Sio kwa kumpondea mwalimu,lakini katika taaluma ngumu kufukuzwa au kupewa adhabu serikalini ni taaluma ya ualimu,nadhani kuja wakafikia hatua hiyo,huyo mwalimu ni mtoro sugu tena aliyekubuhu, Kuna Wakati nilifanya kazi na mwalimu x wa kike,kule Lindi ,yeye alikuwa akinywa pombe na kulewa alikuwa ana anguka chini anapoteza fahamu ,watu wanaanza kumbaka kwa zamu,kwa huruma ya mkurugenzi,walimuhamisha toka vijijini na kumleta mjini ili awe chini ya usimamizi lakini hakubadilika,alienywa Mara kadhaa lakini hakusikia,mwisho wa siku alifukuzwa kazi.
Yaani ukiona mwalimu anapewa adhabu za namna hii ujue kweli huyu mwalimu ni tatizo katika utumishi.