Mbona hamna kitu. Halafu mbona umenitag mimi?Tazama clip hapo chini. Serikali inatakiwa ichukue hatua za haraka kwenye suala hili na kufanya uchunguzi wa kina kabisa ikiwemo na kuwahoji watoto wanaosoma hizi shule maana hivi tunavyoona inaweza ikawa ni tip of the iceberg tu.
Malaria 2 ndiyo mnavyofundisha watoto hivi mpaka mnawatoa damu?