Mwamba alivyojimaliza mwenyewe baada ya kugundua kuwa watoto aliezaa na mkewe sio wa kwake

Risasi tano kichwani😂😂😂 atakua alipigwa
 
Kaka risasi kichwani kwa kujipiga hivi unaifahamu risasi lakini? Kama alipigwa upo sawa
 
hadith yako nzuri na inafundisha.ila hapo kwenye kujipiga risasi tano za kichwa tuache kidogo.RISASI YA KICHWA UWA MOJA TU.UKIONGEZA YA PILI WEWE MWANAUME
 
Hii chai kabisa lakin nowdays trending ni watoto kuwa na mababa wawili had watatu na wote wanahudumia mtoto mmoja
 
Acha story
 
Chai ya wazi risasi 5 za wapi ukutani 🤣🤣🤣🚴🚴🚴
 
Mijitu inakurupuka hata kupima uongo na ukweli haijui
Risasi 5
Mimba ziliingia baada ya yy kuolewa [emoji28]
 
Ya kutunga!
Kuna kipengele umekikosea...Kwamba mgonjwa(mtoto) anaongezewa dam aliyochangia babake?? [emoji1]..hii hua inatokea kwenye emergency life saving situation tu na WHO iko against hii kitu. Kawaida Dam inayochangiwa na ndugu wa mgonjwa ama wazazi sio dam anayowekewa mgonjwa coz kuna vipimo vingi lazma vifanyike kujiridhisha kua dam n salama.
NB; mtoto sio lazma afanane group la dam na babaake. Kuna vipimo maalum vya kuangalia Vinasaba.
Naomba kuwasilisha.
 
Ila kwenye group la damu la mtoto sio lazima lifanane na baba au mama, genetics ya form four hiyo.
 
That's why baba kujua DNA ya watoto lazima iwe haki yake coz wanawake wana privilege ya kujua kila wanayemzaa mwanaye; wanaume hawajui. Hizi sheria za kubana kupata DNA za kipuuzi na haiwahusu serikali; wanaume ni haki yao kujua.
 
Mpuuzi sana huyu mleta mada
 
Risasi tano kichwan inaweze
 
humu kuna watu wanajua kusoma na kuandika tu ila kichwani ni weupe sana

kundi la damu lina mahusiano gani na mzazi ingekuwa hivyo tungekuwa tunapimwa damu na sio vinasaba

yaani mpangilio wa paragrafu unaweza sema jamaa ni msomi sana kumbe mpumbavu

hata damu ujawah kutoa, hosp kuna akiba ya damu sio ukitoa mtu anawekewa hapo hapo pumbavu ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…