Binti Msichana
Senior Member
- Oct 9, 2016
- 109
- 249
- Thread starter
-
- #21
Kwahiyo unashauri nini?
Kwahiyo maslahi yakiboreshwa itakuwa sio kazi yenye laana tena?Walimu waboreshewe maslahi kama wabunge.
Nilisikia report ya katibu mkuu wa tume ya Utumishi wa Walimu kwamba asilimia 50 ya Walimu wamefukuzwa kazi kwa utoro baada ya kuishi ktk mazingira magumu.
Mbona hatusikii idadi hiyo kuacha kazi Benki Kuu, TRA, Uhamiaji, Bandari, Jeshi?
Swali zuri sana kwamba kazifanyia nini pesa za mikopo hiyo?Sijauliza anadaiwa na taasisi ipi, nimeuliza peza za mikopo ziko wapi?
Dah yaani mshahara wake wote jumla ni 78 aisee hiyi sio kaziNi elfu thelathini na nne(34000).Mr.Ban huyu mwalimu ni graduate, ana degree kutoka UDSM.
Swali zuri sana kwamba kazifanyia nini pesa za mikopo hiyo?
Inawezekana amesaidia kusomesha wadogo zake,kutibia wanafamilia,alianzisha biashara ikagoma,alijengea wazazi,na mambo mengine kama hayoSijui hizo pesa kafanyia nini
Wakubwa wanapotenguliwa ni marupu rupu tu hupungua, lakini mshahara hauguswi, hata kama alikuwa kwenye nafasi aliyo kuwa hana sifa nayo.Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.
Hiyo ni take home, kumbuka makato ya mikopo!Nusu mshahara 34000!!!!
Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.
Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini.
mwalimu huyo kaamua kutelekeza kazi yake.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji375]Mshahara huo wauweke kwa cheo cha uspika
Uone kama cheo hicho kitagombewa??
Ova
Si ajabu kamkopea bahariaKwahiyo unashauri nini?
Inawezekana pia maana walimu ndio zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si ajabu kamkopea baharia
Kumbuka ndio wasimamizi wa chaguzi za mizengwe hapa nchini!Kumbuka huyu mwalimu alikuwa na madeni lukuki,kabla ya adhabu hiyo alikuwa na makato mengi.
Kazi ya ualimu ina laana, maana Walimu wengi wanaishi maisha magumu.
Kina mama hushindana kuvaa na michango ya harusi!Sijauliza anadaiwa na taasisi ipi, nimeuliza peza za mikopo ziko wapi?
Hebu tutajie mshahara wake
halisi, kabla ya mikopo na kabla ya kukatwa mshahara...
Kwahiyo tukimrudisha ataacha Utoro! Ukipata kazi unadharau kazi, toka sasa ndiyo utajua hujui, Lakini bado ana bahati amepata kazi ya kuuza bar