Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwa Kanuni za Kiutumishi za CWT, Katibu Mkuu anatakiwa kuwa Mwalimu aliye kazini ila anayefanya kazi CWT kwa kuazimwa kwa muda maalum. Kwa kitendo cha kusimamishwa, automatically, anakuwa amesimama pia kuwa Katibu Mkuu wa CWT. Na nafikiri wamemsimamisha muda huu ili "ASIWEPO JUKWAANI" kwenye Maadhimisho ya Siku wa Mwalimu yatakayofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Manispaa ya Ilemela tarehe 13/12/2023.Si bado katibu cwt
Ova
Huna akili, ndo mana walimu mnadharaulikaBoss hanuniwi
[emoji23][emoji23][emoji23]Eti amesimamishwa kazi!!!!! Kwani ualimu nayo ni kazi kmmmae zenu
Bado ni mwalimu, amesimamishwa tu ila hajafukuzwaHuyo Mkurugenzi amekosa Weledi katika kazi, Barua za namna hiyo huwa ni siri, sasa anautangazia umma ili iweje?
Ukikosa sifa ya kuwa Mwalimu moja kwa moja unakosa sifa ya kuwa Kiongozi wa CWT.
Anavyogoma kwenda kufundisha bila Shaka unajisikia raha kuliko hata ile raha ya mbususuBado ni mwalimu, amesimamishwa tu ila hajafukuzwa
Aache kazi akawe mfanyabiashara wa nyanya Mufindi aungane na Chongolo kwani shillings ngapi kung'ang'ana kua mtumishi wa UMMA?
Majuto makuu maana aliacha mbachao kwa mswala upitao,Huenda sasa hivi atakuwa anajuta kimyakimya
Na mimi naungana na wewe kuamini kuwa Mwl Maganga ndiye Mpwayungu Village…utafiti ufanyike kubainisha hilo….Mwalimu huyu ndio Mpwayungu Village mwenyewe.
Jamaa anajifanyaga kuwakandya walimu kumbe ye mwenyewe ni Teacher tena wa Makuyuni primary School.Na mimi naungana na wewe kuamini kuwa Mwl Maganga ndiye Mpwayungu Village…utafiti ufanyike kubainisha hilo….
😂😂😂😂
Ni lazima tutangaziwe usijifanye huelewi tusipotangaziwa tutajuaje?kama unampenda sana kanywe nae Chai Makota koya!!Huu ni ujinga likely a political motivated decision, unatutangazia kwani wakati anaomba ruhusa ulitangaza?
Kwahiyo mtumishi akisimamishwa kazi tunatangaziwa? Haya mambo yanatokea wapi wajameni au mimi ndio sielewi jinsi mambo yanavyoendeshwa hapa Tz?
We na wewe walewale tu mwizi mkubwaThis man is a true man.
Walimu wamepata mkombozi sema huwa wanafanyiana figisu tu.
Vitisho vyote hajawahi ogopa anachapa kazi tu. Anapambana kuwaunganisha awalimu lakini wachache sana wanatuika vibaya. Mtu unajua yuko kwenye majukumu ya ukatibu mkuu unamfukuza kwa utoro?.
Huyu mkurugenzi sijui kama alizaliwa kawaida. Hajui katibu mkuu anamajukumu makubwa sana.
Kumnyanyasa mtu hata Mungu hapendi. Wivu haujawahi kuishia pazuri.
Mwizi mwenzie huyo shoga[emoji15]wee,sema kweli?
Kimsingi hawa viongozi wetu wa TSC na huyu Mkurugenzi wanatumika na Deus, Serikali wasichokijua ni kwamba Deus anawachezea mchezo mbaya na furaha ya Deus ni Kuona Mwamba huyo anatoka katika hiyo Nafasi.. SERIKALI INATUMIKA VIBAYAThis man is a true man.
Walimu wamepata mkombozi sema huwa wanafanyiana figisu tu.
Vitisho vyote hajawahi ogopa anachapa kazi tu. Anapambana kuwaunganisha awalimu lakini wachache sana wanatuika vibaya. Mtu unajua yuko kwenye majukumu ya ukatibu mkuu unamfukuza kwa utoro?.
Huyu mkurugenzi sijui kama alizaliwa kawaida. Hajui katibu mkuu anamajukumu makubwa sana.
Kumnyanyasa mtu hata Mungu hapendi. Wivu haujawahi kuishia pazuri.
Nimeshangaa kweliMwizi mwenzie huyo shoga
Huyu Deus ndio nani? Tunaweza tuka mu-expose pia?Kimsingi hawa viongozi wetu wa TSC na huyu Mkurugenzi wanatumika na Deus, Serikali wasichokijua ni kwamba Deus anawachezea mchezo mbaya na furaha ya Deus ni Kuona Mwamba huyo anatoka katika hiyo Nafasi.. SERIKALI INATUMIKA VIBAYA
Mimi nayaona tu haya mambo wala siko kwenye CHAMA CHA WALIMU.We na wewe walewale tu mwizi mkubwa
Yanakuhusu Nini?Mimi nayaona tu haya mambo wala siko kwenye CHAMA CHA WALIMU.
Na nimeshududia uongozi wa aina mbalimbali.
Ndiye aliyekuwa Katibu Mkuu kabla ya Maganga.. Hawa ni maadui ndani ya CWTHuyu Deus ndio nani? Tunaweza tuka mu-expose pia?