Mwamba alivyojimaliza mwenyewe baada ya kugundua kuwa watoto aliezaa na mkewe sio wa kwake

Mwamba alivyojimaliza mwenyewe baada ya kugundua kuwa watoto aliezaa na mkewe sio wa kwake

Watu hawajasoma biology...huwa wananikera sana mtu ameshupaza shingo eti ukikuta mtt sio group ya damu ya mzazi sio wake...hajui mfano baba ana A positive mama ana AB,,,mtoto anaweza akatoka na group lake
Watu hawajasoma biology...huwa wananikera sana mtu ameshupaza shingo eti ukikuta mtt sio group ya damu ya mzazi sio wake...hajui mfano baba ana A positive mama ana AB,,,mtoto anaweza akatoka na group lake kabisa...
ww ndo hujasoma bioz mkuu hapo mtoto lazima atoka na Grupu A au AB fullstop AO AA AB
 
Achana kwanza na hizo risasi tano, bro siku nyngne ukitaka kutunga stori jaribu kuwa consults basi waliosoma maana naona ulikimbia umande alokwambia lazima ufanane blood group na babako nani??? Daah kazi ipo[emoji1783][emoji119][emoji119]
kama unatumia phenotype n sawa lkin ukisema utumie genetype lazma achukue moja kwa baba mfano haiwezekan mwanamke grup AB na mwanaume grup AB wapate mtoto ambaye ana grup A au B au O.......piah haiwezekan mwanamke grup O na mwanaume grup A wapate mtoto grup AB au grup B......inshort kbla ya DNA inabid ufanye hizo genetic cross ambazo zinaweza kukuthinitishia mtoto sio wako .......lkn hazithibitish kuwa pia mtoto n wako incase mwanamke alichepuka na mwanaume ambaye mnakaribiana au manafanana grup la damu🤕🤒😷
 
Aloo dunia ina mengi!

Mwamba alianza kwa kunyanyua vyuma, mwili ukawa jumba na mtaani akawa anatisha. Vijana wakamuogopa na vichuchu vikampenda. Kazi alikuwa nayo nzuri tu, hivyo kila mchuchu alieingia chumbani kwake alihitaji aishi nae.

Anyway jamaa kwa vile umri umesogea, ikabidi ateue mchuchu mmoja kati ya wengi aliolala nao akaowa. Harusi ilifana mambo yakaenda vyema, na baada ya miezi kadhaa mchuchu ukadaka kiumbe. Imeenda hadi miezi 9 akajifungua babe boy. Mwamba akaongeza mapenzi kwa binti hasa baada ya kuona mkewe kamzalia kidume cha kusimamia mali zake na familia yake hapo baadae.

Mungu akajaalia jamaa akalenga tena binti akadaka kiumbe na baada ya miezi 9 akatoka babe girl. Furaha ya mwamba ikawa ni zaidi ya hii ninayoisimulia hapa.

Watoto walikuwa wazuri wa rangi na sura. Walionekana zaidi kufanana na mama kwa 80% , maana mama alikuwa mzuri kisha mweupe pee.

Wakapanga wazae kizungu, hivyo hawakutaka kuongeza mtoto wa tatu wala wa nne. Watoto wakalelewa kisasa kwa kutumia maziwa ya kopo ili yale ya mama yabaki kutumiwa na baba (watu wazima wanaelewa)

Baada ya miaka kadhaa yule boy akiwa darasa la tatu katika shule moja ya bei na yenye hadhi ya watoto wa wakubwa na wa kishua, na girl akiwa darasa la kwanza.

Mapenzi yakiwa motomoto huku mwamba akiwa ashamjengea mkewe jumba la kifahari (kwa sasa linaishi wazazi wa mkewe) kama asante ya kumzalia watoto wale aliowapenda kwa moyo wake wote. Ghafla babe boy akaanza kuumwa, kwa vile pesa ipo basi mtoto akapelekwa katika hospital bora kupata matibabu.

