya Musoma.

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Mara, Agostino Magere amethibitisha mwili huo kuopolewa kutoka kwenye kichaka kilichoko ndani ya maji pembezoni mwa Ziwa Victoria.

“Februari 19, 2023, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara tulipokea taarifa ya mwili wa mtu kuonekana ikielea juu ya maji kwenye kichakani kilichopo mtaa wa Nyang’wena Manispaa ya Musoma na kweli tullipofika tuliukuta na kuuopoa ukiwa umeharibika.

“Marehemu ametambulika kwa jina la Monica Patrick aliyekuwa mwalimu katika shule moja ya msingi mkoani Simiyu,” amesema Kamanda Magere

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu Februari 20, 2023, Kamanda huyo wa Zimamoto na Uokoaji amesema mwili wa Mwalimu Monica umekabidhiwa kwa wataalam wa afya kwa uchunguzi zaidi kubaini chanzo cha kifo chake.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Nyang’wena, Selemani Makanja amesema taarifa za awali zinadai Mwalimu Monica ambaye ndugu zake wametoa tangazo la kutoweka kwake kupitia njia ya mitandao ya kijamii alifariki dunia baada ya kunyweshwa dawa na mtu anayeaminika kuwa ni mganga wa kienyeji kwa lengo la kufanikiwa kibiashara.

“Inasemekana marehemu ambaye pia tumeelezwa kwamba ni mwalimu huko mkoani Simiyu alikwenda kwa mganga huyo kwa lengo la kuaguliwa ili afanikiwe katika biashara yake ya madini. Tunasubiri taarifa za uchunguzi kujua chanzo cha kifo,” amesema.

Amesema mwili wa merehemu Monica umekutwa eneo la mradi wa majitaka ambao haujakamilika, huku akiiomba Serikali kukamilisha mradi huo kuondoa kichaka ambacho kimegeuka kuwa

Kupitia mitandao ya kijamii, familia ya Mwalimu Herman Mlale wa Sanya Juu Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro ilitangaza kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa mtoto wao Monica Patrick, ikiomba mwenye taarifa ama kuwasiliana na familia hiyo kupitia namba tatu za simu zilizoambatana na tangazo hilo au kituo chochote cha polisi.

Taarifa zilizoifikia Mwananchi zinaeleza kuwa mwili wa Mwalimu Monica tayari umewasili nyumbani kwao Sanya Juu ambako mazishi yanatarajiwa kufanyika leo kutokana kuharibika.

Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinadai mwalimu Monica ambaye haijajulikana iwapo alikuwa akijihusisha ba biashara ya madini kama inavyoelezwa baada ya kifo chake, alitoweka muda mfupi baada ya kupokea fedha za mkopo kiasi cha Sh5 milioni kutoka katika moja ya taasisi za fedha mkoani Simiyu.

Chanzo: Mwananchi
Stress zako zilizosababishwa na wewe mwenyewe juu ya deni lako serikalini linalokupunguzia ki mshahara chako isiwe chanzo cha kuchafua ualimu,

Umekaa unausema vibaya ualimu mbona uuachi kama we mwamba kweli

Na usipokuwa makini kutatua changamoto zako maishani utachizi wewe.
 
Si sahihi kusema yeye ni lofa, mtu anaweza kuvamiwa na jambazi popote na akauwawa.., nadhani ni tragic incident, Mungu awape nguvu familia yake.., ni wakati mgumu wanapitia, pengine alikuwa na watoto.., inasikitisha.

By the way, watch your mouth.
Yani iko hivi, angevamiwa na wezi ningetoa hata pesa ya jeneza ila JITU lililokufa Kwa kutafuta uchawi tena jalimu mm siwez huzunika, usimwache mchawi akaishi
 
Ana stress za kufa mtu. Kaka mpwayungu village njoo nikuliwaze. Hakikisha unakunywa supu ya pweza kwanza
Yeah anamsongo mkubwa wa mawazo juu ya deni alilokopa serikalini na hela imeisha bila kufanya la maana,

Sasa ujinga wake unamfanya achukie kazi ya ualimu lakini chakushangaza aiachi kazi hii

Awe makini atachizi awe mweu.
 
Back
Top Bottom