Mwalimu Maganga Japhet asimamishwa kazi kwa tuhuma za utoro kazini na kukaidi maelekezo ya viongozi wake

Mwalimu Maganga Japhet asimamishwa kazi kwa tuhuma za utoro kazini na kukaidi maelekezo ya viongozi wake

Utoro siku tatu tu unafukuzwa kazi sasa yy siku 18 Bado anadunda ni mwenzao huyu sema ndio hivyo angekuwa mwingine na kesi angepewa.
 
Mwalimu Japhet Maganga ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania(CWT) amesimamishwa kazi na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke. Ikumbukwe kuwa mwalimu huyu ana tuhuma nyingi zinazomkabili kwenye Chama cha Walimu Tanzania.

Sehemu ya barua hiyo imesema

''Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, ndugu Elihuruma Mabelya anapenda kuufahamisha Umma kuwa, Tume ya Utumishi wa Walimu(TSC) ambayo ndiyo mamlaka ya nidhamu ya Walimu, imemsimamisha kazi Mwalimu Maganga Moses Japhet aliyekuwa Mwalimu wa shule ya Msingi Tandika iliyopo kata ya Tandika, tangu leo, Desemba 05,2023.

Mwalimu Maganga Moses Japhet amesimamishwa kazi kutokana na tuhuma za utoro kazini na kukaidi au kukataa maelelekezo halali ya viongozi wake.''


Ikumbukwe Mwalimu Maganga aliwahi kuteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Wilaya lakini akakataa uteuzi ule.

Lakini pia, aliamriwa kurejea kazini kwake Manispaa ya Temeke lakini bado akakaidi. Zaidi soma >Katibu mkuu CWT agoma kurudi Temeke kufundisha

View attachment 2835741
Mwalimu Japhet Maganga​

Pia soma







Khaa umemkalia kooni mwenzio sijui maokoto yanakuumaaa😁😁
 
Hakuna rangi ataacha kuona ni suala la muda tu na atafungwa kwa kesi ya wizi hapo CWT.

Huo uteuzi alioukataa ilikuwa ni mbinu ya kuwatoa viongozi wote hapo CWT na baadae wangetenguliwa uDC na kustaafishwa kwa manufaa ya umma km ilivyotokea kwa DC wa Tabora Bwana Komanya!
Ndio maana alishtuka, na hata sasa kashastuka... Mganga kafanya mengi mazuri ndani ya chama, kazuiwa wizi wa wanasiasa basi mnamfanyia fitina... Ila hazitasaidia hata akitaka maokoto mliyataka yashawapitaaa!
 
Kina vitu haviwekwi sawa,kwanza katika Serikali ukisha pata kazi mahala pengine unaweza pewa ruhusa kwa muda usiozidi miaka 3 na baada ya hapo kurejea kwako katika cheo chako itategemeana na Mwajiri wako kama ana nafasi hiyo.
 
Mwalimu Japhet Maganga ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania(CWT) amesimamishwa kazi na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke. Ikumbukwe kuwa mwalimu huyu ana tuhuma nyingi zinazomkabili kwenye Chama cha Walimu Tanzania.

Sehemu ya barua hiyo imesema

''Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, ndugu Elihuruma Mabelya anapenda kuufahamisha Umma kuwa, Tume ya Utumishi wa Walimu(TSC) ambayo ndiyo mamlaka ya nidhamu ya Walimu, imemsimamisha kazi Mwalimu Maganga Moses Japhet aliyekuwa Mwalimu wa shule ya Msingi Tandika iliyopo kata ya Tandika, tangu leo, Desemba 05,2023.

Mwalimu Maganga Moses Japhet amesimamishwa kazi kutokana na tuhuma za utoro kazini na kukaidi au kukataa maelelekezo halali ya viongozi wake.''


Ikumbukwe Mwalimu Maganga aliwahi kuteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Wilaya lakini akakataa uteuzi ule.

