Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

Wa zamani sio siku hizi.
Graduate anavuta sio chini ya laki 8 akiwa na masters anavuta 1.8.
Ukipata Kazi ya ualimu omba vijijini life is simple Hakuna kufatiliana baada ya Kazi piga ujasilimali.
Timiza wajibu wako wasome wasisome shauri yao na wazazi wao ukijifanya unawafatilia fatilia Ili wasome watakuroga.
Anaetaka kusoma mpe ushirikiano.
Wikiendi kuwa bize kwenye mishe zako.
Unafungua sana code mkuu, huwezi kukuta mwl wa kijijini anafundisha twisheni eti kuongeza kipato walimu mlioko town pigeni tuition sana tena muwafuta watoto majumbani kwao
 
Jibu kwanza swali langu mkuu ni system gani inaweza kukulipa nusu mshahara afu useme imekuondoa?
Ooh!

Kumbe hatukuelewana mkuu!

Nilichokuwa nakijadili mimi ni kwenye huu utoro mpya alioufanya baada ya kulipwa elf34 na kukimbia kazi, sio ule wa zamani alioenda na akarejea kazini kisha kuadhibiwa kwa kukatwa mshahara!

Sasa hivi kaondoka kiutoro kwa mara nyingine tena bila ruhusa ya mwajiri wake.

Baada ya muda flani kupita asiporejea, bodi ya uchunguzi itakaa na kumfuta katika daftari la ajira, ndicho nilichokuwa nakijadili mimi kwa kusema kuwa, anakokimbilia hata akitafuta kazi kuajiriwa itakuwa si rahisi kwa sababu sasa hivi "data base" ya daftari la ajira kwa watumishi wa umma ni moja tofauti na zamani.
 
Ooh!

Kumbe hatukuelewana mkuu!

Nilichokuwa nakijadili mimi ni kwenye huu utoro mpya alioufanya baada ya kulipwa elf34 na kukimbia kazi, sio ule wa zamani alioenda na akarejea kazini kisha kuadhibiwa kwa kukatwa mshahara!

Sasa hivi kaondoka kiutoro kwa mara nyingine tena bila ruhusa ya mwajiri wake.

Baada ya muda flani kupita asiporejea, bodi ya uchunguzi itakaa na kumfuta katika daftari la ajira, ndicho nilichokuwa nakijadili mimi kwa kusema kuwa, anakokimbilia hata akitafuta kazi kuajiriwa itakuwa si rahisi kwa sababu sasa hivi "data base" ya daftari la ajira kwa watumishi wa umma ni moja tofauti na zamani.
Kwa taarifa yako nikipata cheki namba kama sina cheti feki nikitaka kurudi kazini narudi tu muda wowote,kama una ndugu au rafiki anae hiyo shida nipm tusaidiane
 
Unafungua sana code mkuu, huwezi kukuta mwl wa kijijini anafundisha twisheni eti kuongeza kipato walimu mlioko town pigeni tuition sana tena muwafuta watoto majumbani kwao
Kuwafungulia code wanaodharau Kazi ya ualimu, walimu wengi wamejenga nyumba za kisasa nzuri tu.True pia fursa nyingi mjini.
Maisha ni akili
 
Walimu waboreshewe maslahi kama wabunge.

Nilisikia report ya katibu mkuu wa tume ya Utumishi wa Walimu kwamba asilimia 50 ya Walimu wamefukuzwa kazi kwa utoro baada ya kuishi ktk mazingira magumu.

Mbona hatusikii idadi hiyo kuacha kazi Benki Kuu, TRA, Uhamiaji, Bandari, Jeshi?
Walimu wanapata pesa ndefu tu,sema ni matumizi yako ndo yataamua sasa...
 
