TANZIA Mwalimu auawa na Mwalimu mwenzake shuleni

TANZIA Mwalimu auawa na Mwalimu mwenzake shuleni


Geita. Mwalimu wa Shule ya Msingi Igaka, Samwel Subi anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Geita kwa tuhuma za kumuua mwalimu mwezake Emanuel Chacha (pichani) kwa kumchoma na kisu akiwa darasani.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema limetokea Machi 15 saa 3:45 asubuhi wakati walimu hao wakiandaa mtihani kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la kwanza.
“Kata ya Isulwabutundwe mwanaume wa miaka 35 katika Shule ya Msingi Igaka aliuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali kwenye chembe ya moyo na mwanaume mwingine mwenye miaka 35 ambae ni mwalimu mwenzake. Walimu wote wawili walikuwa darasani wakiandaa mtihani ndipo mtuhumiwa alitoa kisu na kumchoma mwenzake kwenye chembe cha moyo,” amesema Kamanda
Kamanda alisema chanzo cha tukio hilo inadaiwa kuwa ni ugomvi baina ya walimu hao ambao walikuwa wanagombea uongozi kwenye kitengo cha elimu ya kujitegemea.
“Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea mwalimu amekamatwa na amekiri na sababu anadai aliona walimu wenyeji wanamchukia na wamemtenga na ndio sababu ya kutengeneza nia ya kumuua huyo mwalimu menzake.
Kwa hiyo baada ya tukio ataanza kupendwa na walimu wenzake? Halafu Geita ina matukio ya ajabu ajabu na watu wa huko baadhi ni wakatili sana kama yule mwamba.
 
Baada ya kupata picha ndo inakuwaje madam wangu hahaha
Acha tu maana shem wako nae anaendeshwa na jamaa wa huko mpaka tunashangaa ana chuki ya ninu, waza mtu anamaliza mkataba anapewa mwinginr afu yeye anahoji kwan nini upewe anaandika barua juu asipewe na hawajawahi kuzungumza zaidi ya salamu maana ni department toafut hata wiki inaeza isha wasionane lkn jamaa sijui hata anataka nn
 
Acha tu maana shem wako nae anaendeshwa na jamaa wa huko mpaka tunashangaa ana chuki ya ninu, waza mtu anamaliza mkataba anapewa mwinginr afu yeye anahoji kwan nini upewe anaandika barua juu asipewe na hawajawahi kuzungumza zaidi ya salamu maana ni department toafut hata wiki inaeza isha wasionane lkn jamaa sijui hata anataka nn
Daah inasikitisha Sana aisee,Yani kuna wa2 cjui wanajikuta Nani hapa duniani,kisa ana anakacheo Fulani basi anajiona Mungu mtu,walikuwepo majabari na waliondoka hapa duniani sembuse yeye? Ovyo Sana watu kama hawa
 
Daah inasikitisha Sana aisee,Yani kuna wa2 cjui wanajikuta Nani hapa duniani,kisa ana anakacheo Fulani basi anajiona Mungu mtu,walikuwepo majabari na waliondoka hapa duniani sembuse yeye? Ovyo Sana watu kama hawa
Yan mtihani , allah amuongoze kutwa kuwafanyia wenzie figisu waachishwe kazi yana hadi walinzi, unachoka ana hulka ya aina gani
 
Geita. Mwalimu wa Shule ya Msingi Igaka, Samwel Subi anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Geita kwa tuhuma za kumuua mwalimu mwezake Emanuel Chacha (pichani) kwa kumchoma na kisu akiwa darasani.

mwalimu-pic.jpg

Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema limetokea Machi 15 saa 3:45 asubuhi wakati walimu hao wakiandaa mtihani kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la kwanza.

“Kata ya Isulwabutundwe mwanaume wa miaka 35 katika Shule ya Msingi Igaka aliuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali kwenye chembe ya moyo na mwanaume mwingine mwenye miaka 35 ambae ni mwalimu mwenzake. Walimu wote wawili walikuwa darasani wakiandaa mtihani ndipo mtuhumiwa alitoa kisu na kumchoma mwenzake kwenye chembe cha moyo,” amesema Kamanda Jongo.

Kamanda alisema chanzo cha tukio hilo inadaiwa kuwa ni ugomvi baina ya walimu hao ambao walikuwa wanagombea uongozi kwenye kitengo cha elimu ya kujitegemea.

“Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea mwalimu amekamatwa na amekiri na sababu anadai aliona walimu wenyeji wanamchukia na wamemtenga na ndio sababu ya kutengeneza nia ya kutenda tukio hilo,” amesema.

Credit: Mwananchi
Hawa lazima tu ni uvccm. Kwa vyeo kutoana roho ni kitu kidogo sana.
 
Geita. Mwalimu wa Shule ya Msingi Igaka, Samwel Subi anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Geita kwa tuhuma za kumuua mwalimu mwezake Emanuel Chacha (pichani) kwa kumchoma na kisu akiwa darasani.

mwalimu-pic.jpg

Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema limetokea Machi 15 saa 3:45 asubuhi wakati walimu hao wakiandaa mtihani kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la kwanza.

“Kata ya Isulwabutundwe mwanaume wa miaka 35 katika Shule ya Msingi Igaka aliuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali kwenye chembe ya moyo na mwanaume mwingine mwenye miaka 35 ambae ni mwalimu mwenzake. Walimu wote wawili walikuwa darasani wakiandaa mtihani ndipo mtuhumiwa alitoa kisu na kumchoma mwenzake kwenye chembe cha moyo,” amesema Kamanda Jongo.

Kamanda alisema chanzo cha tukio hilo inadaiwa kuwa ni ugomvi baina ya walimu hao ambao walikuwa wanagombea uongozi kwenye kitengo cha elimu ya kujitegemea.

“Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea mwalimu amekamatwa na amekiri na sababu anadai aliona walimu wenyeji wanamchukia na wamemtenga na ndio sababu ya kutengeneza nia ya kutenda tukio hilo,” amesema.

Credit: Mwananchi
Mhhh
 
Duuh Tanzania kama tupo Athlone Cape Town aisee tena huko pana West Coast na East Coast ukiwachanganya na hao PAGAD ndio kabisaa eneo halitawaliki...
 
Ingawa viongozi wanalipigia kelele suala la ukabila, ila Kuna baadhi ya Kanda ndani ya nchi yetu ukabila upo Kwa kiasi fulani
Kweli kabisa chief

Na hapo tushukuru muasisi WA Taifa hili Kwa kutokomeza ukabila na kutuleta pamoja kinyume cha hapo sijui ingekuwaje
 
Back
Top Bottom