Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

Walimu waboreshewe maslahi kama wabunge.

Nilisikia report ya katibu mkuu wa tume ya Utumishi wa Walimu kwamba asilimia 50 ya Walimu wamefukuzwa kazi kwa utoro baada ya kuishi ktk mazingira magumu.

Mbona hatusikii idadi hiyo kuacha kazi Benki Kuu, TRA, Uhamiaji, Bandari, Jeshi?
Si ndio hapo Mkuu!!!.
 
Sijui hizo pesa kafanyia nini
Mikopo ya muda mrefu miaka 9 mingine hujui alikopa lini, unaweza kuta hiyo nusu mshahara iliyokatwa ndio ilibaki kama net salary, pole mwalimu..kwani sheria ua kusimamishwa na kulipwa nusu mshahara bado inaendelea?
 
Kuna rafiki yangu alipata bahati ya ajira alivyoingia kazini wakongwe wakamshauri akope fasta kwa Kigezo kuwa ajira hazina mwenyewe unaweza ukafukuzwa pia.

Alovyokuja kuniambia mi nikamshauri asikope ikiwa hana malengo yoyote ya huo mkopo maana unaweza ukakopa kwakua huna malengo ukatumia mkopo vibaya hela ikaisha na bado ukafukuzwa kazi huna Cha maana ulicho fanya.

Jamaa alinielewa sahiv ana miaka 6 ana nidhamu sana ya pesa kajenga nyumba nzuri ya kisasa tu na hana mkopo nilimshauri akope ili ajenge akasema kukopa na kujenga ni kuzika hela anajua alivyo jibana akaamsha mjengo wake (Hana familia) sahiv kaanzisha biashara anasema anaangalia mzunguko utavyokua ndo akachukue mkopo aingize kukuza biashara

Huyu muhuni ana nidham ya pesa balaa hana starehe Wala matumizi mabaya ya pesa na ni bahili sana kukupa 10k bila sababu sahau kabisa anaweza kulia hana kitu ila bank ana balance ya 2M Ila mshahara wake haufiki hata 1M
Mi nafikiri hii mikopo bila malengo ya utafanyia nini ni mizigo mikubwa sana na ni chanzo cha umasikini maana wakat wa Makato Kuna riba pia lazima ulipe mwisho wa siku huna chanzo chochote Cha kipato lazima uone kazi chungu
 
Mshahara sisimizi majukumu tembo.
 
Watumishi wote wa umma ni matako matupu hamna kitu, hao walimu wasimamizi wa chaguzi za wizi ndio kabisaaaaa unakuta hana hata hela ya kununua pedi lakini wamo tu, kuna tatizo liko mahala sio bure, kamtu kanapokea laki na ishirini na kana panga kana familia na kitambi kameota mimi huwa sielewe kabisaaaaaa hii ni miujiza mikubwa sana.
 
Watumishi wote wa umma ni matako matupu hamna kitu, hao walimu wasimamizi wa chaguzi za wizi ndio kabisaaaaa unakuta hana hata hela ya kununua pedi lakini wamo tu, kuna tatizo liko mahala sio bure, kamtu kanapokea laki na ishirini na kana panga kana familia na kitambi kameota mimi huwa sielewe kabisaaaaaa hii ni miujiza mikubwa sana.
Kama walimu ni matako matupu, wewe mwanafunzi wao umepata wapi huo ujuaji?

Kwanini usiwe na staha japo ya kuigiza tu badala ya matusi kwa walimu wako?

Mshukuru mungu kwa kuwa amekupa wewe akamnyima mwalimu, badala ya kuwatukana hao walimu.
 
Kama walimu ni matako matupu, wewe mwanafunzi wao umepata wapi huo ujuaji?

Kwanini usiwe na staha japo ya kuigiza tu badala ya matusi kwa walimu wako?

Mshukuru mungu kwa kuwa amekupa wewe akamnyima mwalimu, badala ya kuwatukana hao walimu.
acha mihemko mwalimu nimesema watumishi wa umma
 
Watumishi wote wa umma ni matako matupu hamna kitu, hao walimu wasimamizi wa chaguzi za wizi ndio kabisaaaaa unakuta hana hata hela ya kununua pedi lakini wamo tu, kuna tatizo liko mahala sio bure, kamtu kanapokea laki na ishirini na kana panga kana familia na kitambi kameota mimi huwa sielewe kabisaaaaaa hii ni miujiza mikubwa sana.
Nmecheka kinoma 😂
 
Kqa utafiti wangu walimu wenye maisha mazuri wako mjini sio kijijini

Mjini exposure,mzunguko wa mkubwa hela, inspiration, fursa kibao

Kijijini haya mambo hutoyaona kule utazungukwa na masikini kila kona hela zenyewe hawana.

Walimu wa mjini wana nyumba kali kali wanadrive hata magari nimeshawashudia ila sio kijijini watakuloga ufe mapema.
Lakini wote mishahara SAwa sema wanatofautiana exposure
 
Watumishi wote wa umma ni matako matupu hamna kitu, hao walimu wasimamizi wa chaguzi za wizi ndio kabisaaaaa unakuta hana hata hela ya kununua pedi lakini wamo tu, kuna tatizo liko mahala sio bure, kamtu kanapokea laki na ishirini na kana panga kana familia na kitambi kameota mimi huwa sielewe kabisaaaaaa hii ni miujiza mikubwa sana.
Nimecheka sana, kwamba mtu anaridhika mapema
 
Utakuta huyo kakopa fedha nyingi toka huko benki na taasisi za mitaani za fedha, alafu kaenda kuhonga bodaboda au kajamaa,akaanza kula bata kazini haonekani. Alafu anaanza kukatwa marejesho, fedha anaiona ndogo kisha akaanza utoro,akaonywa hakusikia na mwisho inaelekea hiyo adhabu.

Pole, graduate hutakiwi kuwa mpumbavu
 
Back
Top Bottom