Wa zamani sio siku hizi.
Graduate anavuta sio chini ya laki 8 akiwa na masters anavuta 1.8.
Ukipata Kazi ya ualimu omba vijijini life is simple Hakuna kufatiliana baada ya Kazi piga ujasilimali.
Timiza wajibu wako wasome wasisome shauri yao na wazazi wao ukijifanya unawafatilia fatilia Ili wasome watakuroga.
Anaetaka kusoma mpe ushirikiano.
Wikiendi kuwa bize kwenye mishe zako.
Degree 716000/=
 
Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.

Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini.

Mwalimu huyo wa kike aliishi maisha magumu sana hapo hapo shuleni ,alikosa mpaka hela ya kula ilimlazimu auze miwa na maembe aliyoyaokota hapo shuleni ili apate pesa ya kula.

Uzalendo ukamshinda baada ya mazingira magumu ya kazi aliamua kuondoka kazini bila ya taarifa kwa muajiri.

Habari nilizozipata mwalimu huyo yupo Mlandizi akifanya kazi ya kuhudumia wateja bar.

TSC mnapotoa adhabu ya kupunguza mishahara kwa walimu mzingatie iwapo kama mtuhumiwa ana mikopo benki, isitoshe adhabu ya kupunguza mshahara ni ya kikatili maana mshahara wenyewe hautoshi hapo hapo mnaupunguza.

Habari nilizozipata huyu mwalimu alikuwa na madeni benki na taasisi za fedha hapo Bagamoyo.

Kutokana na mazingira magumu ya kazi mwalimu huyo kaamua kutelekeza kazi yake.
Alikuwa hana wito wa ualimu
 
Hakuna mshahara wa elfu 34 serikalini katika mfumo rasmi wa ajira hii taarifa ni ya uongo.
 
Walimu wanasomesha watoto shule za mamilion. Watoto wanamaliza vyuo vikuu. Unatokea mmbwa mmoja unawazaririsha wengine.

Na auze bar na auze na K na bado atalaaniwa
 
Labda kama huko bagamoyo wana mfumo wao wa ulipaji wa mshahara kwa watumishi wa umma
 
Huyu inaonekana madeni mengine hayajapita kwenye mfumo wa mshahara na ndio maana anabaki na fedha hiyo, na kama ameadhibiwa kwa mujibu wa sheria hakuna kosa hapo aendelee kupambana.
 
Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.

Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini.

Mwalimu huyo wa kike aliishi maisha magumu sana hapo hapo shuleni ,alikosa mpaka hela ya kula ilimlazimu auze miwa na maembe aliyoyaokota hapo shuleni ili apate pesa ya kula.

Uzalendo ukamshinda baada ya mazingira magumu ya kazi aliamua kuondoka kazini bila ya taarifa kwa muajiri.

Habari nilizozipata mwalimu huyo yupo Mlandizi akifanya kazi ya kuhudumia wateja bar.

TSC mnapotoa adhabu ya kupunguza mishahara kwa walimu mzingatie iwapo kama mtuhumiwa ana mikopo benki, isitoshe adhabu ya kupunguza mshahara ni ya kikatili maana mshahara wenyewe hautoshi hapo hapo mnaupunguza.

Habari nilizozipata huyu mwalimu alikuwa na madeni benki na taasisi za fedha hapo Bagamoyo.

Kutokana na mazingira magumu ya kazi mwalimu huyo kaamua kutelekeza kazi yake.
Waache waisome namba. Huenda akili zao zitakaa sawa.
 
Haiwezekani maana kwenye mfumo wa ulipaji mishahara moja ya tatu hairuhusu.
Ukiwa umekopa benk umebakiwa na 1/3, halafu ukapata kosa la kukatwa mshahara na serikali, makato yanapenya tu bila shida. Labda itakuwa huyo Mwl pia alikuwa amekopa zile sehemu za kuacha ATM ndio maana alibakiwa na wlfu 34.

Halafu hiyo 1/3 naona huwa wameiweka kwa ajili ya mabenki, na siyo kwa ajili ya makato ya serikali. Kwa mfano, hata bodi ya mikopo haiangalii 1/3, inapenya tu.

Kama jambo hulijui, penda kutulia halafu utajifunza kwa watu!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom