Mwalimu wa Shule ya Msingi Mbagala Kuu apandishwa kizimbani kwa kumbaka mwanafunzi wa Darasa la Sita

Mwalimu wa Shule ya Msingi Mbagala Kuu apandishwa kizimbani kwa kumbaka mwanafunzi wa Darasa la Sita

Mtelemko punyeto peke yake.
Mara ya mwisho kukutana na mwanamke wangu ilikuwa tarehe 12 mwezi wa sita mpaka leo sijaona mwanamke ila sijawahi kutamani mtoto au mwanafunzi.nina malengo mengi sana . siwezi kukubali kupoteza miaka mingi jela kisa starehe ya dakika 5.SIWEZI
Yes nimewaza kama wewe mkuu.
Jamaa mshahara wake ni mdogo majukumu ni mengi hela ya kuhonga hana akaona ajitafutie mteremko.
 
Darasa la 6 kwa watoto wa sasa ana miaka kati ya 10 hadi 12. Bado dogo sana.

Jamaa ana miaka 26 anataka, akila miaka 30 atatoka na 56.

Dogo wamtupie miaka tu.
akila miaka 30 atatoka na miaka 46 na sio 56,kisheria miaka ya kutumikia jela hupunguzwa kwa 1/3,hivyo atatumikia 2/3 ya kifungo chake.
 
Mwalimu wa shule ya msingi mbagala kuu, mkazi wa Mwanamtoti aitwaye Ally Said Kaule (26) maarufu kama Sir Ally amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya temeke kwa kosa la kumuingilia kingono mwanafunzi wake wa darasa la sita.

Akisomewa mashtaka leo jumanne mbele ya hakimu mkazi Aziza Mbajo, Mwendesha mashtaka wa jamhuri Grace Lwila amedai katika tarehe isiyojulikana Agosti mwaka huu eneo la Mbagala mwanamtoti mshtakiwa alimuingilia kingono mtoto wa miaka 11 ambaye ni mwanafunzi jina limehifadhiwa.

Mtoto mwenye umri wa miaka 11 mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mbagala kuu mkoani Dar Es Salaam anadaiwa kubakwa na Mwalimu wake mnamo mwezi Agosti mwaka huu wa 2022 huku Mwalimu huyo akimpatia binti huyo ufunguo wa makazi yake binafsi ili endapo akimuhitaji aweze kufika kwake kwa urahisi.

Baada ya kukamatwa na polisi kata na kuhojiwa mwalimu huyo Ally Said Kaule (26) alikiri kuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti huyo na kwamba mipango yao ni kuja kuwa wanandoa. kutokana na hilo Ally alikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi mbagala na kuwekwa mahabusu mpaka kesi yake ilipotajwa mahakamani.
Akitiwa hatiani huyu anastahili adhabu kali sana.

Mabinti wangapi kawaharibu huyu ngese
 
Baada ya kukamatwa na polisi kata na kuhojiwa mwalimu huyo Ally Said Kaule (26) alikiri kuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti huyo na kwamba mipango yao ni kuja kuwa wanandoa. kutokana na hilo Ally alikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi mbagala na kuwekwa mahabusu mpaka kesi yake ilipotajwa mahakamani.[emoji3064]
Kajikaanga na mafuta yake mwenyewe. Kaenda ndichi kiboya sana
 
Mwalimu wa shule ya msingi mbagala kuu, mkazi wa Mwanamtoti aitwaye Ally Said Kaule (26) maarufu kama Sir Ally amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya temeke kwa kosa la kumuingilia kingono mwanafunzi wake wa darasa la sita.

Akisomewa mashtaka leo jumanne mbele ya hakimu mkazi Aziza Mbajo, Mwendesha mashtaka wa jamhuri Grace Lwila amedai katika tarehe isiyojulikana Agosti mwaka huu eneo la Mbagala mwanamtoti mshtakiwa alimuingilia kingono mtoto wa miaka 11 ambaye ni mwanafunzi jina limehifadhiwa.

Mtoto mwenye umri wa miaka 11 mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mbagala kuu mkoani Dar Es Salaam anadaiwa kubakwa na Mwalimu wake mnamo mwezi Agosti mwaka huu wa 2022 huku Mwalimu huyo akimpatia binti huyo ufunguo wa makazi yake binafsi ili endapo akimuhitaji aweze kufika kwake kwa urahisi.

Baada ya kukamatwa na polisi kata na kuhojiwa mwalimu huyo Ally Said Kaule (26) alikiri kuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti huyo na kwamba mipango yao ni kuja kuwa wanandoa. kutokana na hilo Ally alikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi mbagala na kuwekwa mahabusu mpaka kesi yake ilipotajwa mahakamani.
...ni makosa na napinga vikali vitendo ovu dhidi ya watoto ila vi-miaka 11 vya kike vya huko daslam kwenu navyo vimechangamka sana😐
 
Mwalimu wa shule ya msingi mbagala kuu, mkazi wa Mwanamtoti aitwaye Ally Said Kaule (26) maarufu kama Sir Ally amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya temeke kwa kosa la kumuingilia kingono mwanafunzi wake wa darasa la sita.

