Mwalimu Sekondari ya Mwilibona awapiga wanafunzi 2 na kuwavimbisha mikono sababu ya kuchelewa kufika shuleni

Mwalimu Sekondari ya Mwilibona awapiga wanafunzi 2 na kuwavimbisha mikono sababu ya kuchelewa kufika shuleni

Tazama clip hapo chini. Serikali inatakiwa ichukue hatua za haraka kwenye suala hili na kufanya uchunguzi wa kina kabisa ikiwemo na kuwahoji watoto wanaosoma hizi shule maana hivi tunavyoona inaweza ikawa ni tip of the iceberg tu.
Malaria 2 ndiyo mnavyofundisha watoto hivi mpaka mnawatoa damu?
Mbona hamna kitu. Halafu mbona umenitag mimi?
 
Tazama clip hapo chini. Serikali inatakiwa ichukue hatua za haraka kwenye suala hili na kufanya uchunguzi wa kina kabisa ikiwemo na kuwahoji watoto wanaosoma hizi shule maana hivi tunavyoona inaweza ikawa ni tip of the iceberg tu.
Malaria 2 ndiyo mnavyofundisha watoto hivi mpaka mnawatoa damu?
Malaria 2 siku hizi ni mla nguruwe mzuri tu usimuulize habari hizo.
 
hii video ni ya kitambo kdg, kwani hamna hatua zilizochukuliwa?
 
Tazama clip hapo chini. Serikali inatakiwa ichukue hatua za haraka kwenye suala hili na kufanya uchunguzi wa kina kabisa ikiwemo na kuwahoji watoto wanaosoma hizi shule maana hivi tunavyoona inaweza ikawa ni tip of the iceberg tu.
Malaria 2 ndiyo mnavyofundisha watoto hivi mpaka mnawatoa damu?
Huyu mtoto uvaaji unawasiwasi, halafu itakua shule kama zile shule zenu
 
Nimefunga mimi hivi sasa, naitafuta laylagadri. Nakushauri na wewe usilimu usije ukapata mateso baada ya kufa
Asikuongopee mtu, ukifa biasha inaishia hapo hapo, hizi dini zenu za kutoka Mashariki ya Kati zinawapoteza sana.
 
Mwalimu Kisogi wa shule ya Sekondari Mwilibona awapiga wanafunzi wake 2 na kuvimba mikono na damu kumwagika kisa wamechelewa kufika shule.

Wanafunzi wao wamesema walikuwa wanakwenda kusaini ofisini kwake kwa sababu walikuwa wanakosa shule. Kwahiyo walitakiwa kila siku wasaini saa moja na nusu sasa leo wakiwa wamechelewa baada ya hapo mwalimu huyo akawashushia kipigo kizito wanafunzi hao.

Soma Pia: Mwalimu adaiwa kumpiga ngumi mwanafunzi na kumng'oa jino, eti Kisha kapata alama 29 za Hisabati
Wazazi tuweni makini na hawa walimu. Mimi dogo alikua anapigwa bakora za kichwani kutokana na ubusy sikujua hata siku nakuja kushtuka kijana kavimba kichwa asee kuuliza mwalimu ndo anachapaga kichwa. Nakumbuka nilitoka job night break ya kwanza niliingia pale shuleni hakuna kitu watasahau mpaka leo na yule mwalimu alikuja kufukuzwa kwa style ya kumficha maana nilikua natembea nae kama kivuli.

Nb. Wanafunzi wote kwenye ile shule ndiyo walikua wanachapwa hivyo ase nilisaidia watoto wengi pale kwa kupiga kambi pale
 
Wazazi tuweni makini na hawa walimu. Mimi dogo alikua anapigwa bakora za kichwani kutokana na ubusy sikujua hata siku nakuja kushtuka kijana kavimba kichwa asee kuuliza mwalimu ndo anachapaga kichwa. Nakumbuka nilitoka job night break ya kwanza niliingia pale shuleni hakuna kitu watasahau mpaka leo na yule mwalimu alikuja kufukuzwa kwa style ya kumficha maana nilikua natembea nae kama kivuli.

Nb. Wanafunzi wote kwenye ile shule ndiyo walikua wanachapwa hivyo ase nilisaidia watoto wengi pale kwa kupiga kambi pale
Mkuu walimu wengi wana stress za maisha kwahiyo usipokuwa karibu na mtoto utakuja kuletewa kilema ama maiti.

Yaani walimu wamekuwa wanyama sijui wanaamini kumuadhibu mtoto ndiyo dhiki zake za kifedha na kimaisha zitaisha.

Hakikisha kila siku mtoto anaporudi kutoka shule ongea naye friendly kama kuna chochote kibaya kimetokea shuleni atakueleza na usisite kwenda shuleni kumalizana na walimu wapumbavu.

Ukiwa karibu na mtoto utakuwa umemsaidia kuwa comfortable na kujiamini.

Wa kwangu kila akirudi lazima niongee naye na nimekuwa nikiwaonya walimu wanaoenda kinyume na utaratibu good luck wamekuwa waelewa. Vinginevyo atapoteza kibarua chake akileta kiburi.
 
Back
Top Bottom