Mwalimu wa Madrasa na Bodaboda wafikishwa kizimbani wakishutumiwa na Ulawiti

Kuna uhusiano na ushirikiano mzuri kati ya;
ushoga na uislamu
ugaidi na uislamu
mauaji na visasi na uislamu
uchawi majini na uislamu

Na Adui mkubwa wa uislamu ni ukristo!

 
WAISLAMU MTABADILIKA LINI? KILASIKU KESI ZA ULAWITI MISIKITINI.
 
WAISLAMU MTABADILIKA LINI? KILASIKU KESI ZA ULAWITI MISIKITINI.
Tutabadilika nchi ikisnzishwa sheria za kiislam yaani Shariah. Wabakaji watauliwa hadharani . Hivi sheria za kikiristo zinazotumika duniani ndio chanzo cha yote haya. Wabakaji hawana hofu kwa sababu wanaamini hata wakibaka miaka 30 hawaogopi..lkn mahakama kuu zikihukumu kwa kutumia Quran hayo mambo kila mtu ataingia akili. Ukibaka utanyongwa hadharani kila mmoja anaona
 
Wazazi nao akili kisoda, kijana wa 19 years unamwachia mwanao amfundishe, hizo akili matope? Na dini yenyewe anaijua sasa at 19 years? Ovyo kabisa.....nae anangoja zile 72.
 
Hapa siyo Iran.
 
Hapa siyo Iran.
Pangakikuwa na shariah baada ya sheria wakabakaji kama hao ingalikuwa historia. Uislam umeweka misingi mizuri sana ya kushughulikia mambo kama hayo. Jopo la wanazuoni likikaa na msahafu mbele uadilifu kwenda mbele. No rushwa no kupendelea
 
Mohamedians katika 1 na 2,
 
Tuachane na issue ya udini turudi kwenye uhalisia tu kwamba mtu anaeitwa Mwalimu kwanza anakua kama mzazi, mlezi na kiongozi pia. Sasa kijana ana miaka 19 anawezaje kua Mwalimu?! Huyu atamwongoza nani?! Atamlea nani?! Yeye mwenyewe bado mtoto anahitaji kuendelea kucheza na wenzake huku akipata malezi ya wazazi na miongozo kutoka kwa wakubwa zake sasa anakuaje Mwalimu?! Nani kampa huo ualimu wa madrasa?! Vitu vingine tutailaumu tu serikali lakini kuna ujinga na upuuzi mwingi sana tunaundekeza kwenye jamii zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…