Akisomewa mashtaka leo jumanne mbele ya hakimu mkazi Aziza Mbajo, Mwendesha mashtaka wa jamhuri Grace Lwila amedai katika tarehe isiyojulikana Agosti mwaka huu eneo la Mbagala mwanamtoti mshtakiwa alimuingilia kingono mtoto wa miaka 11 ambaye ni mwanafunzi jina limehifadhiwa.

Mtoto mwenye umri wa miaka 11 mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mbagala kuu mkoani Dar Es Salaam anadaiwa kubakwa na Mwalimu wake mnamo mwezi Agosti mwaka huu wa 2022 huku Mwalimu huyo akimpatia binti huyo ufunguo wa makazi yake binafsi ili endapo akimuhitaji aweze kufika kwake kwa urahisi.

Baada ya kukamatwa na polisi kata na kuhojiwa mwalimu huyo Ally Said Kaule (26) alikiri kuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti huyo na kwamba mipango yao ni kuja kuwa wanandoa. kutokana na hilo Ally alikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi mbagala na kuwekwa mahabusu mpaka kesi yake ilipotajwa mahakamani.
sir ally miaka 30 inamuhus ss
 
Mwalimu wa shule ya msingi mbagala kuu, mkazi wa Mwanamtoti aitwaye Ally Said Kaule (26) maarufu kama Sir Ally amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya temeke kwa kosa la kumuingilia kingono mwanafunzi wake wa darasa la sita.

Akisomewa mashtaka leo jumanne mbele ya hakimu mkazi Aziza Mbajo, Mwendesha mashtaka wa jamhuri Grace Lwila amedai katika tarehe isiyojulikana Agosti mwaka huu eneo la Mbagala mwanamtoti mshtakiwa alimuingilia kingono mtoto wa miaka 11 ambaye ni mwanafunzi jina limehifadhiwa.

Mtoto mwenye umri wa miaka 11 mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mbagala kuu mkoani Dar Es Salaam anadaiwa kubakwa na Mwalimu wake mnamo mwezi Agosti mwaka huu wa 2022 huku Mwalimu huyo akimpatia binti huyo ufunguo wa makazi yake binafsi ili endapo akimuhitaji aweze kufika kwake kwa urahisi.

Baada ya kukamatwa na polisi kata na kuhojiwa mwalimu huyo Ally Said Kaule (26) alikiri kuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti huyo na kwamba mipango yao ni kuja kuwa wanandoa. kutokana na hilo Ally alikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi mbagala na kuwekwa mahabusu mpaka kesi yake ilipotajwa mahakamani.
Kwa asilimia kubwa hayo ndiyo madhara ya kuchelewa kuowa
 
Mwalimu wa shule ya msingi mbagala kuu, mkazi wa Mwanamtoti aitwaye Ally Said Kaule (26) maarufu kama Sir Ally amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya temeke kwa kosa la kumuingilia kingono mwanafunzi wake wa darasa la sita.

Akisomewa mashtaka leo jumanne mbele ya hakimu mkazi Aziza Mbajo, Mwendesha mashtaka wa jamhuri Grace Lwila amedai katika tarehe isiyojulikana Agosti mwaka huu eneo la Mbagala mwanamtoti mshtakiwa alimuingilia kingono mtoto wa miaka 11 ambaye ni mwanafunzi jina limehifadhiwa.

Mtoto mwenye umri wa miaka 11 mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mbagala kuu mkoani Dar Es Salaam anadaiwa kubakwa na Mwalimu wake mnamo mwezi Agosti mwaka huu wa 2022 huku Mwalimu huyo akimpatia binti huyo ufunguo wa makazi yake binafsi ili endapo akimuhitaji aweze kufika kwake kwa urahisi.

Baada ya kukamatwa na polisi kata na kuhojiwa mwalimu huyo Ally Said Kaule (26) alikiri kuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti huyo na kwamba mipango yao ni kuja kuwa wanandoa. kutokana na hilo Ally alikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi mbagala na kuwekwa mahabusu mpaka kesi yake ilipotajwa mahakamani.
Hivi hawa watu hawaridhiki na wake zao?Kwanini wasifate wamama kitaa?Wanaharibu watoto wetu awajibishwe kwa makosa yake.
 
Tupeleke wapi watoto wetu jamani?

Hakuna tena penye usalama huko nyumbani baba na mama tunapigana vikumbo asubuhi kuwahi vibaruani huku nyuma watoto wanayumbishwa kitabia na kimwili na tuliowaachia watulelee.
The difference between the patriachy and matriachy!
 
Mtelemko punyeto peke yake.
Mara ya mwisho kukutana na mwanamke wangu ilikuwa tarehe 12 mwezi wa sita mpaka leo sijaona mwanamke ila sijawahi kutamani mtoto au mwanafunzi.nina malengo mengi sana . siwezi kukubali kupoteza miaka mingi jela kisa starehe ya dakika 5.SIWEZI
Ndio. Ni lazima uangalie mbele, maisha ni mipango
 
Back
Top Bottom