Mwalimu Mwakasege uwe unajiongeza ili kuzishinda mbinu za Mwamposa katika kugombania Waumini Tanganyika Packers Kawe

Hivi mtume kwa wakristo anatambuliwaje???

Mtume anatambulika mfungua makanisa na kazi ya Mungu maeneo tofauti tofauti. Yani mtume Ni mtu wa kutembea Sana kwenye maeneo ambayo hayajafikiwa na injili.
 
Kwa taarifa yako tu, Mwakasege haandai mikutano. Yeye ni mwalikwa tu. Hata wewe waweza kuandaa mkutano wako ukamualika, ratiba yake ikiwa free atakuja
 
Yaani nashindwa kuwaelewa hawa kondoo waaminiye hawa wachungaji, hivi mnakuwa mmerogwa au? Hawa wachungaji ni wasanii tu, hawana lolote.
 
Ila sisi wakrisyo dah[emoji2357] ,kwamba kuna ushindani wa kimahubiri tena?? Aya na point yako imelenga zaidi kwenye sadaka wala sio mafundisho, me nilidhani utafurahi kuwa wananchi wa kawe watakuwa wamepata neema ya kuhubiriwa na watumishi wawili kwa wakati mmoja aisee!
 
Achana na mambo usiyoyajua. Mwakasege ni mwalimu, Mwamposa ni mtume, huduma mbili tofauti.

Wingi wa watu huletwa na Roho Mtakatifu kutokana na anavyotaka kuwahudumia
Ila Mwakasege alipoanza kunena kwa lugha ndo nikachoka kabisa, huyu si mwalimu huyu...........akaprakachakachakapakara....uongo uongo kama tapeli Mwamposa.
 
Kwanza mwalimu mwakasege husema huwa hafanyi jambo bila kumshirikisha Mungu kwa hiyo haendi popote kama Mungu hajamwambia aende hata kiwanja hachaguichagui kwa akili zake,pili acha kumchafua mtumishi wa Mungu usije ukajiletea laana kwenye maisha yako na kizazi chako.
 
Achana na mambo usiyoyajua. Mwakasege ni mwalimu, Mwamposa ni mtume, huduma mbili tofauti.

Wingi wa watu huletwa na Roho Mtakatifu kutokana na anavyotaka kuwahudumia
Eti mtume [emoji1]

Ova
 
Sidhan kama una akili timamu aisee nimesoma andko lako ni kama unawaona mwakasege na mwamposa hawatoi huduma yoyote zaid ya kulenga sadaka tu mambo ya imani yaachen kama yalivyo hayahitaji ujuaji wa kuitana mkuu mkuu kama hayajakufka mambo ya ulimwengu wa roho nyamaza kmy potezea kbs.
 
Bora wenzako wanashindana kwenye maandiko ya Mungu kuliko we popoma unaeshindana kumiliki ID uchwara!
 
View attachment 2510825
Hakika hakukosea. [emoji1431]
Hiki kitabu nitakitafuta maana nilimsikia akielezea jinsi alivyokiandika,kwamba alikuwa kwenye ndege kurudi bongo,walipotua nchi fulani ili kubadilisha ndege mhudumu akamwambia yeye na mke wake watapanda first Class,akashangaa kidogo maana yeye alikuwa amepanda second class,ikabidi waingie,walipokaa tu huko First class kuna meza na taa, Roho mtakatifu akaanza kumpa madini,anasema aliandika kwa saa tano mfululizo mpaka akamaliza.
 
Achana na mambo usiyoyajua. Mwakasege ni mwalimu, Mwamposa ni mtume, huduma mbili tofauti.

Wingi wa watu huletwa na Roho Mtakatifu kutokana na anavyotaka kuwahudumia
Kwamba Huyo Tapeli ni Mtume? Kamtuma nani?

Mungu hakufanya huduma kwa malipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…