Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"

Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Nikumbushe yafuatayo;
1) Kupiga marufuku mikutano ya hadhara ni kuvunja sheria ya vyama vya siasa unayotaka vyama kutangaza sera zake na katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kujiekeza.
2) Mbinu zilizotumika kuwaachia masheikh wa uamsho ama wale viongozi wa CHADEMA waliofungwa na Nusrat kabla ya kupewa ubunge zinaweza kutumika hizohizo.
3) Rais alipoliagiza jeshi la polisi kuzifuta kesi za kugushi bila shaka alielewa sheria ipi angetumia kuwawezesha polisi kufanya hivyo. Bahati yeye mwenyewe alisema TISS walifuta kesi 147. Atumie sheria hiyohiyo kumfutia kesi Mbowe.
TUSIWE NA DOUBLE STANDARDS TUNAIGAWA NCHI.
Asante sana mkuu kwa kutupatia somo.
 
Ungesema ile parallel power pale nyuma ya usukani ndiyo tatizo:

View attachment 1985214

Ungeeleweka vyema.

Wanajiita taasisi ya urais. Iko ibara gani ya katiba, composition vyote haijulikani.

Yahaya unaishi wapi? Au nakazia yako Kinondoni?
Hii picha uliyo iweka ni mfano mzuri wa mapungufu ya katiba yetu.
 
Hii picha uliyo iweka ni mfano mzuri wa mapungufu ya katiba yetu.

Mbaya wetu yawezekana wala siyo CCM bali kuna kundi limejipa taasisi isiyokuwepo kwenye katiba.

Wanaita urais ni taasisi. Wajumbe wake hawajulikani. Wanakampeni wapi wanajumuishwa vipi haijulikani.

Hao wanajua aliko Ben Azory Lijenje na hata nani walikuwa kwenye viroba.

Umizoomi ID zao zina mengi ya kusema. Ni wasiojulikana wanaojulikana.
 
Mbaya wetu yawezekana wala siyo CCM bali kuna kundi limejipa taasisi isiyokuwepo kwenye katiba.

Wanaita urais ni taasisi. Wajumbe wake hawajulikani. Wanakampeni wapi wanajumuishwa vipi haijulikani.

Hao wanajua aliko Ben Azory Lijenje na hata nani walikuwa kwenye viroba.
Ipo siku ambayo vinywa vyao vitaropoka mabaya yoote waliyo yatenda kwa jamii ya watanzania.
 
Ipo siku ambayo vinywa vyao vitaropoka mabaya yoote waliyo yatenda kwa jamii ya watanzania.

Uzuri tunaendelea kuwajua kwani tunajua na majaji wamo.

Waulize je alipo Lijenje kama lao moja?
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Hujui hata maana ya uhuru wa mahakama....
kilichozungumzwa ni kufuta kesi....
ambapo kimsingi bado ipo kwenye mamlaka ya DPP ambae ni mteule wa raisi
 
Hii kesi Ni ya kihuni,mama walimdanganya hata mtoto mpumbavu anajua kabisa h.i Ni kesi ya kishenzi.kesi ya ugaidi wa laki sita
 
H
First of all, why should be dismissed while there are serious allegations against Freeman Mbowe?

Second of all, Samia has no such a power.

Lastly, time will tell but according to the trial within trial conducted by the Court, I hope that Mr. FREEMAN MBOWE will be convicted & sentenced for what he did. MEANING: He will get what he deserves.
Hamna kesi pale, fikiri vizuri!
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Sheria za CCM
 
Umejiridhisha kuwa umesoma vizuri? Kumbuka Mwalimu Lwaitama si wa chekelea wala si Don uchwara.

Kwenye jamhuri ya wadanganyika ambako:

1. mhimili mmoja unaweza kujichimbia zaidi kama unavyojisikia,
2. watu wakabambikiziwa kesi,
3. watu wakabambikiziwa hukumu;

Sheria zipi mhimili kama huo unaweza kuvunja au kuheshimu na mamlaka ipi ikathubutu kulisemea hilo?
Yule ni tapeli tu, subili afikishe 75 ndo utamjua kuwa ni mwalimu tapeli
 
Bila shaka wewe ni akili kubwa ndio maana sijakuelewa mimi akili ndogo.

Akili kubwa ni huyo anayenukuliwa yaani kile chanzo chenyewe cha uzi.

Wala usijishaue.

Vipi ni size yako?
 
Akili kubwa ni huyo anayenukuliwa yaani kile chanzo chenyewe cha uzi.

Wala usijishaue.

Vipi ni size yako?
Subirini atakapokula mvua za kutosha na kwenda jela na kumkuta tayari Ole Sabaya ni Nyampara ndio mtaleta hizi stupid philosophies zenu!
 
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Hawezi kufuta kesi inayo endelea mahakamni. Anaye weza kuifuta ni DPP.
Lakini chakushangaza kesi ya mbowe ushahidi umechukuwa kama miaka miwili kukamilika. leo kuna watu ndani zaidi ya miaka sita upelezi haujakamilika. Kuna walokamatwa kwa ugaidi mapaka leo ni miaka 8.
Mbowe kapata unafuu na kesi yake kwenda haraka. Hii ni njia moja kumtowa ,kwani kama mawakili wazuri basi atatoka tuu. nakama atashtakiwa anayo haki ya kukata Rufaa.

Kwa hivyo tusubirini.
 
Back
Top Bottom