Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

hapo sasa nimeelewa Mkuu,nitamsikiliza nikiwa na bando.kama amesema hivo ni sahihi

Ningekuungia bando mkuu, kwenye ile huduma muunganishie na mwenzio.

Lakini sasa yasiojulikana nayo yameenea kila kona na vile vi ID vyao uchwara. Kumechafukwa!

Usoni kama watu.

Kiukweli: Lijenje, Ben, Azory wanao bila shaka hai.
 
Ningekuungia bando mkuu, kwenye ile huduma muunganishie na mwenzio.

Lakini sasa wasiojulikana nao wameenea kila kona na vile vi ID vyetu. Kumechafukwa!

Usoni kama watu.

Kiukweli Lijenje, Ben, Azory wanao.
😂 hahhah ,wasiojulikana hawapo siku hizi bana,mwaka jana nilikutana na msela fulani kwenye kivuko cha kigongo busisi akawa ananiuliza maswali ya mitego kuhusu jiwe nikajiongeza huyu ni afisa kipenyo
 
😂 hahhah ,wasiojulikana hawapo siku hizi bana,mwaka jana nilikutana na msela fulani kwenye kivuko cha kigongo busisi akawa ananiuliza maswali ya mitego kuhusu jiwe nikajiongeza huyu ni afisa kipenyo

Uzuri ni kuwa hatishiki mtu
 
Sawa. Ingawa atafungwa tu kwa sababu uliona matokeo ya kwenye kesi ndogo mlivyopigwa KO za maana na PGO zenu.

Kwani kuna kipi kipya?

IMG_20211021_172103_603.jpg


Uliwahi kuona tuna matumaini, kushangilia au masikitiko yatokanayo na haramu?

Ndiyo ulio msingi wa hoja ya Mwalimu Lwaitama.

Wewe huoni hivyo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katiba mpya itazuia prosecution side kutokuthibitisha makosa ya mtuhumiwa wa ugaidi pasipo kuacha shaka?

So far hata pakiwa na katiba mpya haitazuia mahakama kumtia hatiani Mbowe kama atakutwa na hatia mkuu.

Ukizingatia kuna mshitakiwa pale alikiri kutumwa na Dj Mbowe kutekeleza kosa la ugaidi. So kazi mnayo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katiba mpya itazuia prosecution side kutokuthibitisha makosa ya mtuhumiwa wa ugaidi pasipo kuacha shaka?

So far hata pakiwa na katiba mpya haitazuia mahakama kumtia hatiani Mbowe kama atakutwa na hatia mkuu.

Ukizingatia kuna mshitakiwa pale alikiri kutumwa na Dj Mbowe kutekeleza kosa la ugaidi. So kazi mnayo.

Pakiwa na katiba mpya patakuwa na uhuru wa mahakama na bunge. Hapa kutakuwa na nafasi ya mihimili kutoa sauti zake kamili na kwa uhuru.

Kwani hukumu ya mapingamizi ya juzi imetolewa kwa kutumia ushahidi upi?

Kwani ushahidi upi umemfanya jaji kuona ushahidi wa upande wa mashtaka ndiyo ulio bora?

Kwani ushahidi upi umemfanya jaji kuona ushahidi wote wa upande wa utetezi ni bogus na unastahili kutupiliwa mbali?

Au jaji ni sehemu ya upande wa mashtaka kwamba pia ana na ushahidi mwingine ambao haukuwekwa wazi mahakamani?

Au jaji ni malaika kuweza kubaini ni ushahidi upi wa kweli au wa uongo kwa kusikiliza tu, au hata kwa kupitia majumuisho 2 yenye kukinzana 100%?

Si kweli kuwa hizi ni figisu za kisiasa tu na mkono wa Serikali ndani yake ni kama wote?
 
Mara Mbowe sio gaidi, mara Rais Samia anaweza kufuta hio kesi. Kama kweli sio gaidi, anatakiwa kujiamini kwa kufahamu kwamba atashinda kesi
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Ni hivi, kuna mtu anaitwa DPP, katiba imempa mamlaka ya kufuta kesi yeyote bila kulazimika kutaja sababu. Hii sio kuingilia mahakama, hili lipo kwa mujibu wa sheria.
 
First of all, why should be dismissed while there are serious allegations against Freeman Mbowe?

Second of all, Samia has no such a power.

Lastly, time will tell but according to the trial within trial conducted by the Court, I hope that Mr. FREEMAN MBOWE will be convicted & sentenced for what he did. MEANING: He will get what he deserves.

Kuna wakati mtu hata akiandka upuuzi, lakini akaandika kwa Kiingereza, basi huwa anaamini ameandika hoja ya msingi.

Kwa ufupi, siku zote anayemshtaki mtu yeyote, ana uwezo wa kuachana na kesi. Anachofanya ni kuitaarifu tu mahakama.

Samia ndiye aliyemkamata Mbowe, ndiye aliyembambikizia mashtaka, na ndiye anayemshtaki. Akisema hataki kuendelea na hayo mashtaka aliyombambikia, hakuna atakayeendelea nayo.

Mbowe yupo ndani anateseka kwa sababu ya matakwa ya Samia.
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Hivi na kuteua majaji sio kuingilia uhuru wa mahakama?
 
Mara Mbowe sio gaidi, mara Rais Samia anaweza kufuta hio kesi. Kama kweli sio gaidi, anatakiwa kujiamini kwa kufahamu kwamba atashinda kesi

Kama katiba inaruhusu uwepo mhimili uliojichimbia zaidi, kesi za kubambikiziana na hukumu za kutengeneza, huoni huu ni msimamo murua zaidi:

IMG_20211021_190628_385.jpg


Hata darasani si lazima kwa wanafunzi wote kumwelewa Mwalimu Lwaitama 😁😁!

Mengine yote uliyoandika hayahusiki kwani:

Kudai haki hakuwezi kuwa bila gharama

Kudai mabadiliko ya katiba katikati ya madwalimu, kuna gharama zake zinazojulikana. Kwani nani hayajui hayo akiwamo Mh. Mbowe?

Ungekuwa umemwelewa Mwalimu Lwaitama ungemhurumia Samia. Njia aliyochokua itamwacha na aibu ikimgharimu, usijedhani sisi manabii.
 
Back
Top Bottom