Bila kutarajia wakaona hali inazidi kuwa mbaya, mtoto hali, hanywi mwili ukaanza kuishiwa nguvu na maji mwilini.

Mwamba akamhamisha his son kwa hospital nyingine yenye ubora zaidi. Hali ikaendelea na mtoto akaanza kupungukiwa damu. Hivyo ikashauriwa inabidi mtoto aongezewe damu kisha ndio aendelee na matibabu. Baba akasema yupo tayari kutoa damu kwa ajili ya kidume chake hicho kimoja cha mbegu.

Ikahitajika vipimo mbali mbali vya damu ili kuona kama magroup yao ya damu yanaendana, na pia baba Hana magonjwa nk (wale waliowahi kuchangia damu hospital wananielewa zaidi).

Baada ya vipimo vya kina ikaonekana kuwa group la baba sio lake hivyo anahitajika baba mzazi original ndo aje atoe damu. Mwamba akashtuka na kuwambia madaktari kuwa yeye ndio baba halali wa mtoto huyo na kwamba mtoto hana baba mungine yeyote zaidi yake yeye. Madaktari wakaendelea kusisitiza kwamba vipimo vinaonesha kuwa yeye na huyo mtoto hawana uhusiano wowote, hivyo damu yake pia haiwezi kuwa na msaada wowote kwa mtoto.

Mwamba na mkewe wakapandwa ghadhabu na kuamua kumhamisha mtoto wao katika hospital nyingine. Pia kule wakakuta tatizo la ukosefu wa damu ni kubwa hivyo inabidi tu aongezewe damu. Baba akasema atamtolea damu mwanae. Baada ya vipimo na huku nako wakakuta hola. Yani hakuna uhusiano wowote kati ya mwamba na mtoto. Hapo jamaa akaanza kuona ukweli wa zile taarifa za damu kwa hospital zote mbili. Alichofanya akakurupuka bila kumwambia mkewe kuwa anakwenda wapi. Hadi nyumbani na kukachukua kale kabinti kake walikokuwa wamekaacha na dada wa kazi hadi katika hospital nyingine kupima damu. Vipimo pia vikaonesha kuwa na huyu hawaendani kwa lolote wala chochote.

Mwamba akawasha gari hadi hospital na kumwambia mkewe ambae alikuwa ashakubali kuchangia dam kwamba waende nyumban mara moja. Mke akiwa na hofu wakaenda hivyo hivyo hadi home. Na jamaa kumtaka mkewe amweleze ukweli kuhusu watoto.

Mke alijaribu kuficha ficha ila baada ya jamaa kumtolea bunduki na kumwambia kwamba kama haongei ukweli atampasua kichwa, ikabidi amwambie ukweli kuwa kuna dogo fulan ambae walikuwa nae kwenye uhusiano toka udogoni mwake yani enzi za kimama mama, shule wakajikuta wameandikishwa darasa moja maana walikuwa majirani ila kijana alikuwa anamshinda binti mwaka mmoja tu.

Hivyo pamoja na kwamba aliolewa lkn bado alishindwa kuishi bila kupata penzi la yule kijana. Cha kushangaza kijana alikuwa anatwanga kitambo, ila watoto wameingia pindi tu baada ya binti kuolewa na huyo mumewe.

Mwamba baada ya kupata hizo taarifa hakutaka kumdhuru yule binti, alichofanya akajifanya amemsamehe na kumuomba kuwahi hospital kumtolea mtoto damu.

Ile binti anatoka, jamaa akaamua kujipiga risasi tano kichwani. Mke alipofika alikuta mfanyakazi analia, ile kuingia ndani anakuta maiti ya mumewe ikiwa sakafuni.

Ama kweli kuishi kwingi ni kuona mengi.
Boya kweli
 
Mkuu Fortyseven blood group AO ndo group gani hilo la damu? kama una maana atapata bbood group O huoni tayari huyu ameform group lake??
hahaha blood group A n phenotype ukiona mtu ni A maana yake huyo anaweza kuwa AO au AA positive or negative
 
Aloo dunia ina mengi!

