Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni mtu tunayefahamianaWewe ni ndugu yake?
There is no reason that allows you to kill!!!!Alikuwa MCHAGA WA MACHAME? wamemuwahi. Sio rahisi mtu achukue kisu akuchome hivi hivi.
Je tukikuita hapa central unaweza kutoa ushahidi wa unayoyasema hapa?Hapana ni mtu tunayefahamiana
Jina lake la mwisho.Umejuaje kama ni mchaga....??
Mfyuuuuu[emoji57][emoji57]Siku hizi unapenda umbea kuliko magari!
Kkkkk aje asaidie polisi.Je tukikuita hapa central unaweza kutoa ushahidi wa unayoyasema hapa?
Imagine[emoji848]Mbna umekurupuka kujakutoa ushuhuda bila kuleta hbr kamili Kama vile unakimbizwa
🤣🤣🤣Mfyuuuuu[emoji57][emoji57]
We mbona unapenda umbea kuliko chura[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Heh weweUnadhani kuna kipi zaidi ya mdomo
Mdomo ndo chanzo cha wanawake wengi kuumizwaHeh wewe
Hahaha wadau wa Jf niliona mahala wanamshambulia kwamba kwa mbwembwe zake humu uwanjan hakupaswa kuwa na TECNO, akajitetea maisha sio simu, akasahau kwamba hakuna mwanadamu asiependa vizuri! Ukiona huna kizuri ni kwamba huna uwezo nacho na kama ukifanikisha basi poa baadhi ya vitu vitasimama kidogo.Siku hizi unapenda umbea kuliko magari!
Wakiingia kwenye familia wana akikisha wanaziba mipenyo ya kusaidia ndugu..Umejuaje kama ni mchaga....??
Unakuta kaka wa watu alikuwa analipia school fees madogo zake, anamkumbuka kila mwisho wa mwez mama yake walau kwa chumvi, gafla wanaanza kuvuna sabab na excuses zisizoisha hapo lazima kikao kikaliwe mafigani na kuanza kusaka chanzo cha tatizoWakiingia kwenye familia wana akikisha wanaziba mipenyo ya kusaidia ndugu..
Ova