Nimeitoa kwenye gazeti la mwananchi Hii picha hipo mtandaoni tena kwenye gazeti la mwananchi. Mrembo alale na Yesu tuSio vizuri kuleta picha za marehemu wa watu bila ruhusa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeitoa kwenye gazeti la mwananchi Hii picha hipo mtandaoni tena kwenye gazeti la mwananchi. Mrembo alale na Yesu tuSio vizuri kuleta picha za marehemu wa watu bila ruhusa mkuu
Yesu analalaje na watu sasa??Nimeitoa kwenye gazeti la mwananchi Hii picha hipo mtandaoni tena kwenye gazeti la mwananchi. Mrembo alale na Yesu tu
sawa mkuu!Mkuu weka hii picha ya marehemu hapo chini kwenye uzi wako.
View attachment 2951467
Aise bonge la demu kudadeki nikifa tamkuta huko ananisubilia.
Inabidi ufe tu sasa hivi umpateAise bonge la demu kudadeki nikifa tamkuta huko ananisubilia.
Acha atangulie akaandae makazi.Mkuu unajiita dawa
Inabidi ufe tu sasa hivi umpate
Hata ticha mwenyewe analipa maana ni pisi inaonekana kidume nafsi imeshindwa kukubaliLabda ni wivu wa mapenzi!
Machizi wanaongezeka jfUmasikini ni laana yahn mzazi unafika hatua ya kushindwa kukaa na binti yako unaruhusu akake kwa watu baki .....lakini pia uyo mzazi alikosa majina mpaka akampa mwanae jina la TATIZO.??
Ushambiwa alienda Kuishi kwa mwalimu ili awe karibu na shuleSina wasiwasi na Akili zangu.....labda Akili zako ambazo unaona Ni Sawa Kwa ulimwengu huu WA sasa Ni kawaida mtoto wako wa miaka16 kwenda kuishi na mtu baki
afadhali upo🤣🤣🤣aisee...asante kwa kujali ila mie nipo mbeya not chunya
Barikiwa sanaafadhali upo
Laana gani mkuu! Huyu anakaa kwa shemeji yake nae usimlaumuMkishapata kazi vijana mnajeuri sana,
Hivi huko kijijini, shule iko mbali, kuliko kumpangia bchumba binti mdogo kuna ubaya kukaa na mtu anaeeleweka?
Au we ndo umezaliwa na kukua mjini hufahamu maisha ya kijiji?
Ukute we ndo unalaana
Hata mimi nimemwona aisee too sad.Unaanzaje kuua beautiful kama yule?Nimekaona kalivyo kazuri, imeniuma mno