Mwalimu Shule ya Msingi, Flora Mariki auawa kwa kuchomwa kisu na mtoto wa shemeji

Mwalimu Shule ya Msingi, Flora Mariki auawa kwa kuchomwa kisu na mtoto wa shemeji

Siku hizi unapenda umbea kuliko magari!
Hahaha wadau wa Jf niliona mahala wanamshambulia kwamba kwa mbwembwe zake humu uwanjan hakupaswa kuwa na TECNO, akajitetea maisha sio simu, akasahau kwamba hakuna mwanadamu asiependa vizuri! Ukiona huna kizuri ni kwamba huna uwezo nacho na kama ukifanikisha basi poa baadhi ya vitu vitasimama kidogo.

Inshort abadili simu
 
Wakiingia kwenye familia wana akikisha wanaziba mipenyo ya kusaidia ndugu..
Ova
Unakuta kaka wa watu alikuwa analipia school fees madogo zake, anamkumbuka kila mwisho wa mwez mama yake walau kwa chumvi, gafla wanaanza kuvuna sabab na excuses zisizoisha hapo lazima kikao kikaliwe mafigani na kuanza kusaka chanzo cha tatizo
 
Back
Top Bottom