Mwalimu Mkuu aliyepewa fedha za TAKUKURU Afariki Dunia, yadaiwa amekunywa kimiminika chenye sumu

Mwalimu Mkuu aliyepewa fedha za TAKUKURU Afariki Dunia, yadaiwa amekunywa kimiminika chenye sumu

According to Sumaye fear of an knowing. Tuna hofu ya kitu tusichokijua. Tuna hofu hata na sisi wenyewe. Bango Tsh 1000 ingetosha A4 paper
 
TAKUKURU wenyewe wameuliza,"Kwa nini amejiua kwa vijisenti kama vile?'(150,000)shilingi laki moja na nusu.
 
Kuna watu wanaiba mamilioni ya serikali wapo na hawafanywi kitu, uoga ni mbaya sana.
Sasa ukiwa na mamilioni uoga wa nini.
Mchukua maelezo police ana bahasha yake ya kaki unatoa maelezo huku unakunywa Pepsi baridi.
Hukumu ya kishikaji ya haraka haraka unalipa faini mbuzi unarejea mtaani
 
Watu wanadaiwa madeni mazito sana na hawajizuru, huyu atakuwa legelege sana.
Walimu ni wazalendo sana yaani amekula Hela ndogo tu ya umma kajitoa uhai wakati politician wanataduna mabillioni ya umma na wala hawajali
 
Back
Top Bottom