Mwambienix2 mali yake ishaliwa

Mwambienix2 mali yake ishaliwa

Huyu dada dish limeyumba ameachwa na bwana ake mwingine. Ana watoto 3 kila mmoja na baba yake na wamemwachia yeye kila kitu kuhusu watoto. Watu tumejaribu kumbeba beba habebeki. Sasa amechanganyikiwa.
Mkubwa
Kiufupi unamchanganya dada wa watu.
Hebu kayajenge inbobo tuunde kamati ghafla bin vuu🤣
 
Mkubwa
Kiufupi unamchanganya dada wa watu.
Hebu kayajenge inbobo tuunde kamati ghafla bin vuu🤣
Huyu tatizo alilianzisha mwenyewe. Kuna mambo nlishamwambia yeye kwa upuuzi wake akawa anawapigia simu mademu wangu wa zamani. Wengine wakamjibu hovyo akaleta mzozo nikaamua niachane naye baada ya demu mmoja humu kuandika suala langu na lake na mtoto. Ikawa issue. Tatizo la mademu wa JF wanaleta kila habari humu then wanaanza pigana vijembe humu. Mimi huwa nawapiga chini wote tu.
 
Huyu tatizo alilianzisha mwenyewe. Kuna mambo nlishamwambia yeye kwa upuuzi wake akawa anawapigia simu mademu wangu wa zamani. Wengine wakamjibu hovyo akaleta mzozo nikaamua niachane naye baada ya demu mmoja humu kuandika suala langu na lake na mtoto. Ikawa issue. Tatizo la mademu wa JF wanaleta kila habari humu then wanaanza pigana vijembe humu. Mimi huwa nawapiga chini wote tu.
Naam naunga mkono hoja apelekwe tiba ya saikolojia kwanza.

Anacharuka mno doh
 
Huyu tatizo alilianzisha mwenyewe. Kuna mambo nlishamwambia yeye kwa upuuzi wake akawa anawapigia simu mademu wangu wa zamani. Wengine wakamjibu hovyo akaleta mzozo nikaamua niachane naye baada ya demu mmoja humu kuandika suala langu na lake na mtoto. Ikawa issue. Tatizo la mademu wa JF wanaleta kila habari humu then wanaanza pigana vijembe humu. Mimi huwa nawapiga chini wote tu.
Ntoe contacts zake basi coz namtaka
 
Mwambieni mwambieni , Mali yake ishaliwa oh apunguze kampeni Jimbo lishachukuliwa .

Mungu amekupa msitiri pambe achana na wanoko wa hapa ndani wengine wanakosa kula wanaleta masikitiko kweny mapenzi ya watu.

Mwaka uzidi kukuendea vzuri love akikuacha yeye atakuja mwingine mbona pambe tu.
 
Huyu dada dish limeyumba ameachwa na bwana ake mwingine. Ana watoto 3 kila mmoja na baba yake na wamemwachia yeye kila kitu kuhusu watoto. Watu tumejaribu kumbeba beba habebeki. Sasa amechanganyikiwa.
So hana tofauti na ex wa sugu??[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom