Picha Iko wapIla mzuri
Na mm nimewaza hivyo, jamaa inawezekana anapitia wakat mgumu sana maana inaonekana aliyoyategemea akiwa chuoni akisomea ualimu na aliyokutana nayo kazini ni vitu viwili tofautiNina uhakika wewe mtoa mada ni Mwalimu na unajaribu kufikisha ujumbe,Maana haiwezekani kila siku unawasema Walimu.
R.I.P Mwalimu
Nimekuja kugundua wewe jamaa kichwani humo ni empty set.🚮😇Hhhahaha Mavi yake, ugali na maharage ya soya ukiweka vitunguuu unaona umewin
Sasa mbona unajisumbua kunitafakariNimekuja kugundua wewe jamaa kichwani humo ni empty set.[emoji706][emoji56]
Uhuuhuhuhu poleni sana, njoo mda huu Kariakoo mtaa wa uhuru uliza CHINA PLAZA fool ya tano utanikuta nikuachie dollar mia ukale na watoto wakoNa mm nimewaza hivyo, jamaa inawezekana anapitia wakat mgumu sana maana inaonekana aliyoyategemea akiwa chuoni akisomea ualimu na aliyokutana nayo kazini ni vitu viwili tofauti
Hivi unaamini huyu mtoa mada ana ajira ya ualimu? Kwenye r anaweka l? Mwalimu wa wapi huyo?lmaoStress zako zilizosababishwa na wewe mwenyewe juu ya deni lako serikalini linalokupunguzia ki mshahara chako isiwe chanzo cha kuchafua ualimu,
Umekaa unausema vibaya ualimu mbona uuachi kama we mwamba kweli
Na usipokuwa makini kutatua changamoto zako maishani utachizi wewe.
Fool ya tano ndio kitu gani bossUhuuhuhuhu poleni sana, njoo mda huu Kariakoo mtaa wa uhuru uliza CHINA PLAZA fool ya tano utanikuta nikuachie dollar mia ukale na watoto wako
Sio mwalimu huyu bwana we hana ajiraRejea uzi wa maombi ya ualimu tamisemi mwaka jana, jamaa ni mwalimu sem pdf ilimtema.
Mm sio mwalimuHivi unaamini huyu mtoa mada ana ajira ya ualimu? Kwenye r anaweka l? Mwalimu wa wapi huyo?lmao
Typing error, floor ya tanoFool ya tano ndio kitu gani boss
NikomeMwalimu Mpwayungu village
Mkuu sio hivyo kama unavyofikiria ,ngoja nikipata muda ntakuja hapa kukuelezea vizuri nadhani utaweza kubadili mindset yako juu ya yeyote yule aliyeingia game la ualimu.Siulofa wake Sasa, walimu Hawana akili
Usipoteze muda wako, huyu anatafuta umaarufu humu nadhani keshaupata.Mkuu sio hivyo kama unavyofikiria ,ngoja nikipata muda ntakuja hapa kukuelezea vizuri nadhani utaweza kubadili mindset yako juu ya yeyote yule aliyeingia game la ualimu.