Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Sina taaluma ya upelelezi ya kipolisi.

Ila nimeshapata majibu ya awali

Pesa ya mkopo milioni 5 ndio sababu ya kifo chake.

Waganga wanajua vizuri. Hapo waganga wamempiga na kupoteza ushahidi wamemuua.

Ni kama kesi ya yule mama aliyeuwawa na binti yake akishirikiana na waganga wa kienyeji moshi.

Waganga kwenye hela sio watu. Wakishakupiga hela nyingi wanakuua ili kupoteza ushahidi
 
Boss sio walimu wote ni malofa, wapo wanaoishi vema tu. Dingi katulea Kwa ualimu huo huo na hatujawahi Lia njaa njaa yaani inshort tumeishi mpaka kesho Kila mtu anajitegemea kivyake. Dingi asha retire anakula pension tu ndo kwanza anazidi kunawiri😀😀 ndinga kali na pisi anachakata kama kawa
 
Na mm nimewaza hivyo, jamaa inawezekana anapitia wakat mgumu sana maana inaonekana aliyoyategemea akiwa chuoni akisomea ualimu na aliyokutana nayo kazini ni vitu viwili tofauti
Uhuuhuhuhu poleni sana, njoo mda huu Kariakoo mtaa wa uhuru uliza CHINA PLAZA fool ya tano utanikuta nikuachie dollar mia ukale na watoto wako
 
Hivi unaamini huyu mtoa mada ana ajira ya ualimu? Kwenye r anaweka l? Mwalimu wa wapi huyo?lmao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…