Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Mawazo ya kipuuzi Sana haya
 
Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:

View attachment 1984686

Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.

Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.

Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.

Habari za tashwishi ya afya au hali ya mheshimiwa Mbowe kwa ujumla gerezani ambako hakuweza kuonwa leo, zimfungue macho Mheshimiwa Rais.

Hala hala kabla ya hatari.

Mola ampishilie mbali pepo mbaya.


 
Huyu mama anakiburi ninyi danganyikeni tu na tabasamu lake. Hasikii wala haambiliki.
Lakini watu si wanasema Mama hana nguvu ila kuna watu ndio wanaongoza au hayo ni maneno ya vijiweni?
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Lwaitama alipostafu pale UDSM ALICHUKUA MAFAO YAKE YOTE

AKAOA MALAYA SIKU HIZI ANATEGEMEA CHADEMA ILI ALE

AMECHOKA KIASI KWAMBA HATA UBONGO WAKE ULISAHAU HAKI

ANAONGEAGA CHOCHOTE TU

WAHAYA SIO WAJINGA NI YEYE TU ANAYEWASHABIKIA WATU WA WAKAZI KAZINI

KINACHOMTESA NI MAFAO YAKE KUTUMIKA VIBAYA
 
Mwalimu Lwaitama is not speaking from nowhere. The basis of his argument is solid:

1. The prevailing Constitution embraces the presence of "the executive" as the superior. The rest are subordinates.
2. The case itself is politically orchestrated.

To qualify the two statements, the explanation is provided.

"The truth of this, is obvious even to a small child", concludes the don.

He could not have a better conclusion [emoji16][emoji16].
Lwaitama is rigid has no idea

Ni mjinga tu MSOMI KAMA HUYO UNAZEEKA HALAFU UNAANZA SIASA

UKIWA KIJANA NDIO FANYA HIVYO

UKIMSIKILIZA LWAITAMA UTAKUWA HUNA AKILI
 
Lakini watu si wanasema Mama hana nguvu ila kuna watu ndio wanaongoza au hayo ni maneno ya vijiweni?

Ndiyo kukosa nguvu kwenyewe huko.

IMG_20210911_000004_180.jpg


Nyuma ya usukani sasa ni rasmi, urais siyo mtu. Urais ni taasisi 😁😁.

Hii ni kwa mujibu wa ibara ipi ya katiba? Wajumbe wa taasisi hii hawajulikani? Kampeni zao wanaendeshea wapi?

Msamiati mpya huo tokea awamu ya 5.
 
Lwaitama is rigid has no idea

Ni mjinga tu MSOMI KAMA HUYO UNAZEEKA HALAFU UNAANZA SIASA

UKIWA KIJANA NDIO FANYA HIVYO

UKIMSIKILIZA LWAITAMA UTAKUWA HUNA AKILI

Sawa unasomeka vyema mkuu 😁😁:

IMG_20211024_071539_723.jpg
 
Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:

View attachment 1984686

Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.

Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.

Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.

Habari za tashwishi ya afya au hali ya mheshimiwa Mbowe kwa ujumla gerezani ambako hakuweza kuonwa leo, zimfungue macho Mheshimiwa Rais.

Hala hala kabla ya hatari.

Mola ampishilie mbali pepo mbaya.
Angeanza na kwaomba Raid aifute kesi ya Ole Sabaya kwanza. Mama hawezi kuwa na double standard. Subirini naye ale mvua za kutosha!
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Mahakama zipi unazoziongelea?mahakama ni mfumo,sio majengo na mahakimu pekee!Mdudu alifungwa na mahakama ipi!?na akafutiwa mashitaka na mahakama ipi?bongo Kuna policcm,mahakama za ccm,Takukuru ya ccm,kesi zinazoamuliwa kwa haki ni kesi za kuku tu
 
Angeanza na kwaomba Raid aifute kesi ya Ole Sabaya kwanza. Mama hawezi kuwa na double standard. Subirini naye ale mvua za kutosha!

Clear Standard ni ipi kwani?

Kuwa na mhimili mrefu kuliko mingine?
Kuwa na kesi za kubambikiziana? Au kuwa na hukumu za kutengenezeana?

IMG_20211021_190628_385.jpg


Kwani kwenye shithole countries lini ni kwa mujibu wa katiba na lini si kwa mujibu wa katiba?
 
Au ulimaanisha the unknown Dr. Mathanzua 😁😁?

Hiiiiii bagosha!
Wala sihitaji kujulikana,impact yangu ndiyo muhimu.Ndiyo maana nipo JF ili niweze-share na wengine what I know.Humanity has been cheated for too long.
 
Clear Standard ni ipi kwani?

Kuwa na mhimili mrefu kuliko mingine?
Kuwa na kesi za kubambikiziana? Au kuwa na hukumu za kutengenezeana?

View attachment 1984917

Kwani kwenye shithole countries lini ni kwa mujibu wa katiba na lini si kwa mujibu wa katiba?
Sijalewa kama umeelewa nimeandika nini na sijaewlewa umeandika nini. Bila shaka utajiita akili kubwa mimi akili ndogo!
 
Back
Top Bottom