Mwalimu Mkuu aliyepewa fedha za TAKUKURU Afariki Dunia, yadaiwa amekunywa kimiminika chenye sumu

Kuna watu wanaiba mamilioni ya serikali wapo na hawafanywi kitu, uoga ni mbaya sana.
Kuna fisadi moja la ccm liliwahi kuniambia nisiogope kutoa rushwa kwani serikali ni dude kubwa na halina mqenyewe...ccm kumbafu sana
 
Kweli nchi hii inavituko! Mwalimu kala hela ya kibao ambayo hata iweje haiwezi kuzidi laki anajiua, lakini hawa wapo wanadunda na pengine wanatukashifu kwa dharau kabisa;
 
Ni wazi hakujiua kwa sababu za hicho kibao, wachunguze kwa kina sababu za kweli ni zipi. Au kama wanazijuwa waseme ukweli tu.
 
Kuna kitu Kiko nyuma ya pazia! Mwl huwa ni mtu asiekosa solution kwa tatizo lolote!
Mi nadhani Huyu ticha hajanywa mwenyewe kwa hiari itakuwa kanywesha! Au alikuwa na shida ingine kubwa kaunganisha!
 
Nifah
πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’š
 
Amegive up so easily
 
....eti afe na ukuu wake...daah [emoji1787][emoji1787]
 
Kuna kitu Kiko nyuma ya pazia! Mwl huwa ni mtu asiekosa solution kwa tatizo lolote!
Mi nadhani Huyu ticha hajanywa mwenyewe kwa hiari itakuwa kanywesha! Au alikuwa na shida ingine kubwa kaunganisha!
Kama mwakimu hakosi soln Kwa tatizo lolote lile kama unavyosema, alishindwaje kupata soln ili asinyweshwe sumu?

Walimu bhana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…