Hivi mtume kwa wakristo anatambuliwaje???
Nani kaongelea nabii?Mwalimu ni yule anayefundisha.
Nabii analeta nini??
Kwa taarifa yako tu, Mwakasege haandai mikutano. Yeye ni mwalikwa tu. Hata wewe waweza kuandaa mkutano wako ukamualika, ratiba yake ikiwa free atakujaWw pia hujui kitu, wote wachumia tumbo, wanakula sadaka za watu kupitia jina la Yesu, siku Yesu akirudi anaanza na Mwamposa na Mwakasege kuwapeleka motoni kabisa jehanam, sbb wanatafuta hela usiku na mchana kwa kutumia jina la Yesu, wakati Yesu hakufanya hivyo, huko ni kufanya biashara kwa jina la Yesu.
Yesu hakufanya biashara za kukusanya sadaka, yaani watu wajinga wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Yaani nashindwa kuwaelewa hawa kondoo waaminiye hawa wachungaji, hivi mnakuwa mmerogwa au? Hawa wachungaji ni wasanii tu, hawana lolote.Huko nyuma nilikuwa nakuona uko Smart ila kwa sasa taratibu naanza Kukuona nawe ni kama vile Unapotea na Hamnazo fulani hivi japo Nakukubali mno na sana Kimafundisho.
Mwalimu Mwakasege unajua fika kuwa Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri na Mwanafunzi wako ) ameshawateka wana Dar es Salaam tena wa Kawe aliko lakini nawe kila ukija Kufanya Mahubiri yako Mkoani Dar es Salaam unangangania kuwa ni Kawe ( Tanganyika Packers ) tu.
Hivi Mwalimu Mwakasege kwani ukiwa unafanya Tamasha lako ( Mahubiri yako ) maeneo mengine ya Dar es Salaam kama Viwanja vya Mwembe Yanga hutoweza kupata Watu wanaokuamini?
Haya ona sasa umepanga nawe Kuanza Tamasha lako ( Mahubiri yako ) Leo Tanganyika Packers ( kama sijakosea ) na Mtume Mwamposa baada ya kuona utapiga Hela na Yeye kwa Makusudi ameweka Tamasha la Wanawake ambao ndiyo Mtaji wake na Jeshi Kubwa Kanisani Kwake hivyo kusababisha ukimbiwe na Waumini wako wengi waliopanga Kuhudhuria ( Kuja ) Kwako leo.
Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri japo ni Mwanafunzi wako pia ) anajua mno Kucheza na Akili zako na anahakikisha ukija tu Mkoani Dar es Salaam kufanya Tamasha lako basi nae pia Wiki hiyo hiyo atafululiza na Matamasha ili mradi tu mgawane Waumini na usipate Kiwango cha Pesa ( Sadaka ) ulichokilenga kama siyo Kukikusudia.
Ukishauriwa hutaki Kusikia. Leo kama utapata Sadaka nyingi ni Shilingi Elfu Arobaini na Tano na Mia Tano Hamsini ( Tsh 45,550/= ) tu wakati Mwenzako Mtume Mwamposa kwa Nyomi la leo najua akikusanya Sadaka zote hakosi Shilingi Milioni Tano ( Tsh 5,000,000/= ) mpaka Milioni Kumi ( Tsh 10,000,000/= )
Labda baada ya huu Uzi wangu Utabadilika.
Anajitangaza tu mwenyewe kama alivyojitangaza muddy boy..Hivi mtume kwa wakristo anatambuliwaje???
Anajitangaza tu mwenyewe kama alivyojitangaza muddy boy..
Mbona mnazidi kumuanikia ID's zake juani?Kwahiyo bwana @mightier , Mwalimu Mwakasege aufuate huu upumbavu wako ?
Ila Mwakasege alipoanza kunena kwa lugha ndo nikachoka kabisa, huyu si mwalimu huyu...........akaprakachakachakapakara....uongo uongo kama tapeli Mwamposa.Achana na mambo usiyoyajua. Mwakasege ni mwalimu, Mwamposa ni mtume, huduma mbili tofauti.
Wingi wa watu huletwa na Roho Mtakatifu kutokana na anavyotaka kuwahudumia
Eti mtume [emoji1]Achana na mambo usiyoyajua. Mwakasege ni mwalimu, Mwamposa ni mtume, huduma mbili tofauti.
Wingi wa watu huletwa na Roho Mtakatifu kutokana na anavyotaka kuwahudumia
Hiki kitabu nitakitafuta maana nilimsikia akielezea jinsi alivyokiandika,kwamba alikuwa kwenye ndege kurudi bongo,walipotua nchi fulani ili kubadilisha ndege mhudumu akamwambia yeye na mke wake watapanda first Class,akashangaa kidogo maana yeye alikuwa amepanda second class,ikabidi waingie,walipokaa tu huko First class kuna meza na taa, Roho mtakatifu akaanza kumpa madini,anasema aliandika kwa saa tano mfululizo mpaka akamaliza.View attachment 2510825
Hakika hakukosea. [emoji1431]
Wewe sio wa kwanza kusema HayaUkitaka kugombana na wamama mtukane Mwamposa
Kwamba Huyo Tapeli ni Mtume? Kamtuma nani?Achana na mambo usiyoyajua. Mwakasege ni mwalimu, Mwamposa ni mtume, huduma mbili tofauti.
Wingi wa watu huletwa na Roho Mtakatifu kutokana na anavyotaka kuwahudumia