Mwalimu wa Madrasa apandishwa Kizimbani kwa tuhuma za kuwachapa fimbo (Ukatili) wanafunzi wa madrasa

Watz kwa unafiki bwana hiyo serikali yenyewe iliyo mpandisha huyo mwalimu mahakamani imeruhusu viboko shuleni.
Hata hivyo ataachiwa tu hiyo ni zuga tu kuwafumba watu macho na wana harakati uchwara.
 
Well said
 
Inasikitisha sana. Huko Marekani mitoto inaua wenzao kwa silaha za wazazi wao chanzo kikiwa ni ukosefu wa maadili na sheria za hovyo. Waafrika tunaacha maadili yetu mazuri na kufuata za magharibi zilizofeli.
Hili ni tatizo la utumwa wa kifikra. Hatuwezi kuwa na watoro wasioweza kuadhibiwa.
Copral punishment ni lazima. Na kuchapa sio kuua mtoto
Nabii Suleimani a.w anasema
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
Mithali 23:13
 
Sijaona kosa la huyo mwalimu. Waliompeleka mahakamani ni maadui wa maadili kwa watoto. Ila Waalimu kwa sasa wangeachana tu na ishu za kuchapa watoto kwa sababu jamii imeshakubali watoto wasiwe na maadili. Kila mtu abebe msalaba wake.
30,000,000/= sio ndogo unajua
 
Hili ni tatizo la utumwa wa kifikra. Hatuwezi kuwa na watoro wasioweza kuadhibiwa.
Copral punishment ni lazima. Na kuchapa sio kuua mtoto
Nabii Suleimani a.w anasema
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
Mithali 23:13
Nipe mwanao nimshushie mvua za bakora kama huyo jamaa hapo kwenye video, Tuone kama hatakufa.
 

View: https://x.com/Shariakill/status/1892137880845222128
 
Zimefutwa shuleni na sio madrasa
 
Safi kabisa.

Haya mavaa kobazi lazima yadhibitiwe.

Dunia ipo kwenye kuwafunza watoto teknolojia, Yenyewe yapo bize kukaririsha watoto kiarabu na hekaya za vitabuni.
Sio kweli ndo maana watoto wengi hawana maadili lazima waadhibiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…