Mwamba alietunyoosha huyu hapa

Tulienda Sunrise beach ๐Ÿคฃ
Darasa kama darasa

Mwenzao kikanuka
Nikafa kipekeangu bila kuwataja
Maana wangevamiwa na kikosi
Ulijitoa mhanga haswa, KE mnavyoogopa fimbo angekua mwingine angewachoma
 
I wish wadada wangekua wanatoa stories zao kama hivi lakini wengi hujifanya watakatifu while nyuma ya pazia kuna mambo ya kutisha
Hongera mtoa mada nikitulia nitaleta kisa changu
Watakatifu dot com walijitunza wakamaliza degree zao wakaolewa wakiwa bikra ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Jamaa mzembe sana mkojo tu kwenye glasi taxibega biashara asubuhi kabisa
 
Mlikuwa na roho mbaya sana. mtu kutoboka kote huko hata kumpa one night moja hakuna.
 
Sijui baba yako alikuwa anajisikiaje.... Dah
Ila maisha bana. Ukisikia mtoto wako wa kiume anatembeza rungu mtaani wala huoni haya.

Ila kwenye haya mambo ukisikia watoto wako wa kike hawajatulia unasikia fedheha sana.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sister Ako alichakatwa sema alikuficha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe mkuu miyeyusho ujaanza leo mbabaishaji sana et leteee wigiii
 
Wadangaji family!
Daaah ni wengi mkuu hata Mimi Kuna ndugu zangu wapo hivyo Tena wakaribu tu kisa kulelewa na single Maza kwaiyo simshangai wanawake wote wadangaji Ila tofauti ni njia ya udangaji ๐Ÿคฎ๐Ÿคš๐Ÿคš
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