Mwamba alianza kwa kunyanyua vyuma, mwili ukawa jumba na mtaani akawa anatisha. Vijana wakamuogopa na vichuchu vikampenda. Kazi alikuwa nayo nzuri tu, hivyo kila mchuchu alieingia chumbani kwake alihitaji aishi nae.

Anyway jamaa kwa vile umri umesogea, ikabidi ateue mchuchu mmoja kati ya wengi aliolala nao akaowa. Harusi ilifana mambo yakaenda vyema, na baada ya miezi kadhaa mchuchu ukadaka kiumbe. Imeenda hadi miezi 9 akajifungua babe boy. Mwamba akaongeza mapenzi kwa binti hasa baada ya kuona mkewe kamzalia kidume cha kusimamia mali zake na familia yake hapo baadae.

Mungu akajaalia jamaa akalenga tena binti akadaka kiumbe na baada ya miezi 9 akatoka babe girl. Furaha ya mwamba ikawa ni zaidi ya hii ninayoisimulia hapa.

Watoto walikuwa wazuri wa rangi na sura. Walionekana zaidi kufanana na mama kwa 80% , maana mama alikuwa mzuri kisha mweupe pee.

Wakapanga wazae kizungu, hivyo hawakutaka kuongeza mtoto wa tatu wala wa nne. Watoto wakalelewa kisasa kwa kutumia maziwa ya kopo ili yale ya mama yabaki kutumiwa na baba (watu wazima wanaelewa)

Baada ya miaka kadhaa yule boy akiwa darasa la tatu katika shule moja ya bei na yenye hadhi ya watoto wa wakubwa na wa kishua, na girl akiwa darasa la kwanza.

Mapenzi yakiwa motomoto huku mwamba akiwa ashamjengea mkewe jumba la kifahari (kwa sasa linaishi wazazi wa mkewe) kama asante ya kumzalia watoto wale aliowapenda kwa moyo wake wote. Ghafla babe boy akaanza kuumwa, kwa vile pesa ipo basi mtoto akapelekwa katika hospital bora kupata matibabu.

Bila kutarajia wakaona hali inazidi kuwa mbaya, mtoto hali, hanywi mwili ukaanza kuishiwa nguvu na maji mwilini.

Mwamba akamhamisha his son kwa hospital nyingine yenye ubora zaidi. Hali ikaendelea na mtoto akaanza kupungukiwa damu. Hivyo ikashauriwa inabidi mtoto aongezewe damu kisha ndio aendelee na matibabu. Baba akasema yupo tayari kutoa damu kwa ajili ya kidume chake hicho kimoja cha mbegu.

Ikahitajika vipimo mbali mbali vya damu ili kuona kama magroup yao ya damu yanaendana, na pia baba Hana magonjwa nk (wale waliowahi kuchangia damu hospital wananielewa zaidi).

Baada ya vipimo vya kina ikaonekana kuwa group la baba sio lake hivyo anahitajika baba mzazi original ndo aje atoe damu. Mwamba akashtuka na kuwambia madaktari kuwa yeye ndio baba halali wa mtoto huyo na kwamba mtoto hana baba mungine yeyote zaidi yake yeye. Madaktari wakaendelea kusisitiza kwamba vipimo vinaonesha kuwa yeye na huyo mtoto hawana uhusiano wowote, hivyo damu yake pia haiwezi kuwa na msaada wowote kwa mtoto.

