Mwalimu Sekondari ya Mwilibona awapiga wanafunzi 2 na kuwavimbisha mikono sababu ya kuchelewa kufika shuleni

Mbona hamna kitu. Halafu mbona umenitag mimi?
 
Malaria 2 siku hizi ni mla nguruwe mzuri tu usimuulize habari hizo.
 
hii video ni ya kitambo kdg, kwani hamna hatua zilizochukuliwa?
 
Huyu mtoto uvaaji unawasiwasi, halafu itakua shule kama zile shule zenu
 
Nimefunga mimi hivi sasa, naitafuta laylagadri. Nakushauri na wewe usilimu usije ukapata mateso baada ya kufa
Asikuongopee mtu, ukifa biasha inaishia hapo hapo, hizi dini zenu za kutoka Mashariki ya Kati zinawapoteza sana.
 
Wazazi tuweni makini na hawa walimu. Mimi dogo alikua anapigwa bakora za kichwani kutokana na ubusy sikujua hata siku nakuja kushtuka kijana kavimba kichwa asee kuuliza mwalimu ndo anachapaga kichwa. Nakumbuka nilitoka job night break ya kwanza niliingia pale shuleni hakuna kitu watasahau mpaka leo na yule mwalimu alikuja kufukuzwa kwa style ya kumficha maana nilikua natembea nae kama kivuli.

Nb. Wanafunzi wote kwenye ile shule ndiyo walikua wanachapwa hivyo ase nilisaidia watoto wengi pale kwa kupiga kambi pale
 
Mkuu walimu wengi wana stress za maisha kwahiyo usipokuwa karibu na mtoto utakuja kuletewa kilema ama maiti.

Yaani walimu wamekuwa wanyama sijui wanaamini kumuadhibu mtoto ndiyo dhiki zake za kifedha na kimaisha zitaisha.

Hakikisha kila siku mtoto anaporudi kutoka shule ongea naye friendly kama kuna chochote kibaya kimetokea shuleni atakueleza na usisite kwenda shuleni kumalizana na walimu wapumbavu.

Ukiwa karibu na mtoto utakuwa umemsaidia kuwa comfortable na kujiamini.

Wa kwangu kila akirudi lazima niongee naye na nimekuwa nikiwaonya walimu wanaoenda kinyume na utaratibu good luck wamekuwa waelewa. Vinginevyo atapoteza kibarua chake akileta kiburi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…