Mwalimu Mwakasege uwe unajiongeza ili kuzishinda mbinu za Mwamposa katika kugombania Waumini Tanganyika Packers Kawe

Hovyooooo!hivi ni lazima kuonesha upumbavu wako?
 
Bwana Cherehani angefyeka sikio zote Mana hazisikii lolote.
 
Popoma unahangaika mnoooo.... kila kitu unajidai unajua . Una shida mahali sio bure
 
Kondoo wangu waijua sauti yangu, nao wanifuata asema Bwana!!
 
Huku umepotea Sana, hujui haya mambo,kanisa Kama mwili wa KRISTO lina viungo vingi, ndani ya KANISA, wengine, mitume,manabii, wachungaji, waalimu wote hawa hufanya kazi moja ya kuwaleta watu kwa MUNGU.
Siyo mashindano Kama unavyodhani, huduma siyo idadi ya watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo la hili jukwaa limejaa watu wa hovyo. Kila kitu wanajifanya wajanja.
 
Huna Akili.
 
✅🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…