Mwalimu Sekondari ya Mwilibona awapiga wanafunzi 2 na kuwavimbisha mikono sababu ya kuchelewa kufika shuleni

Mwalimu Sekondari ya Mwilibona awapiga wanafunzi 2 na kuwavimbisha mikono sababu ya kuchelewa kufika shuleni

Hao QT mkuu....
Reseaters...
Au Elimu ya Watu Wazima... Auu Failures wanaotafuta credits.

Ile tuition ya kucover class topics iko mikoa gani siku hizi .!?. tulisoma zamani . Or else wanaenda kudinyana tu.

Wanafunzi wako makambini siku hizi...
Huko makambini si ndiyo tuition zenyewe? Maana mnawatoza wazazi michango kwa mgongo wa kambi sijui madude gani.

Serikali imeweka utaratibu wa masomo kwa kuweka vipindi vya likizo watoto wapumzike na wazazi wao ili mzazi naye apate nafasi yabkukaa na mwanaye ajue mwenendo wake.

Nyie mnatumia muda huo wa likizo kuwaweka makambini utadhani mnajitolea kumbe ni tuition ya lazima kwa mgongo mwingine.
 
Kuna shule za Seminari nazo ni mwendo wa vipigo na mateso kwa wanafunzi kwa vigezo vya kusaka div one pekee.


Makanisa yanafunika uovu na unyama unaotendwa dhidi ya wanafunzi

CC: Dkt. Gwajima D
Taja hizo shule vinginevyo ni chuki na utakuwa upande wa makobazi wao elimu imewapiga chega mnakimbilia kuandika kushoto kwenda kulia.
 
Stress za ugumu wa maisha ambazo kwa kiasi kikubwa sababu ni serikali ndio sababu ya haya yote mzazi na yeye akitokea huko na stress zake akaja shule hapo ndio kitaumana 😃😃
 
Hawa hawana wazazi?! Huyo mwalimu Kisoga bado yupo hai?!!!! Mimi naogopa sana, siku mtoto wangu atakayofanyiwa hivi, ndio utakuwa siku yangu ya kuozea jela, naogopa sana!
 
Taja hizo shule vinginevyo ni chuki na utakuwa upande wa makobazi wao elimu imewapiga chega mnakimbilia kuandika kushoto kwenda kulia.
Kwa sababu umeanza na condemnation. Basi wacha niendelee kuwa makobazi.

Soon matukio yataongea na mtajilaumu kwa ujinga mliousomea shuleni
 
Kuna haja gani kumpiga mtoto wa mtu kwakuwa tu amechelewa kufika shule au jana yake hakuja shule? Wewe mwalimu kazi yako ni kufundisha tu hayo mambo mengine hayakuhusu sanasana unaweza kumuita mzazi wake na kumueleza tatizo la mwanawe ili kama kumpiga ampige yeye mwenyewe.
Ningekuwa mwalimu haya matatizo ya kujitakia ningeyaepuka kabisa ningeacha kujitia kiherehere kwa kujifanya nampenda sana mwanafunzi wakati yeye mwenyewe hana mpango na elimu.
Nimekupenda bure 😂
 
Huko makambini si ndiyo tuition zenyewe? Maana mnawatoza wazazi michango kwa mgongo wa kambi sijui madude gani.

Serikali imeweka utaratibu wa masomo kwa kuweka vipindi vya likizo watoto wapumzike na wazazi wao ili mzazi naye apate nafasi yabkukaa na mwanaye ajue mwenendo wake.

Nyie mnatumia muda huo wa likizo kuwaweka makambini utadhani mnajitolea kumbe ni tuition ya lazima kwa mgongo mwingine.
Unapenda league ehh!?🗣️🗣️
 
Jamani walimu wetu tuwakingie kifua hichi kizazi Cha •com, sio, hicho kipigo ni Cha kawaida kabisa....kazi iendelee
 
jaribu kufikiria kinachoendelea Gaza hospital na ulinganishe na hicho Cha kumpiga mtoto fimbo na kuvimba mikono ...na ulinganishe na Tukio la Aqulina.
 
