Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Umeshaishi na walimu wote hapa Tanzania!?Tukisema ni wivu wa pesa hakuna maana walimu wenyewe pesa hawana, hapo ni mapenzi tu,
Mikoa ya kanda ya ziwa ukatili umezidi!GEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.
Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Ole wangu maskini mimi, ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?GEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.
Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Huyu anawez hata choma wanafunzi moto, waalimu wawe wanapimwa akili na kufanyiwa vettingGEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.
Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Hebu kelele hapo, unajiliza liza nini utadhani mtoto wa kike. Mwanaume unatakiwa kusema "aiseeeeee dah" halafu basi.Ole wangu maskini mimi, ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
Yani nikiona habari za namna hii huwa nayatathmini kwa upya maisha yangu, kwamba death is certain, na ipo siku na mimi nitakufa.
Lakini tena najiuliza, pamoja na hizi dhambi zangu kwanini Mungu bado ameniacha hai? Kwasababu haimaanishi kwamba wanaotangulia mbele ya haki ni wale wakosefu tu. Inawezekana Mungu ananivumilia ili nimrudie yeye...
Eeh Mwenyezi Mungu uzidi kunirehemu. Niondolee kabisa hiki kiburi cha uzima. Amen.
[emoji2][emoji2]Hebu kelele hapo, unajiliza liza nini utadhani mtoto wa kike. Mwanaume unatakiwa kusema "aiseeeeee dah" halafu basi.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wakipimwa walimu inabidi wapimwe na mmaafisa wa kada zingine za SerikaliHuyu anawez hata choma wanafunzi moto, waalimu wawe wanapimwa akili na kufanyiwa vetting
Acha na miye nimwite mpwayungu villageTumsubirie mwalimu wa zamu mpwayungu village
hawana maadili serikali imeshindwa kudhibiti ubora wa waalimu, yaani wanafanya bora liende...wamechoka sanaWalimu hao unafikiri wanatoka Dunia ipi kama siyo hii hii ya wapenda singeli na wapenda Kwa mpalange!!?
Hii tabia ya kuwaumba kinafiki kama viumbe Fulani very unique na spotless siipendi
Kama mapadri na masheikh wanalawiti watoto,itakuwa Hawa walimu ambao ni part and parcel ya jamii yetu
Hii inaitwa mbwa kala mbwaGEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.
Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Muite aje,ujue jamaa Ni ticha mjanja sema anazira mno. Akiudhiwa hafundishi wiki nzima mpaka atulieAcha na miye nimwite mpwayungu village
AahahhahaMuite aje,ujue jamaa Ni ticha mjanja sema anazira mno. Akiudhiwa hafundishi wiki nzima mpaka atulie
Walimu bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha na miye nimwite mpwayungu village
Sasa ilaumu Serikali kiwete iliyowashindwa walimuhawana maadili serikali imeshindwa kudhibiti ubora wa waalimu, yaani wanafanya bora liende...wamechoka sana