Chuki zisikufanye ukajishushia heshima kijana.Akimaliza kuvichapa fimbo anaanza kuvilawiti
Nchi haiendeshwi kwa taratibu za dini yoyote.Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru
Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
Mithali 22:15
Unaposema hasa hao wakike labda utujuze kwanini umesema hivyo ndugu Mtanzania.Hao watoto sio wakucharazwa hizo fimbo kiasi hicho. Hasa hao wakike. Angalau angechapa hata fimbo moja au mbili basi.
Rais ni muislamu hizo jazba zako hazina nafasi chuki zako peleka hukooo,,,,,,Nchi haiendeshwi kwa taratibu za dini yoyote.
Na hakuna dini yenye kibali cha kudhuru mtu kwa kigezo cha maandishi yake.
Aadhibiwe ili awe fundisho kwa wengine.
Uko dunia ya ngapi wewe. Tumia Google ya simu yako vizuri.Chuki zisikufanye ukajishushia heshima kijana.
Ukiitwa mahakamani ukathibitishe kauli yako utawaambia nini watu.
Siamini kama wale mapadre waliosoma miaka zaidi ya kenda ndo mahubiri wanayowapa huko makanisani au hayo ni mahubiri ya makanisa ya manabii ndo wanawahubiria na kueneza chuki.
Siamini kama RC wanafanya haya.Watu wale wa madhabahu wamejaa hekima,busara na wanaelimu pana sana.
Watoto wa kike wapo fragile sana. Sio kama wakiume. Huwezi kumpa mtoto wa kike adhabu sawa na mtoto wa kiume.Unaposema hasa hao wakike labda utujuze kwanini umesema hivyo ndugu Mtanzania.
Akiwa Mwislamu ndiyo inakuwaje?Rais ni muislamu hizo jazba zako hazina nafasi chuki zako peleka hukooo,,,,,,
Watoto mnawaonea burekama unataka kujua Ugumu wa kusoma dini ya kiislamu kawaulize mapadri maana wao hakuna siku utasikia wanatusi dini za wengine manaa wamesoma na wanajua yooote wewe usiyoyajua.
Uache hiyo tabia ya kutoa kashfa hovyohovyo sidhani kama wale viongozi wenu waliokula vitabu kwa miaka zaidi ya 9 ndo wanawafunza kueneza chuki.
Dini usipoielewa itakuendesha sana.Jifunze kukubali kutokukubaliana.
Fimbo haimaanishi mt.Binafsi nimeangalia clip hiyo, sijaona kosa lolote. Tanzania kama tumeoitisha sheria ya kutoadhibu watoto shuleni waseme
Isitoshe hapo ni Madrasa ya kidini ambayo ruhusa kuchapa, na ukimwangalia hachapi kwa lengo la kudhuru
Nabii Suleiman anasema
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
Mithali 22:15
Nashangaa wanapowapa walimu maamuzi makubwa dhidi ya watoto wao.Fimbo haimaanishi mt.
Usimnyime mwanao fimbo,amrudie mwanae fimbo uikwepa aibu ukubwani.
Haya ni maandiko yanataja fimbo lakini fimbo Kibiblia maana yake ni maonyo na sio kumpiga mtoto fimbo huo ni ukatili thus ulaya unafungwa au unapokonywa mtoto.
Mtoto anachapwa akili yke na sio mwili wake.
Fimbo 4 ni nyingi?Don't comment if your brain is not mentally enough for reasoning.
Kwa hiyo unaona hicho kipigo ni sawa?
Unaendelea kudhihirisha kiwango chako cha upungufu wa maarifa,uwezo na akili kiujumla.Watoto mnawaonea bure
Shuleni mtoto anafundishwa kuandika na kusoma a,b,c,d ....z kuanzia kushoto kwenda kulia
Akienda madrasa anafundishwa kuandika na kusoma na kukariri maandishi ya ajabu ajabu kutoka kulia kwenda kushoto mtoto anazidiwa kichwa kinashindwa kuhimili
Ndio maana shule za kiislamu watoto wa kiislamu hufeli sana mitihani ya taifa ya baraza la mitihani
Vichwa vinakuwa over loaded kuliko wenzao wakristo hata kama wanasoma shule moja ya kiislamu ya msingi au sekondari
🤣🤣🤣🤣🙌Akimaliza kuvichapa fimbo anaanza kuvilawiti
vilaza wametawala humu kwenye mitandao🤗🤗🤗Fimbo 4 ni nyingi?
Ukristo ndo dini iliyo mwaga damu za watu wengi katika kuenezwa kwake kuliko dini yeyote.Mimi na ukoo wangu Ukristo hatkuupokea kwa upanga
Ila uislamu hadi leo wanaamini kwenye matumizi ya nguvu mtoto kujua dini
Sifa kuu maustaadhi uchwara wengi wanaamini ustaadhi lazima awe na fimbo vinginevyo somo halitaingia kwa watoto.anaamini fimbo ina uwezo wa kuingiza dini ndani ya kichwa cha Mtoto kuliko hata Alllah mwenyewe
Nguvu inayotumika kupiga kubwa na fimbo size kubwa na panapopigwa changamotoFimbo 4 ni nyingi?
Ni tofauti na masoma ya sunday school ambayo yanafundishwa kwa lugha mama.Lakini je ni rahisi kuwafundisha Quran watoto bila kuwalazimisha kwa maana inahitajika kukariri zaidi na kizazi cha sasa hakiwezi kukariri kwa sababu ya aina ya vyakula wanavyokula vingi ni sumu GMO
50 kwa 50 iko wapi hapo?Watoto wa kike wapo fragile sana. Sio kama wakiume. Huwezi kumpa mtoto wa kike adhabu sawa na mtoto wa kiume.
Ndio maana hata huko mashuleni waalimu huambiwa watoe adhabu kulingana na umri na jinsia.
Au nakosea teacher Hannah To yeye Evelyn Salt