Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Kuna wakati mtu hata akiandka upuuzi, lakini akaandika kwa Kiingereza, basi huwa anaamini ameandika hoja ya msingi.

Kwa ufupi, siku zote amayemshtaki mtu yeyote, ana uwezo wa kuachana na krsi. Anachofanya ni kuitaarifu tu mahakama.

Samia ndiye aliyemkamatabowe, ndiye aliyembbikizia mashtaka, na ndiye anayemshtaki. Akisema hayaki kuendelea na hayo mashtaka aloyombambikia, hakuna atakayeendelea nayo.

Mbowe yupo mdani anateseka kwa sababu ya matakwa ya Samia.
Mkuu sidhani kama unaelewa ulichokiandika.Kasome majukumu ya Rais ni yapi mkuu na mipaka yake ya kufanya kazi.Pia tambua kuwa kesi ikiwa mahakamani Rais hawezi fanya chochote kile.

Mr. Freeman Mbowe, ana tuhuma za ugaidi ambazo ni lazima mahakama ijiridhishe kwamba ni kweli au la!

Ingawa kupitia ushahidi wa cautioned statement iliyotolewa na Adamoo kule Polisi alikiri kuwa walikuwa wametumwa na mbowe ili kufanya kosa la Ugaidi. Hivyo huyo Mbowe wenu kuchomoka ni ngumu sana.
 
Mkuu sidhani kama unaelewa ulichokiandika.Kasome majukumu ya Rais ni yapi mkuu na mipaka yake ya kufanya kazi.Pia tambua kuwa kesi ikiwa mahakamani Rais hawezi fanya chochote kile.

Mr. Freeman Mbowe, ana tuhuma za ugaidi ambazo ni lazima mahakama ijiridhishe kwamba ni kweli au la!

Ingawa kupitia ushahidi wa cautioned statement iliyotolewa na Adamoo kule Polisi alikiri kuwa walikuwa wametumwa na mbowe ili kufanya kosa la Ugaidi. Hivyo huyo Mbowe wenu kuchomoka ni ngumu sana.

Huyo mwenye mipaka ndiyo huyu huyu?

 
Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:

View attachment 1984686

Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.

Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.

Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.

Habari za tashwishi ya afya au hali ya mheshimiwa Mbowe kwa ujumla gerezani ambako hakuweza kuonwa leo, zimfungue macho Mheshimiwa Rais.

Hala hala kabla ya hatari.

Mola ampishilie mbali pepo mbaya.
Manashauri raisi avunje sheria, aamulie mahakama sio?, kwa kuwa ni mbowe mtu wenu?
Angekuwa suo shabiki wenu ila kwa wengine hapana hatakiwi?
Subilieni mahakama imalize kazi kama ni wa kuwa huru atakuwa tu na kama ni gaidi basi ataswekwa ndani lasmi.

Mwambie kibatara aache kufungua vikesi ambavyo havina kichwa wala miguu na kumchelewesha mwenyekiti kusota ndani.
 
1) Kaka mawakili wenu ndiyo waliozingua kwa sababu walipinga cautioned Statement ya Adamoo ambayo hata haikuletwa mahakamani. Badala ya kupinga iliyochukuliwa pale Central police wao wanapinga kitu ambacho hakipo mahakamani.

2) Mngeshinda ile kesi ndogo msingeongea kuhusu katiba mpya wala nini.

3) Hii kesi watu wenu watafungwa siyo kwa sababu ya kutokuwa na katiba mpya bali Mawakili wenu wanajifanya wajuaji sana wakati hawajui. Badala ya kushughulika na vitu vya msingi katika kesi wao wanauliza maswali ambayo hayaibui mashaka mfano "Adamoo alipewa chakula, alikula nini akiwa kule Moshi na alishushia soda gani" mara ohh mke wake alinyimwa kumuona Adamoo. What the hell they wanted to establish there? Ujinga mtupu.
Niliwaambia hili, wanauliza maswali hayana maana kabisa[emoji16]wakasema mimi sina ilimu, nikawambia sawa na LY yangu lakini nimegundua hawa mawakili wanapiteza mda bure tu,,
Sasa Lwaitama anataka Rais afute kesi,, is he mad?,
Rais sio judge[emoji23][emoji23]
 
Mkuu sidhani kama unaelewa ulichokiandika.Kasome majukumu ya Rais ni yapi mkuu na mipaka yake ya kufanya kazi.Pia tambua kuwa kesi ikiwa mahakamani Rais hawezi fanya chochote kile.

Mr. Freeman Mbowe, ana tuhuma za ugaidi ambazo ni lazima mahakama ijiridhishe kwamba ni kweli au la!

