Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Umeelewa nilichosema au umekurupuka soma vizuri mimi nimerekebisha tu translation yake ya huo ugonjwa wapi nimeongelea bacteria ama virus???Wewe ndio umepotea,plague ni bacteria infection na covid_19 ni viral infection kwahiyo ni vitu viwili tofauti hapo yaani covid_19 ni maradhi ambayo yanasababishwa na vimelea aina ya virusi ambao ni corona virus na plague inasababishwa na vimelea aina ya bacteria sasa usawa uko wapi hapo?
Msamehe mkuu,hajui.Hawa matapeli kumbe bado wapo na kushindwa kuponyesha corona? Ona linavyopotosha , plague/Tauni inaletwa na bacterium Yersinia pestis , corona ni virus, wapi na wapi!
Bado utapeli umejichimbia kwenye vichwa vyao
Sio kweli,labda angeufananisha na tauni,kwa madhara.Mwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.
Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.
Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.
Source Upendo tv!
Anthrax ndio Kimeta.Hii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
A contagious bacterial disease characterized by fever & delirium,typically with the formation of buboes and sometimes infection of the lungsPlague ni ugonjwa wowote unao ua watu wengi kwa mda mfupi ndo maana kwenye version za biblia ya kingereza wametumia plague mfano Numbers 16:46, Kama waliokuletea dini na science wanakuambia ni pi plague na unawabishia aya
Hii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Mbona kwenye biblia ya kingereza wameiita plague, tukumbuke wao ndo wametuletea Kila kituA contagious bacterial disease characterized by fever & delirium,typically with the formation of buboes and sometimes infection of the lungs
An unusually large number of insects or animals infesting a place and cause damage mfano a plague of locusts
Hiyo ndio maana ya plague
Shida ukisema tauni kwa Kiswahili inakua direct tauni ugonjwa ila kiingereza ndo imecover hizo 2.......biblia za kiswahili sehemu ya plague inatumia maneno tofauti tokana na situation inayoongelewa sio mistari yote plague wamesema ni tauni wakati biblia ya kiingereza ndo imetumia plague katika situation 2....huyo angesema tu corona ni pigo toka kwa Mungu kama yale mapigo ya Misri (biblia ya kiswahili imeandika mapigo 10 haijaandika tauni 10 wakati ya kiingereza imesema 10 plagues)......na hata hapo kwenye corona sasa kakosea kusema ni tauni corona ni pigo sio tauniMbona kwenye biblia ya kingereza wameiita plague, tukumbuke wao ndo wametuletea Kila kitu
Biblia imeleta kila kitu?Mbona kwenye biblia ya kingereza wameiita plague, tukumbuke wao ndo wametuletea Kila kitu
Shida ukisema tauni kwa Kiswahili inakua direct tauni ugonjwa ila kiingereza ndo imecover hizo 2.......biblia za kiswahili sehemu ya plague inatumia maneno tofauti tokana na situation inayoongelewa sio mistari yote plague wamesema ni tauni wakati biblia ya kiingereza ndo imetumia plague katika situation 2....huyo angesema tu corona ni pigo toka kwa Mungu kama yale mapigo ya Misri (biblia ya kiswahili imeandika mapigo 10 haijaandika tauni 10 wakati ya kiingereza imesema 10 plagues)......na hata hapo kwenye corona sasa kakosea kusema ni tauni corona ni pigo sio tauni
Wazungu ndo wanamajibu si hata dini ndo wametuletea na ndo waliotafsiri bibliaBiblia imeleta kila kitu?
Kuna tafsiri za kingereza zinasema Yale mapigo kumi nayo ni plagueShida ukisema tauni kwa Kiswahili inakua direct tauni ugonjwa ila kiingereza ndo imecover hizo 2.......biblia za kiswahili sehemu ya plague inatumia maneno tofauti tokana na situation inayoongelewa sio mistari yote plague wamesema ni tauni wakati biblia ya kiingereza ndo imetumia plague katika situation 2....huyo angesema tu corona ni pigo toka kwa Mungu kama yale mapigo ya Misri (biblia ya kiswahili imeandika mapigo 10 haijaandika tauni 10 wakati ya kiingereza imesema 10 plagues)......na hata hapo kwenye corona sasa kakosea kusema ni tauni corona ni pigo sio tauni
Ndo nasema kwa kiingereza ni hivyo ila kwa kiswahili ukishasema tauni ndo huo ugonjwa wa tauni ndo maana hata kwenye huo mstari wamesema mapigo kumi na sio tauni kumi,........kiswahili ukishasema tauni ni ugonjwa specific ndo maana kwenye huo mstari hawajasema tauni wamesema ni mapigo huku kwenye kiingereza wametumia neno hilohilo plague..........kwa hii situation tunayo ongelea sasa ni sawa kusema corona ni pigo ila si sawa kusema corona ni tauni wakati kwa kiingereza ni sawa tu ukisema corona is a plague kwa mtazamo wa kibiblia. (kwa kiingereza plague inafit kote ugonjwa wenyewe pamoja na majanga mengine yanayomaliza watu kwa wingi sio magonjwa tu peke yake ila ukija kwa Kiswahili hii plague haitafsiriwi moja kwa moja kua tauni kuna sehemu hawasemi tauni kutokana na nature ya kitu wanachoelezea sasa kwa hii corona kusema ni tauni anakosea ndo maana watu wanapinga hio angesema ni pigo tu na si kuchukua direct translation kwenye Kiswahili pigo ni pigo na tauni ni tauni ipo specific kabisa)Kuna tafsiri za kingereza zinasema Yale mapigo kumi nayo ni plague
Ningetamani niangalie ila tayari hamu ishapoteaKuanzia saa 10.00 jioni hadi 12:30
Corona ndio tauni kivipi, mbona wababaishaji. Ni sawa na kusema mdomo ni pua. Kuishi na watu kazi sana. Mnachotaka mfananishe mbaka ije. Kaz kweli kweliMwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.
Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.
Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.
Source Upendo tv!
Kama hujui mambo ya kiroho acha kucomment,mbona unamshambulia mtumishi wa mungu.Hawa matapeli kumbe bado wapo na kushindwa kuponyesha corona? Ona linavyopotosha , plague/Tauni inaletwa na bacterium Yersinia pestis , corona ni virus, wapi na wapi!
Bado utapeli umejichimbia kwenye vichwa vyao
Hapo mtumishi kabugi sio ishu za kujua kirohoKama hujui mambo ya kiroho acha kucomment,mbona unamshambulia mtumishi wa mungu.
Yupo kwenye semina?Anakusanya mikusanyiko ya watu?![emoji848][emoji848][emoji848]