Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Manashauri raisi avunje sheria, aamulie mahakama sio?, kwa kuwa ni mbowe mtu wenu?
Angekuwa suo shabiki wenu ila kwa wengine hapana hatakiwi?
Subilieni mahakama imalize kazi kama ni wa kuwa huru atakuwa tu na kama ni gaidi basi ataswekwa ndani lasmi.

Mwambie kibatara aache kufungua vikesi ambavyo havina kichwa wala miguu na kumchelewesha mwenyekiti kusota ndani.
Kwa maandishi haya najiridhisha kuwa wewe ni murundi.
 
Niliwaambia hili, wanauliza maswali hayana maana kabisa[emoji16]wakasema mimi sina ilimu, nikawambia sawa na LY yangu lakini nimegundua hawa mawakili wanapiteza mda bure tu,,
Sasa Lwaitama anataka Rais afute kesi,, is he mad?,
Rais sio judge[emoji23][emoji23]
Wakati anaohojiwa na media moja alisema kuna wenzake Mbowe walishafungwa.

Ina maana yupo well inform siyo?
 
Statement sio ishu, it is just words angaisnt mbowe's, inatakiwa concrete evidence which will leave no reasonable doubt kwamba mbowe aliwatuma wakafanye ugaidi, na huo ugaidi ulifanywa wapi au kuna vitu gani vilipelekea conclusion kwamba ugaidi ulikuwa ufanywe,,,
Je kuna milipuko ilikamatwa?, Au silaha labda ambayo inaweza kuwa connected to mbowe?, Au labda kuna audiovisual evidence ikionyesha mbowe akimtuma huyo Adamoo kwenda kufanya ugaidi etc[emoji847][emoji847]
Watakwambia alitoa sh 600000.
 
Umejiridhisha kuwa umesoma vizuri? Kumbuka Mwalimu Lwaitama si wa chekelea wala si Don uchwara.

Kwenye jamhuri ya wadanganyika ambako:

1. mhimili mmoja unaweza kujichimbia zaidi kama unavyojisikia,
2. watu wakabambikiziwa kesi,
3. watu wakabambikiziwa hukumu;

Sheria zipi mhimili kama huo unaweza kuvunja au kuheshimu na mamlaka ipi ikathubutu kulisemea hilo?
Very easy ebu tazama sakata la machinga ndiyo mtajua kuwa nchi hii rais wa nchi ndiyo Alpha na Omega.
 
Kwani hiyo mahakama ndiyo ilimshitaki au mhimili wa Serikali? Bila shaka aliyekushitaki anao uwezo wa kuifuta hapo mahakama haijaingiliwa

Huyo bwana hapa akikuelewa kwa maneno maneno tu kuliko huyu:

IMG_20210829_163746_049.jpg


Ka mrejesho katapendeza zaidi.
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.

Fala Wewe
 
Mkuu labda kama ndiyo kwanza umefika kutokea sayari nyingine. Kwani ni leo ndiyo unayasikia haya?

View attachment 1985100

Uhalisia wa kuwa tunaishi kwenye jamhuri ya wadanganyika ambako:

1. Mhimili mmoja kwa raha zake, wenyewe umeweka wazi kuwa umejichimbia zaidi,
2. Mhimili huo umekiri kubambikia watu kesi,
3. Mhimili huo umekiri kudhulumu watu yaani kuwabambikizia watu hukumu.

Ninakazia:

View attachment 1985102

Hii si jana, leo wala kesho.
Huyo ni mtanzania kutoka jimbo la Ndugayi pale kibaigwa
 
Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:

View attachment 1984686

Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.

Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.

Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.

Habari za tashwishi ya afya au hali ya mheshimiwa Mbowe kwa ujumla gerezani ambako hakuweza kuonwa leo, zimfungue macho Mheshimiwa Rais.

Hala hala kabla ya hatari.

