Mwalimu Mkuu aliyepewa fedha za TAKUKURU Afariki Dunia, yadaiwa amekunywa kimiminika chenye sumu

We jamaa bhana 😂😂🤣 Kwa moyo huo utaishi miaka mingi sana halafu utakufa Kwa kung'atwa na mbu tu.
 
Sio rahisi kuamini kua kajiua
Ukute kajiua kweli, na ukute hiyo pesa anayo wala hakuila....shida ni kuwa alichelewa kutengeneza hilo bango.

Msione Mwenge unapita mtaani huwa kuna rabsha nyingi kwenye maandalizi....Mwalimu alitakiwa kujisimamia na kujitetea, Hao TAKUKURU walishindwa nini kulitengeneza Hilo bango wenyewe walipeleke shuleni?

Kingine ni kuwa wakuu wa shule jitahidini kuishi vizuri na subordinates wenu, wengi mna ukoloni na mahusiano mabaya, Yani mnawachukulia subordinates Kama wanafunzi vile....Hapo ukute Mkurugenzi katishia kumtoa ukuu Kwa kuwaharibia shughuli ya Mwenge, yeye kaona bora ajiue, Yani afe na ukuu wake🤣
 
Naye alikuwa bar akipata hiyo raha.
 
Mm nadaiwa mil 60 na nmb .tra 14mil watu binafsi si chini ya 100 na bado badae ntakuwa Juliana kwa raha zangu
huna habari ndio kwanza unanenepa kama nguruwe yaani[emoji23][emoji23][emoji23].

kudaiwa sio kesi ya ubakaji.
 
Dah huu mtiririka wa habari ni wa aina yake
 
Ilikuwa shilingi ngapi? Kama fundi alizila alishindwa kuweka zake ili baada ya tukio amalizane na fundi?
 
Kwani hata angeambiwa alipe elfu hamsini atainyea Wapi, labda mpaka mshahara ila kama ni katikati ya mwezi hakuna ticha mwenye hela hiyo
Sidhani kama anaweza kuikosa hata kwa kukopa kwa mwalimu wa tutution wa mathe😂😂😂 au basi kumfukuza mwanafunzi kwa kuongea kilugha na kumpa adhabu ya kuja na elfu hamsini ya kununua vitabu vya kiingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…