Ooh!
Kumbe hatukuelewana mkuu!
Nilichokuwa nakijadili mimi ni kwenye huu utoro mpya alioufanya baada ya kulipwa elf34 na kukimbia kazi, sio ule wa zamani alioenda na akarejea kazini kisha kuadhibiwa kwa kukatwa mshahara!
Sasa hivi kaondoka kiutoro kwa mara nyingine tena bila ruhusa ya mwajiri wake.
Baada ya muda flani kupita asiporejea, bodi ya uchunguzi itakaa na kumfuta katika daftari la ajira, ndicho nilichokuwa nakijadili mimi kwa kusema kuwa, anakokimbilia hata akitafuta kazi kuajiriwa itakuwa si rahisi kwa sababu sasa hivi "data base" ya daftari la ajira kwa watumishi wa umma ni moja tofauti na zamani.