Ila wakifeli. Walimu hawafundishi.
Ukipigwa mikononi lazima uvimbe.
Ili kuepusha haya serikali ifute viboko, yatakayojiri jamii itulie tuli.
Vimbo ni ukatili ila kukosa nidhamu na hatimae elimu ni ukatili zaidi.
We are very emotional to a corpral purnshment but very silency to a failed and disorganized of education system.
fu#c@k the corrupt society!!
Kwa hiki kiingereza I hope wewe sio mwalimu.

Amandla...
 
N vile nchi hii mwalim hana bahati anasubiriwa ateleze kidogo kila mja atoe lawama zake.

Kilicho tokea n ajali kazin uenda aliadhibu kwa pole pole tu lkn Mungu akamchukiza ikaleta madhara, ata kazi zingne kun ajal kazini utokeaa daktari anaweza kuwa sababu ya mgonjwa kufariki kwa uzembe wake lkn hilo lisionekane,..

Ukija kweny suala la Hawa watt kwanz inaonekana Hawa n manunda yan wana kosa tyr kabla adi kuwekewa wa saini kila siku sa moja na nusu so inamaana kulikuwa na mechanism ya kuwa shape Hawa watt wawe ktk mstari lkn labd kukubuhu kumezid mwlm akaona ngoja niwatie bakora kidogo.

N vle wat wanaongea Dhihaka hapa kuw walim wana stress lkn kwa kizaz hik cha sasa bila viboko watt watakuw watoro, hawatakuw na nidhamu, hakuna ufaul wa maana, watt wa saiv wameharibika sn unakuta katoto ka darasa la sita ad mapenz kameshaanza huyu mtt unategemea atakuwa na nidhamu wakat akimwangalia mwlm anaona sawa na Kibwana chake anacholala nacho.

Ninachoamin zama hizi hakuna mwalim ambae anataka kuonyesha umwamba wakuchapa ila unakuta mazingira yanakulazimu kumchapa mtt, mwanafunz akiharibikiw huko mtaani utaona walim wanasemwa kuw wanashindwa kulea vzr, lkn mtt akiadhibiwa napo mwalim analaumiwa sasa Mimi nachokiona n serikal kufuta kabisa viboko SHULENI yan ata mwanfnz awe mtoro au ata afanye kosa kubwa marufuku kuchapwa wala kuguswa yan mwanafunz hasichapwe ata na mwlm mkuu kazi ya mwalim iwe kufundisha tu darasan alafu adabu nidhamu na Malezi kila mzazi apambane na mwanae nyumbani.
 
Waalimu wenzangu nawapa ushauri ,usihangaike na mtoto wa mtu,achelewe,aje asije,aandike asiandike avute bangi,ale ugoro nk
Wewe fundisha syllabus inavyotaka mengine achana nayo.

Hao watoto mnaopambana nao ili wawe watu wa maana katika jamii ni rahisi sana kuwageuka wao na wazazi wao na jamii kwa ujumla inapotokea jambo kama hili.
Usihangaike na mtoto wa mtu
 
Huo ndio ukweli, akili ikiwa katika utimamu wake hauwezi kumuadhibu mtoto kwa kiasi hiki, huu ni UKATILI KWA WATOTO haifai.
Mkuu, usije ukamkuta pia watoto wameamua kumsingizia Mwalimu wasiyempenda. Kuna watoto wanaoweza kutengeneza maigizo ya kujihatarisha hata maisha yao ili tu kumkomoa wasiyempenda. Nilishashuhudia mahali fulani tukio la aina hiyo japo siyo kama hilo.

Labda Mwalimu naye asikilizwe.
 
Mkuu, usije ukamkuta pia watoto wameamua kumsingizia Mwalimu wasiyempenda. Kuna watoto wanaoweza kutengeneza maigizo ya kujihatarisha hata maisha yao ili tu kumkomoa wasiyempenda. Nilishashuhudia mahali fulani tukio la aina hiyo japo siyo kama hilo.

Labda Mwalimu naye asikilizwe.
Mtoto kwanini asikupende???

Kama mtoto hakupendi lazma kuna shida lazma kuna shida.....shule huwa kuna mwalimu mkali anakun'guta lakini ni mshkaji wa watoto. Ukali pekee sio sababu mtoto akuchukie kuna cha ziada
 
Back
Top Bottom