Watu unaowaongelea wawe na elimu na wawe hawawezi kurubuniwa kwa kipande cha kanga na kofia !! Otherwise tunadanganyana !!Serikali ni watu, serikali inawekwa na watu na inaondolewa na watu, na ni lazima isikilize watu, Kama huamini hilo wewe ni mfugo ulitakiwa kuwekwa ndani na kulishwa, maana binadamu hawapendi kufugwa na kulishwa na serikali
Serikali za kikatili, zinazonuka rushwa ndio zenye nguvu kuliko watu
Huu ni ujinga ambao kwa kiasi kikubwa ulichangiwa na NyerereWatu unaowaongelea wawe na elimu na wawe hawawezi kurubuniwa kwa kipande cha kanga na kofia !! Otherwise tunadanganyana !!
UkiTaka kujenga nyumba imara lazima kwanza uweke msingi imara ! China walianzishwa kwanza kuwekwa kwenye misingi imara ya kizalendo kisha baada ya kuonekana kuwa wameshafaulu ndio nyumba imara ikaanza kujengwa ndio maana China ukila Mali ya Umma wanakunyonga maana wanajua wewe sio mwenzao !! Wakikushika na madawa ya kulevya wanakunyonga maana wanajua wewe sio mwenzao !! Sisi tuliidharau ile misingi imara tukaanzisha yetu ya dili dili dili kwa Kwenda mbele !! Ndio maana Leo tuna miaka 60 ya Uhuru bado tunazungumzia madawati na maji safi !!Tajiri hatakiwi kuitegemea serikali, tajiri anatakiwa kufanya biashara zake na kulipa Kodi stahiki kwa serikali
Hizo Kodi za serikali inayokusanya ndio itasaidia kutoa huduma za kijamii na kusaidia wale wasiojiweza kabisa
Nyerere alikuwa na Sera mbovu kiuchumi ndio maana leo legacy yake kwenye uchumi hakuna, anasifiwa kwa kukera Uhuru na umoja lakini uchumi aliboronga, ndio maana Mambo ya azimio la Arusha yalitupiliwa mbali na ubinafsishaji ukafuata
China kwa Sasa Ina mamilionea wengi kuliko Marekani na ni major force kwenye uchumi wa dunia, sababu haifuati Tena huo ukomunisti
Ukinitolea mfano wa China, Mimi naweza kukutolea mfano wa nchi 50 ambazo haijafuata model ya China na zimefanikiwa muda mrefu kabla hata ya ChinaUk
UkiTaka kujenga nyumba imara lazima kwanza uweke msingi imara ! China walianzishwa kwanza kuwekwa kwenye misingi imara ya kizalendo kisha baada ya kuonekana kuwa wameshafaulu ndio nyumba imara ikaanza kujengwa ndio maana China ukila Mali ya Umma wanakunyonga maana wanajua wewe sio mwenzao !! Wakikushika na madawa ya kulevya wanakunyonga maana wanajua wewe sio mwenzao !! Sisi tuliidharau ile misingi imara tukaanzisha yetu ya dili dili dili kwa Kwenda mbele !! Ndio maana Leo tuna miaka 60 ya Uhuru bado tunazungumzia madawati na maji safi !!
Wewe utakuwa unaishi dunia ya peke yako kama hujui kwamba matajiri ndio vitegemezi wakubwa wa serikali.Tajiri hatakiwi kuitegemea serikali, tajiri anatakiwa kufanya biashara zake na kulipa Kodi stahiki kwa serikali
Hizo Kodi za serikali inayokusanya ndio itasaidia kutoa huduma za kijamii na kusaidia wale wasiojiweza kabisa
Nyerere alikuwa na Sera mbovu kiuchumi ndio maana leo legacy yake kwenye uchumi hakuna, anasifiwa kwa kuleta Uhuru na kuimarisha umoja lakini uchumi aliboronga, ndio maana Mambo ya azimio la Arusha yalitupiliwa mbali na ubinafsishaji ukafuata
China kwa Sasa Ina mamilionea wengi kuliko Marekani na ni major force kwenye uchumi wa dunia, sababu haifuati Tena huo ukomunisti
Unaonyesha wazi hujui wapi pa kuelekeza lawama zako.Halafu adui mkubwa wa nchi ni ujinga na uvivu,
hata Kama taifa lina 0 ufisadi Ila lina watu ambao ni wavivu, wasio wabunifu, wanaoililia serikali kwenye kila kitu, itakuwa imedumaa
Tanzania ni moja ya nchi za mwisho kabisa Africa kufikia uchumi wa katiWewe utakuwa unaishi dunia ya peke yako kama hujui kwamba matajiri ndio vitegemezi wakubwa wa serikali.
