Mwalimu wa Madrasa na Bodaboda wafikishwa kizimbani wakishutumiwa na Ulawiti

Mwalimu wa Madrasa na Bodaboda wafikishwa kizimbani wakishutumiwa na Ulawiti

Kuna uhusiano na ushirikiano mzuri kati ya;
ushoga na uislamu
ugaidi na uislamu
mauaji na visasi na uislamu
uchawi majini na uislamu

Na Adui mkubwa wa uislamu ni ukristo!

 
WAISLAMU MTABADILIKA LINI? KILASIKU KESI ZA ULAWITI MISIKITINI.
 
WAISLAMU MTABADILIKA LINI? KILASIKU KESI ZA ULAWITI MISIKITINI.
Tutabadilika nchi ikisnzishwa sheria za kiislam yaani Shariah. Wabakaji watauliwa hadharani . Hivi sheria za kikiristo zinazotumika duniani ndio chanzo cha yote haya. Wabakaji hawana hofu kwa sababu wanaamini hata wakibaka miaka 30 hawaogopi..lkn mahakama kuu zikihukumu kwa kutumia Quran hayo mambo kila mtu ataingia akili. Ukibaka utanyongwa hadharani kila mmoja anaona
 
HABARI: Mwalimu wa madrassa Abuubakar Mussa Hamisi (19) na mwendesha bodaboda Muhaji Mohamed Rajab 25 wote wakazi wa Dule B lililopo eneo la Bumbuli, wilayani Lushoto, wamepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilayani Lushoto kwa tuhuma za kuwalawiti wanafunzi wawili wa kiume na mmoja wa kike.

Imedaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka, Wakili wa Serikali Sylivia Bitanto kuwa, mnamo mwezi Oktoba mwaka huu, Hamisi katika eneo la Dule B, alimwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi wake wa kiume mwenye umri wa miaka 9.

Aidha, mwendesha mashtaka huyo Sylivia Bitanto ameendelea kudai kuwa, katika eneo hilo hilo la Dule B Bumbuli, dereva wa bodaboda Muhaji Mohmed Rajab anatuhumiwa kumbaka mwanafunzi wa kike mwenye umri wa mika 11 katika eneo hilo la Dule B lililopo Halmashauri ya Bumbuli.

Hata hivyo, Mwendesha Mashtaka huyo amezidi kueleza kuwa, mbali na shauri hilo, pia mtuhumiwa Muhaji Mohmed Rajab alimlawiti mwanafunzi wa kiume mwenye umri wa miaka 7 katika tukio lililotokea mwanzoni mwa mwezi huu katika eneo la Dule B lililopo wilayani Lushoto.

Watuhumiwa hao waliofikishwa katika mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Wilaya ya Lushoto Kavumo Mndimi aliahirisha shauri hilo hadi Disemba 5, mwaka huu litakapotajwa tena huku watuhumiwa wakiendelea kusota rumande ndani ya Ngome Kuu iliyopo wilayani Lushoto.

Source: ITV Digital
Wazazi nao akili kisoda, kijana wa 19 years unamwachia mwanao amfundishe, hizo akili matope? Na dini yenyewe anaijua sasa at 19 years? Ovyo kabisa.....nae anangoja zile 72.
 
Tutabadilika nchi ikisnzishwa sheria za kiislam yaani Shariah. Wabakaji watauliwa hadharani . Hivi sheria za kikiristo zinazotumika duniani ndio chanzo cha yote haya. Wabakaji hawana hofu kwa sababu wanaamini hata wakibaka miaka 30 hawaogopi..lkn mahakama kuu zikihukumu kwa kutumia Quran hayo mambo kila mtu ataingia akili. Ukibaka utanyongwa hadharani kila mmoja anaona
Hapa siyo Iran.
 
Hapa siyo Iran.
Pangakikuwa na shariah baada ya sheria wakabakaji kama hao ingalikuwa historia. Uislam umeweka misingi mizuri sana ya kushughulikia mambo kama hayo. Jopo la wanazuoni likikaa na msahafu mbele uadilifu kwenda mbele. No rushwa no kupendelea
 
HABARI: Mwalimu wa madrassa Abuubakar Mussa Hamisi (19) na mwendesha bodaboda Muhaji Mohamed Rajab 25 wote wakazi wa Dule B lililopo eneo la Bumbuli, wilayani Lushoto, wamepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilayani Lushoto kwa tuhuma za kuwalawiti wanafunzi wawili wa kiume na mmoja wa kike.

Imedaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka, Wakili wa Serikali Sylivia Bitanto kuwa, mnamo mwezi Oktoba mwaka huu, Hamisi katika eneo la Dule B, alimwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi wake wa kiume mwenye umri wa miaka 9.

Aidha, mwendesha mashtaka huyo Sylivia Bitanto ameendelea kudai kuwa, katika eneo hilo hilo la Dule B Bumbuli, dereva wa bodaboda Muhaji Mohmed Rajab anatuhumiwa kumbaka mwanafunzi wa kike mwenye umri wa mika 11 katika eneo hilo la Dule B lililopo Halmashauri ya Bumbuli.

Hata hivyo, Mwendesha Mashtaka huyo amezidi kueleza kuwa, mbali na shauri hilo, pia mtuhumiwa Muhaji Mohmed Rajab alimlawiti mwanafunzi wa kiume mwenye umri wa miaka 7 katika tukio lililotokea mwanzoni mwa mwezi huu katika eneo la Dule B lililopo wilayani Lushoto.

Watuhumiwa hao waliofikishwa katika mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Wilaya ya Lushoto Kavumo Mndimi aliahirisha shauri hilo hadi Disemba 5, mwaka huu litakapotajwa tena huku watuhumiwa wakiendelea kusota rumande ndani ya Ngome Kuu iliyopo wilayani Lushoto.

Source: ITV Digital
Mohamedians katika 1 na 2,
 
Tuachane na issue ya udini turudi kwenye uhalisia tu kwamba mtu anaeitwa Mwalimu kwanza anakua kama mzazi, mlezi na kiongozi pia. Sasa kijana ana miaka 19 anawezaje kua Mwalimu?! Huyu atamwongoza nani?! Atamlea nani?! Yeye mwenyewe bado mtoto anahitaji kuendelea kucheza na wenzake huku akipata malezi ya wazazi na miongozo kutoka kwa wakubwa zake sasa anakuaje Mwalimu?! Nani kampa huo ualimu wa madrasa?! Vitu vingine tutailaumu tu serikali lakini kuna ujinga na upuuzi mwingi sana tunaundekeza kwenye jamii zetu.
 
Back
Top Bottom