TANZIA Mwalimu auawa na Mwalimu mwenzake shuleni

TANZIA Mwalimu auawa na Mwalimu mwenzake shuleni

Mkoa wa Geita ula laana au? Mbona matukio kila siku?


Lakini pia Igaka si ipo Mwanza? Nadhani ndio jirani na Ibanda mpaka wa Mwanza na Geita.
 
GEITA.

Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.

Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.

Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.

Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.

Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.

So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Mikoa ya kanda ya ziwa ukatili umezidi!
 
GEITA.

Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.

Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.

Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.

Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.

Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.

So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Ole wangu maskini mimi, ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?

Yani nikiona habari za namna hii huwa nayatathmini kwa upya maisha yangu, kwamba death is certain, na ipo siku na mimi nitakufa.

Lakini tena najiuliza, pamoja na hizi dhambi zangu kwanini Mungu bado ameniacha hai? Kwasababu haimaanishi kwamba wanaotangulia mbele ya haki ni wale wakosefu tu. Inawezekana Mungu ananivumilia ili nimrudie yeye...


Eeh Mwenyezi Mungu uzidi kunirehemu. Niondolee kabisa hiki kiburi cha uzima. Amen.
 
Picha linaanza kwenye picha hapo marehemu ana majeraha mkono mmoja naona ana pamba zimeshikana na ngozi.

Ila hawa watu wa geita nahisi sio wazima. Maana wana visirani na tabia za ukatili sana pale wanapotendewa ndivyo sivyo. Unajua kudhuru mtu kwa kutumia silaha inataka ujitoe ufahamu kabisa.



Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
GEITA.

Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.

Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.

Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.

Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.

Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.

So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Huyu anawez hata choma wanafunzi moto, waalimu wawe wanapimwa akili na kufanyiwa vetting
 
Ole wangu maskini mimi, ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?

Yani nikiona habari za namna hii huwa nayatathmini kwa upya maisha yangu, kwamba death is certain, na ipo siku na mimi nitakufa.

Lakini tena najiuliza, pamoja na hizi dhambi zangu kwanini Mungu bado ameniacha hai? Kwasababu haimaanishi kwamba wanaotangulia mbele ya haki ni wale wakosefu tu. Inawezekana Mungu ananivumilia ili nimrudie yeye...


Eeh Mwenyezi Mungu uzidi kunirehemu. Niondolee kabisa hiki kiburi cha uzima. Amen.
Hebu kelele hapo, unajiliza liza nini utadhani mtoto wa kike. Mwanaume unatakiwa kusema "aiseeeeee dah" halafu basi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Walimu hao unafikiri wanatoka Dunia ipi kama siyo hii hii ya wapenda singeli na wapenda Kwa mpalange!!?

Hii tabia ya kuwaumba kinafiki kama viumbe Fulani very unique na spotless siipendi

Kama mapadri na masheikh wanalawiti watoto,itakuwa Hawa walimu ambao ni part and parcel ya jamii yetu
hawana maadili serikali imeshindwa kudhibiti ubora wa waalimu, yaani wanafanya bora liende...wamechoka sana
 
GEITA.

Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.

Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.

Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.

Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.

Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.

So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Hii inaitwa mbwa kala mbwa
 
Back
Top Bottom