Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa huyu aliyekuwa hajiwezi kwa ugonjwa na alipopatiwa mlonge na kupona unaweza kumwambia nini labda?.Mlonge haufai kwani hautibu hayo maradhi yaliyotajwa ni uongo mtupu.
Dr sebi Amezungumzia kuhusu hyperthyroidsm na goiter aka thyroid glandVIP kuhusu thyroids Dr sebi sjawahi kuona makala zake tupe makala kama unazo
DR SEBI - DRINK IT 5 TIMES PER DAY - IMPOTENCE
View: https://www.youtube.com/watch?v=WWWqxQur_ic&ab_channel=TruthSeeker
Alifariki kwa maradhi ganiRIP Dr.Sebi azungumzia matibabu ya Maradhi ya ini aka Hepatitis C
na B. anasema kuwa ini linapatwa na Stres inayo sababisha uchafu na sumu na hiyo sumu inatokana an vyakula vya jamii ya uwanga na nyam tunazo kula. Safisha damu, ini na matumbo utaweza kutibu maradhi ya ini aka Hepatitis B na C kwa haraka zaidi.
Wamarekani walimuuwa Doctor Sebi kwa kumpiga sindano ya homa ya mapafu na kumuwekea sumu kwenye chakula.Alifariki kwa maradhi gani
SadWamarekani walimuuwa Doctor Sebi kwa kumpiga sindano ya homa ya mapafu na kumuwekea sumu kwenye chakula.
Mm nikiijua ntakuwa naitoa bure kabisa .au ntaiuza elfu 10 ili nipate ajira pia nitumie uhai wangu ulobaki kutibu watu ukimwi.naona ntakufa natabasamuMimi ndio ninayo hiyo dawa ya kutibu ukimwi.