"Sera mbovu kiuchumi," ni wapi palipokuwa na sera nzuri kiuchumi paliponeemeka hapa barani Afrika? Hujui matatizo ya uchumi yaliyokuwa yanaikumba dunia nzima nyakati hizo? Unajisahaulisha tu mradi ukidhi dhana yako potofu juu ya sera za uchumi za Nyerere na kuziimba tu kama kasuku?
Haya, tuambie, China kwa sasa ambayo ina mamilionea, walianzia wapi hao mamilionea? Na hapo ulipo na akili yako unadhani serikali ya China iliwatupa mbali maskini wao kwa vile sasa wamepatikana mamilionea wengi?
Viongozi kama Nyerere na Magufuli ndio viongozi bora? Walifanya nini kukuza uchumi? Zaidi ya kupunguza kasi ya ukuaji wakeUnaonyesha wazi hujui wapi pa kuelekeza lawama zako.
Na mtu kama wewe ukiwa kiongozi ndiyo kila kitu kitaharibika kabisa, kwa sababu hujui tatizo liko wapi, kumbe tatizo ni wewe mwenyewe kama kiongozi.
Unaniuliza swali la kipuuzi unapounganisha kwa pamoja viongozi hao bila kujali mambo mengine yaliyofanyika wakati wa uongozi wao.Viongozi kama Nyerere na Magufuli ndio viongozi bora? Walifanya nini kukuza uchumi? Zaidi ya kupunguza kasi ya ukuaji wake
Kwa hiyo mifano uliyoweka hapo ndio nchi nyingi za afrika zilizofikia uchumi wa kati? Na kwa akili yako, unadhani mwananchi wa kawaida wa Kenya anayo hali bora zaidi ya mwananchi wa Tanzania? Unajua Turkana, Baringo, Isiolo, Kilifi, na hata Kisumu zilipo? Huko hakuna wananchi ambao ni wakenya?Tanzania ni moja ya nchi za mwisho kabisa Africa kufikia uchumi wa kati
Wastani wa kipato cha mwananchi ni kidogo mno ukilinganisha na nchi nyingine kama Kenya, Botwasana, Namibia, South Africa
Sera mbovu,
Wewe ndio mpuuzi mkubwa, tena mpumbavu, mimi wa kukuuliza ndio, kwani wewe ni nani?Unaniuliza swali la kipuuzi unapounganisha kwa pamoja viongozi hao bila kujali mambo mengine yaliyofanyika wakati wa uongozi wao.
Wewe kuniuliza juu ya uongozi wa Mwalimu Nyerere inaonyesha wazi unaupungufu kwenye fikra zako juu ya uongozi.
Kwani kipato cha mfanyakazi wa kawaida Kenya kama mwalimu ni kiasi gani ukilinganisha na mwalimu wa Tanzania?Kwa hiyo mifano uliyoweka hapo ndio nchi nyingi za afrika zilizofikia uchumi wa kati? Na kwa akili yako, unadhani mwananchi wa kawaida wa Kenya anayo hali bora zaidi ya mwananchi wa Tanzania? Unajua Turkana, Baringo, Isiolo, Kilifi, na hata Kisumu zilipo? Huko hakuna wananchi ambao ni wakenya?
Wewe unadhani hayo maua yanayolimwa na wazungu na kuuzwa nje ni hela inayoingia moja kwa moja mifukoni mwa mwananchi wa Kenya?
Sitashangaa kama huyu aliyeleta mada hii hapa jukwaani hayupo chini ya 'influence' ya "Ngada", maanaeke anayoyatetea siyo ya mtu mwenye akili iliyo timamu.Wengine wameshaanza kusema Ngada iko kwenye mfumo wa dunia na inawakwamua vijana !! Maana yake waachiwe tu !! Hatari sana !!
Unapoleta takataka hapa ni lazima uambiwe. Hii uliyoweka hapa ni takataka.Wewe ndio mpuuzi mkubwa, tena mpumbavu, mimi wa kukuuliza ndio, kwani wewe ni nani?
Unajifanya mjuaji unaulizwa unarukaruka na blah blah kibao
Nimekuita kuja kuchangia huu uzi? Si umejileta mwenyewe ukijibiwa unanata?
Walimu wapo wangapi Kenya? Hilo kundi dogo nalo ni la kulitolea mfano?Kwani kipato cha mfanyakazi wa kawaida Kenya kama mwalimu ni kiasi gani ukilinganisha na mwalimu wa Tanzania?
Masikini wapo Kenya, China, Marekani na kila mahali, ila tunaangalia kiwango cha umasikini kipoje
Akili yako kisoda akijaikwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi
Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi
Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika
Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k
Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu
Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali
Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali
Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, serikali inayopiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi
Correct.kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi
Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi
Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika
Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k
Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu
Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali
Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali
Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, serikali inayopiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi