- Thread starter
- #61
Tuwapeleke International School of Tanganyika, Braeburn etc
Ada tatizo nduguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwapeleke International School of Tanganyika, Braeburn etc
Anaonewa tu na kwa nini kitanzi? Mbona muanzilishi wa dini yake ya haki almbaka binti wa miaka sita akiwa na miaka arobaini? Na kwa aibu kupotezea kwa kufunga naye ndoa akiwa na miaka 9?
Na watu wanamtukuza kujiua na kuua wengine kwa ajili yake?
Huyu hana mke,Hivi hawa watu hawaridhiki na wake zao?Kwanini wasifate wamama kitaa?Wanaharibu watoto wetu awajibishwe kwa makosa yake.
Watu wa hiki chama mnatakiwa mjitangaze na muanze kutoa training vile vile, kugeuza sabuni kua K napo ni mtihani sana.Wakat mwingine muwaheshimu sana CHAPUTA
Mwalimu wa shule ya msingi akose Hela ya kukamatia kipochi mtaani? Angekosa hata sungura tope? Angeenda Suger ray kwa buku 3 au Buguruni angekosa?jamaa anaenda jela kama utani.. alinogewa mpaka kumpa funguo wa gheto lake.
nazani alikuwa na uchu wa papuchi na hela ya kuhonga hana.. maana wanawake above 18 wanataka hela za kuhongwa.
dunia sijui inaelekea wapi?
Wewe ''Hoaxer'' ni wazi kabisaaa utakuwa huna Marinda! kwa sababu wale dada poa siyo kabisa!! wengine ni Mabaunsa, au yako karibu na mabaunsa. likacho fanya litakushika ugoni ghafla!dio maana Mimi nikiwa na hamu ya papuchi ya nje nakwenda kwa dada powa almaaruf changudoa.
"Sungura tope" ndo'vinini tena mkuu?Mwalimu wa shule ya msingi akose Hela ya kukamatia kipochi mtaani? Angekosa hata sungura tope? Angeenda Suger ray kwa buku 3 au Buguruni angekosa?