Mwalimu wa Madrasa na Bodaboda wafikishwa kizimbani wakishutumiwa na Ulawiti

Jini FaizaFoxy ebu njoo hapa upinge hii hoja
 
Miaka 19 ashakua ticha.
Miaka hiyo damu inachemka sio rahisi kuacha vitoto vya watu.
 
Sifanyi stereotyping..
Ila Tanga, Unguja, Pemba, kwa kufanya huu unyama, ushenzi, unyanyasaji wanaongoza!
Wana MATATIZO gani Hawa?!🤬🤬🤬🤬🤬
 
Miaka 19 mwalimu wa madrasa..... Ila ndugu zangu katika Imani hawaa... Hivi katoto kahivyo ndio kamebalehe tu unamuachia watoto awafundishe nini wakati yeye mwenyewe Bado wa kufundishwa.... Takbiiiir.....
 
Hawa wanafuta mafundisho ya Mud, msiwalaumu,
Kila alichofanya Mud nao wanafanya,
Alichowakataza tuu ni Kitimoto sababu ni kitamu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…