Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

Tuwe tu makini na hizi habari maana tangu Lema amenyamazishwa, anaweza akaja kwa staili nyingine ya kulivuruga jiji. Mtekaji gani akuteke, akueleze kosa lako, halafu akuachie?

Maelezo ndo hayo na documents zote ziko hapo. Ushahidi ndo huo. Suala liko Polisi. Nashangaa, sijui wamefikia wapi
 
Rudia kusoma utaelewa

Haijawa wazi mahusiano yao yakoje. Hajaweka wazi. Zaidi ya kusema kwenye magrupu ya WhatsApp. Aseme wameanzia wapi mpaka wakajikuta kwenye grupu moja. Wamechukuliana mabwana? Walisoma wote? Mambo ya vyama? Majirani? Ndugu?
 
Hivi ile kesi ya Kagenzi iliishia wapi?

Kama tayari keshatoa maelezo yake polisi na uchunguzi unaendelea kulikuwa na haja gani yakukimbilia mitandaoni sasa?

Ebwana eee, mkuu, asubiri mpaka mwezi upite?
 
Mbona unatokwa na povu sana kwa hiyo huu ukatili hukutakiwa kuripotiwa kwenye mitandaoni?

Hizo sentensi tatu ndiyo povu?

Anaripoti au anatuhumu watu ovyo ilhali uchunguzi wa polisi tayari unaendelea?
 
Inahitaji zaidi ya moyo wa uvumilivu kusimamia ukweli na haki katika mazingira yetu.
...tunasoma historia lakini hatujifunzi kutokana na historia..
Pole sana Batuli Mungu akujalie wepesi haki hupingwa na wengi ila unabaki ulivyo.
Wataua wengi ila mwisho wa siku watazikwa na wao.
Hakuna binadamu atakayeishi milele,Wauajk watakufa nao.
 
Wewe hujitambui unatetea upuuzi angekuwa ni mama yako amefanyiwa huo ukatili ungeandika huo upuuzi?
Hizo sentensi tatu ndiyo povu?

Anaripoti au anatuhumu watu ovyo ilhali uchunguzi wa polisi tayari unaendelea?
 
Wewe hujitambui unatetea upuuzi angekuwa ni mama yako amefanyiwa huo ukatili ungeandika huo upuuzi?

Nani katetea nini? Acha kurukaruka rudi kwenye mada.

Kulikuwa kuna haja gani ya yeye kukimbilia kutuhumu watu mitandaoni kwa hisia tu ilhali tayari polisi wanafanya uchunguzi wa maelezo aliyowapa?
 
Nani katetea nini? Acha kurukaruka rudi kwenye mada.

Kulikuwa kuna haja gani ya yeye kukimbilia kutuhumu watu mitandaoni kwa hisia tu ilhali tayari polisi wanafanya uchunguzi wa maelezo aliyowapa?
Kuna shida gani watanzania wakijua alichofanyiwa?
 
Hamnaga wapuzi wanaonikeraga kama hao wanaochanganya mafuta na maji ...yan mnaleta siasa kila mahala.kama mwalimu anayo madai ya msingi yashughulikiwe tuachen figisu figisu tuijenge tz rais alisema mambo hayo yataendelea 2020 ...lema hapo anafata nini kwenye hii kesi.Lumumba inabidi mfungue kijidarasa kidogo cha jion cha kuwapiga msasa vijana wenu Wa mitandaoni hatuwez ifikia tz ya viwanda tukiwa na watokwa povu Wa aina hii.achen polisi wafanye kazi yao
 
Hamnaga wapuzi wanaonikeraga kama hao wanaochanganya mafuta na maji ...yan mnaleta siasa kila mahala.kama mwalimu anayo madai ya msingi yashughulikiwe tuachen figisu figisu tuijenge tz rais alisema mambo hayo yataendelea 2020 ...lema hapo anafata nini kwenye hii kesi.Lumumba inabidi mfungue kijidarasa kidogo cha jion cha kuwapiga msasa vijana wenu Wa mitandaoni hatuwez ifikia tz ya viwanda tukiwa na watokwa povu Wa aina hii.achen polisi wafanye kazi yao
 
pole mwalimu kwa maswahiba naamini ujumbe wako umefika kwa jamii utapona .
 
Hamnaga wapuzi wanaonikeraga kama hao wanaochanganya mafuta na maji ...yan mnaleta siasa kila mahala.kama mwalimu anayo madai ya msingi yashughulikiwe tuachen figisu figisu tuijenge tz rais alisema mambo hayo yataendelea 2020 ...lema hapo anafata nini kwenye hii kesi.Lumumba inabidi mfungue kijidarasa kidogo cha jion cha kuwapiga msasa vijana wenu Wa mitandaoni hatuwez ifikia tz ya viwanda tukiwa na watokwa povu Wa aina hii.achen polisi wafanye kazi yao
 
Nani katetea nini? Acha kurukaruka rudi kwenye mada.

Kulikuwa kuna haja gani ya yeye kukimbilia kutuhumu watu mitandaoni kwa hisia tu ilhali tayari polisi wanafanya uchunguzi wa maelezo aliyowapa?
Screenshot_2016-10-12-16-10-47.png
 
Back
Top Bottom