Mola ampishilie mbali pepo mbaya.
Watu wawili tofauti:Samia Suluhu Hassani ni Rais wa Jamhui ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama tawala,CCM.Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama cha upinzani Chadema.Kama Raisi wa nchi Samia Suluhu Hassan anategemea zaidi Baraza lake la mawaziri na washauri mbalimbali katika utendaji wake.Kwa mantiki hiyo misimamo yake na hatua anazochukua kwa kiwango kikubwa vinategemea washauri wake wa karibu na ikiwa hivyo ndivyo ina maana kwa kesi ya Mbowe kuna kitu ameshibishwa akashiba.Kama ni kweli au uongo hiyo itakuwa habari ya baadae.Kwa Samia huyu napenda tukumbushane kifo cha Princess Diana.Wakati wa mazishi yake watoto wake wawili wakiwa bado wdogo hawakuonyesha kulia hadharani kama ilivyotegemewa na nilbahatika kumuuliza mzungu mmoja alinijibu ya kuwa "wanategemewa kuwa wafalme na wanafundishwa kuto ku break hadharani".Samia Suluhu Hassani ni lazima amefundishwa Urais na makandokando yake na kuwa wakati mwingine huruma inaweza kuingiza nchi kwenye matatizo.
Mbowe kama mpinzani anapata anachostahili nacho ni kuwa mpinzani kwa watu wasiotaka upinzani (angeunga mkono kama Slaa,Mashinji,Waitara.....)asikumbana na haya.
Tuiache asili ichukue mkondo wake (let naturetake its own course).Yatapita!!
 
Hongera bi.mdogo yaonesha ni ktk wale waliompiga mzee mafao yake una dhambi kwel ww
Lwaitama alipostafu pale UDSM ALICHUKUA MAFAO YAKE YOTE

AKAOA MALAYA SIKU HIZI ANATEGEMEA CHADEMA ILI ALE

AMECHOKA KIASI KWAMBA HATA UBONGO WAKE ULISAHAU HAKI

ANAONGEAGA CHOCHOTE TU

WAHAYA SIO WAJINGA NI YEYE TU ANAYEWASHABIKIA WATU WA WAKAZI KAZINI

KINACHOMTESA NI MAFAO YAKE KUTUMIKA VIBAYA
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Nikumbushe yafuatayo;
1) Kupiga marufuku mikutano ya hadhara ni kuvunja sheria ya vyama vya siasa unayotaka vyama kutangaza sera zake na katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kujiekeza.
2) Mbinu zilizotumika kuwaachia masheikh wa uamsho ama wale viongozi wa CHADEMA waliofungwa na Nusrat kabla ya kupewa ubunge zinaweza kutumika hizohizo.
3) Rais alipoliagiza jeshi la polisi kuzifuta kesi za kugushi bila shaka alielewa sheria ipi angetumia kuwawezesha polisi kufanya hivyo. Bahati yeye mwenyewe alisema TISS walifuta kesi 147. Atumie sheria hiyohiyo kumfutia kesi Mbowe.
TUSIWE NA DOUBLE STANDARDS TUNAIGAWA NCHI.
 
Watu wawili tofauti:Samia Suluhu Hassani ni Rais wa Jamhui ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama tawala,CCM.Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama cha upinzani Chadema.Kama Raisi wa nchi Samia Suluhu Hassan anategemea zaidi Baraza lake la mawaziri na washauri mbalimbali katika utendaji wake.Kwa mantiki hiyo misimamo yake na hatua anazochukua kwa kiwango kikubwa vinategemea washauri wake wa karibu na ikiwa hivyo ndivyo ina maana kwa kesi ya Mbowe kuna kitu ameshibishwa akashiba.Kama ni kweli au uongo hiyo itakuwa habari ya baadae.Kwa Samia huyu napenda tukumbushane kifo cha Princess Diana.Wakati wa mazishi yake watoto wake wawili wakiwa bado wdogo hawakuonyesha kulia hadharani kama ilivyotegemewa na nilbahatika kumuuliza mzungu mmoja alinijibu ya kuwa "wanategemewa kuwa wafalme na wanafundishwa kuto ku break hadharani".Samia Suluhu Hassani ni lazima amefundishwa Urais na makandokando yake na kuwa wakati mwingine huruma inaweza kuingiza nchi kwenye matatizo.
Mbowe kama mpinzani anapata anachostahili nacho ni kuwa mpinzani kwa watu wasiotaka upinzani (angeunga mkono kama Slaa,Mashinji,Waitara.....)asikumbana na haya.
Tuiache asili ichukue mkondo wake (let naturetake its own course).Yatapita!!

Ungesema ile parallel power pale nyuma ya usukani ndiyo tatizo:

IMG_20210911_000004_180.jpg


Ungeeleweka vyema.

Wanajiita taasisi ya urais. Iko ibara gani ya katiba, composition vyote haijulikani.

Yahaya unaishi wapi? Au nakazia yako Kinondoni?
 
Akiifuta mtarudi mseme ...ameogopa nguvu ya umma ...anaingilia mamlakaaaa
 
Back
Top Bottom