Mwamba na mkewe wakapandwa ghadhabu na kuamua kumhamisha mtoto wao katika hospital nyingine. Pia kule wakakuta tatizo la ukosefu wa damu ni kubwa hivyo inabidi tu aongezewe damu. Baba akasema atamtolea damu mwanae. Baada ya vipimo na huku nako wakakuta hola. Yani hakuna uhusiano wowote kati ya mwamba na mtoto. Hapo jamaa akaanza kuona ukweli wa zile taarifa za damu kwa hospital zote mbili. Alichofanya akakurupuka bila kumwambia mkewe kuwa anakwenda wapi. Hadi nyumbani na kukachukua kale kabinti kake walikokuwa wamekaacha na dada wa kazi hadi katika hospital nyingine kupima damu. Vipimo pia vikaonesha kuwa na huyu hawaendani kwa lolote wala chochote.

Mwamba akawasha gari hadi hospital na kumwambia mkewe ambae alikuwa ashakubali kuchangia dam kwamba waende nyumban mara moja. Mke akiwa na hofu wakaenda hivyo hivyo hadi home. Na jamaa kumtaka mkewe amweleze ukweli kuhusu watoto.

Mke alijaribu kuficha ficha ila baada ya jamaa kumtolea bunduki na kumwambia kwamba kama haongei ukweli atampasua kichwa, ikabidi amwambie ukweli kuwa kuna dogo fulan ambae walikuwa nae kwenye uhusiano toka udogoni mwake yani enzi za kimama mama, shule wakajikuta wameandikishwa darasa moja maana walikuwa majirani ila kijana alikuwa anamshinda binti mwaka mmoja tu.

Hivyo pamoja na kwamba aliolewa lkn bado alishindwa kuishi bila kupata penzi la yule kijana. Cha kushangaza kijana alikuwa anatwanga kitambo, ila watoto wameingia pindi tu baada ya binti kuolewa na huyo mumewe.

Mwamba baada ya kupata hizo taarifa hakutaka kumdhuru yule binti, alichofanya akajifanya amemsamehe na kumuomba kuwahi hospital kumtolea mtoto damu.

Ile binti anatoka, jamaa akaamua kujipiga risasi tano kichwani. Mke alipofika alikuta mfanyakazi analia, ile kuingia ndani anakuta maiti ya mumewe ikiwa sakafuni.

Ama kweli kuishi kwingi ni kuona mengi.
Sasa Kwa nini asimuue na huyo mwanamke na yeye kujiua? Unamuacha ana peta tuu kwani wanawake Huwa wanajali Sasa,wao Wana focus ya mbele tuu.

Mwisho hii ni chai kama Chai zingine na sijui utaalamu upi unasema blood group ya mtoto lazima ifanane na ya baba.
 
yote yapo ndugu kuna magrup ya damu kama ifatavyo AA AO BB BO AB O positive or negative
Mi kusoma kote biology nimeambulia 4main blood groups A,B,AB and O
Then kuna -ve na +ve kwenye hizo group...ndo unaweza kucross sasa phenotypicaly na genotypicaly...
 
Risas ya kwanza tu kichwani ya pili huwezi kutoa. Dj tuletee wa mchaichai
download (7).jpeg
 
Mi kusoma kote biology nimeambulia 4main blood groups A,B,AB and O
Then kuna -ve na +ve kwenye hizo group...ndo unaweza kucross sasa phenotypicaly na genotypicaly...
hizo ni maini kama ulivosema na phenotypically lkin genotypically A ni either AA au AO na B ni either BB au BO AB ni haibadiliki ni AB na O ni O
 
hizo ni maini kama ulivosema na phenotypically lkin genotypically A ni either AA au AO na B ni either BB au BO AB ni haibadiliki ni AB na O ni O
Basi watoto wakikuuliza ili usiwachanganye zaidi waambie group ni A,B,AB and O
Then ukiingia ndani kwenye crossing ndo utakutana na kina AA,n.k
 
Kwanza mtu anawezaje kujipiga risasi tano kichwani? Labda ungesema tumboni au kifuani lakini sio kichwani.

Kichwani risasi moja au mbili tu, hutoweza kufyatua nyengine.
 
Uyu mtu ameuwawa sio kawaida kujidunga risasi tano kichwani, sema kastori kako katamu sana
 
Back
Top Bottom