Lakini pia, aliamriwa kurejea kazini kwake Manispaa ya Temeke lakini bado akakaidi. Zaidi soma >Katibu mkuu CWT agoma kurudi Temeke kufundisha

View attachment 2835741
Mwalimu Japhet Maganga​

Pia soma







1. Disastrous politics of CWT.

2. State colonization of Trade Unionism.
 
Mwalimu Japhet Maganga ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania(CWT) amesimamishwa kazi na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke. Ikumbukwe kuwa mwalimu huyu ana tuhuma nyingi zinazomkabili kwenye Chama cha Walimu Tanzania.

Sehemu ya barua hiyo imesema

''Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, ndugu Elihuruma Mabelya anapenda kuufahamisha Umma kuwa, Tume ya Utumishi wa Walimu(TSC) ambayo ndiyo mamlaka ya nidhamu ya Walimu, imemsimamisha kazi Mwalimu Maganga Moses Japhet aliyekuwa Mwalimu wa shule ya Msingi Tandika iliyopo kata ya Tandika, tangu leo, Desemba 05,2023.

Mwalimu Maganga Moses Japhet amesimamishwa kazi kutokana na tuhuma za utoro kazini na kukaidi au kukataa maelelekezo halali ya viongozi wake.''


Ikumbukwe Mwalimu Maganga aliwahi kuteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Wilaya lakini akakataa uteuzi ule.

Lakini pia, aliamriwa kurejea kazini kwake Manispaa ya Temeke lakini bado akakaidi. Zaidi soma >Katibu mkuu CWT agoma kurudi Temeke kufundisha

View attachment 2835741
Mwalimu Japhet Maganga​

Pia soma







Serikali inaihofu CWT kwa sababu pekee ina wanachama 49% ya ikama ya watumishi wa nchi.

Dawa pekee ya serikali kusalimika na hofu hiyo ni kuigawa CWT kuwa 2:-

1. CWT ya Walimu wa sekondari.

2. CWT ya Walimu wa shule za msingi.

Au

1. CWT ya sekta rasmi.

2. CWT ya sekta binafsi.
 
Inakuwaje Mwalimu wa Shule ya Msingi anakuwa Katibu wa Chama cha Walimu Tanzania,huku kuna Walimu wa vyuo wenye Elimu na uzoefu.haya ni maajabu ya 10 ya Dunia.
Ni maajabu haya hata Mimi Huwa nashangaa Sana.
Vyeo vingi Huwa wanapewa walimu WA shule za msingi.

Waratibu elimu kata ni walimu shule za msingi.
Viongoz WA Cwt ngaz ya wilaya ni walimu shule ya mingi.
Viongoz WA Cwt ngaz ya mkoa ni walimu shule ya msingi.

Viongoz Kwa upande wa elimu ngazi ya wilaya Kwa upande wa elimu msingi na sekondari wengi ni walimu WA msingi.

Nilichokuja kuelewa Huwa ni swala la maadili kwenye uongoz maana hao watu Wana Ile haiba haswa japo kiupeo ni weupe Sana alafu wakikomalia jambo hutok kabisa ni watu wenye roho za kukunja Sana.
 
Serikali inaihofu CWT kwa sababu pekee ina wanachama 49% ya ikama ya watumishi wa nchi.

Dawa pekee ya serikali kusalimika na hofu hiyo ni kuigawa CWT kuwa 2:-

1. CWT ya Walimu wa sekondari.

2. CWT ya Walimu wa shule za msingi.

Au

1. CWT ya sekta rasmi.

2. CWT ya sekta binafsi.
Kwani kile chama kipya cha walimu tulichokisikia hii miezi ya karibuni kimeishia wapi?
 
Yaani mshahara wote ule bado hajajipanga mpaka arudi kwenye ualimu,ni mjinga tu anaweza kurudi kwenye chaki
Imagine mshahara,tenda ya kutengeneza skafu na kofia bado mwalimu saccos kweli arudi kwenye chaki?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Inakuwaje Mwalimu wa Shule ya Msingi anakuwa Katibu wa Chama cha Walimu Tanzania,huku kuna Walimu wa vyuo wenye Elimu na uzoefu.haya ni maajabu ya 10 ya Dunia.
Wao ndo wengi kwa hiyo huwa wanachagua wa msingi mwenzao mambo ya anafaa au hafai hayawahusu
Wao wanachoangalia awe msingi mwenzao

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom