Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

Hiyo mikopo aliipeleka wapi? Na bado akawa mtoro kazini hadi kufikia kupewa adhabu hiyo. Hapo TSC kosa lao ni nini? Yaani ukope kope kwa interest zako na bado uwe mtoro kazini halafu uendelee kubembelezwa?
Labda alikopa kwa ajili ya kwenda kuanza maisha ya kujiajiri sasa harakati hizo akajikuta analazimika kua mtoro kazini ( japo hiyo siyo sababu ya msingi) na alikoenda napo shughuli zake zikabuma na mikopo nayo ndiyo bado anadaiwa,tena mokopo mingine ni mikopo umiza.
 
Hiyo mikopo aliipeleka wapi? Na bado akawa mtoro kazini hadi kufikia kupewa adhabu hiyo. Hapo TSC kosa lao ni nini? Yaani ukope kope kwa interest zako na bado uwe mtoro kazini halafu uendelee kubembelezwa?
Nilikuwa nasubiri kuona mtu jasiri wa kusema ukweli.
Wewe siyo mnafiki wa kufuata mkumbo, kubembeleza wakosaji.
Big up mkuu.
 
Back
Top Bottom