Ingawa kupitia ushahidi wa cautioned statement iliyotolewa na Adamoo kule Polisi alikiri kuwa walikuwa wametumwa na mbowe ili kufanya kosa la Ugaidi. Hivyo huyo Mbowe wenu kuchomoka ni ngumu sana.
Statement sio ishu, it is just words angaisnt mbowe's, inatakiwa concrete evidence which will leave no reasonable doubt kwamba mbowe aliwatuma wakafanye ugaidi, na huo ugaidi ulifanywa wapi au kuna vitu gani vilipelekea conclusion kwamba ugaidi ulikuwa ufanywe,,,
Je kuna milipuko ilikamatwa?, Au silaha labda ambayo inaweza kuwa connected to mbowe?, Au labda kuna audiovisual evidence ikionyesha mbowe akimtuma huyo Adamoo kwenda kufanya ugaidi etc[emoji847][emoji847]
 
Manashauri raisi avunje sheria, aamulie mahakama sio?, kwa kuwa ni mbowe mtu wenu?
Angekuwa suo shabiki wenu ila kwa wengine hapana hatakiwi?
Subilieni mahakama imalize kazi kama ni wa kuwa huru atakuwa tu na kama ni gaidi basi ataswekwa ndani lasmi.

Mwambie kibatara aache kufungua vikesi ambavyo havina kichwa wala miguu na kumchelewesha mwenyekiti kusota ndani.

Umejiridhisha kuwa umesoma vizuri? Kumbuka Mwalimu Lwaitama si wa chekelea wala si Don uchwara.

Kwenye jamhuri ya wadanganyika ambako:

1. mhimili mmoja unaweza kujichimbia zaidi kama unavyojisikia,
2. watu wakabambikiziwa kesi,
3. watu wakabambikiziwa hukumu;

Sheria zipi mhimili kama huo unaweza kuvunja au kuheshimu na mamlaka ipi ikathubutu kulisemea hilo?
 
1) Kaka mawakili wenu ndiyo waliozingua kwa sababu walipinga cautioned Statement ya Adamoo ambayo hata haikuletwa mahakamani. Badala ya kupinga iliyochukuliwa pale Central police wao wanapinga kitu ambacho hakipo mahakamani.

2) Mngeshinda ile kesi ndogo msingeongea kuhusu katiba mpya wala nini.

3) Hii kesi watu wenu watafungwa siyo kwa sababu ya kutokuwa na katiba mpya bali Mawakili wenu wanajifanya wajuaji sana wakati hawajui. Badala ya kushughulika na vitu vya msingi katika kesi wao wanauliza maswali ambayo hayaibui mashaka mfano "Adamoo alipewa chakula, alikula nini akiwa kule Moshi na alishushia soda gani" mara ohh mke wake alinyimwa kumuona Adamoo. What the hell they wanted to establish there? Ujinga mtupu.

Mkuu labda kama ndiyo kwanza umefika kutokea sayari nyingine. Kwani ni leo ndiyo unayasikia haya?

2970174_IMG_20211020_132118_488.jpg


Uhalisia wa kuwa tunaishi kwenye jamhuri ya wadanganyika ambako:

1. Mhimili mmoja kwa raha zake, wenyewe umeweka wazi kuwa umejichimbia zaidi,
2. Mhimili huo umekiri kubambikia watu kesi,
3. Mhimili huo umekiri kudhulumu watu yaani kuwabambikizia watu hukumu.

Ninakazia:

IMG_20211021_190628_385.jpg


Hii si jana, leo wala kesho.
 
First of all, why should be dismissed while there are serious allegations against Freeman Mbowe?

Second of all, Samia has no such a power.

Lastly, time will tell but according to the trial within trial conducted by the Court, I hope that Mr. FREEMAN MBOWE will be convicted & sentenced for what he did. MEANING: He will get what he deserves.
Hicho kimombo wajameni, kwani umelazimishwa kuandika?
 
Sijalewa kama umeelewa nimeandika nini na sijaewlewa umeandika nini. Bila shaka utajiita akili kubwa mimi akili ndogo!

Ni kawaida mtu kusoma tena kama hajaelewa.

Soma tena.

Kama hujaelewa, soma tena!
 
Huyo eti ndiye size za akina Mwalimu Lwaitama. Mwingine Magonjwa Mtambuka ukurutu hadi mgongoni. Eti ndiyo ma tenki ya fikira hayo 😁😁.

Hiiiii bagosha!
Lichama lile kuna vichekesho kwa kweli. Eti baadhi yao ndio wanaojipachika kutawala nchi hii.
Afrika ya joto haing'oi nanga. Rene Dummont
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Kwani hiyo mahakama ndiyo ilimshitaki au mhimili wa Serikali? Bila shaka aliyekushitaki anao uwezo wa kuifuta hapo mahakama haijaingiliwa
 
Mkuu sidhani kama unaelewa ulichokiandika.Kasome majukumu ya Rais ni yapi mkuu na mipaka yake ya kufanya kazi.Pia tambua kuwa kesi ikiwa mahakamani Rais hawezi fanya chochote kile.

Mr. Freeman Mbowe, ana tuhuma za ugaidi ambazo ni lazima mahakama ijiridhishe kwamba ni kweli au la!

Ingawa kupitia ushahidi wa cautioned statement iliyotolewa na Adamoo kule Polisi alikiri kuwa walikuwa wametumwa na mbowe ili kufanya kosa la Ugaidi. Hivyo huyo Mbowe wenu kuchomoka ni ngumu sana.
Kwa hiyo Mbowe asipo chomoka ndiyo nchi yetu masikini wa kutupwa itakuwa tajiri namba moja duniani?

Mbowe akifungwa au kunyongwa itakusaidia kitu gani wewe masikini ya kutupwa?
 
Back
Top Bottom