Mwalimu, mwanafunzi wakutwa wameuawa ndani ya nyumba

Mwalimu, mwanafunzi wakutwa wameuawa ndani ya nyumba

Umasikini ni laana yahn mzazi unafika hatua ya kushindwa kukaa na binti yako unaruhusu akake kwa watu baki .....lakini pia uyo mzazi alikosa majina mpaka akampa mwanae jina la TATIZO.??
Machizi wanaongezeka jf
 
Sina wasiwasi na Akili zangu.....labda Akili zako ambazo unaona Ni Sawa Kwa ulimwengu huu WA sasa Ni kawaida mtoto wako wa miaka16 kwenda kuishi na mtu baki
Ushambiwa alienda Kuishi kwa mwalimu ili awe karibu na shule
 
Mkishapata kazi vijana mnajeuri sana,
Hivi huko kijijini, shule iko mbali, kuliko kumpangia bchumba binti mdogo kuna ubaya kukaa na mtu anaeeleweka?
Au we ndo umezaliwa na kukua mjini hufahamu maisha ya kijiji?

Ukute we ndo unalaana
Laana gani mkuu! Huyu anakaa kwa shemeji yake nae usimlaumu
 
Nimeona picha yake madam,lazima ni issue za mapenzi maana ni pisi si mchezo.
 
Back
Top Bottom