Mwami Theresa Ntare VI wa Heru - Chifu wa kwanza mwanamke

Mwami Theresa Ntare VI wa Heru - Chifu wa kwanza mwanamke

Ahsante mkuu. Lakini nadhani (kama kumbukumbu yangu ipo sahihi) palikuwa na Sykes wawili na wote walihusika katika harakati hii. Sijui kama walikuwa ndugu. Naweza kuwa wrong, lakini pia nimeona kuna mdau anasema palikuwa na mtu anaitwa Abdul Sykes. I blame mfumo wa elimu yetu.
Rubaman,
Ikiwa huijui historia ya akina Sykes katika juhudi za ukombozi wa Waafrika wa Tanganyika hutoweza kuchangia chochote katika mjadala huu.
 
Rubaman,
Ikiwa huijui historia ya akina Sykes katika juhudi za ukombozi wa Waafrika wa Tanganyika hutoweza kuchangia chochote katika mjadala huu.
Nadhani sio sahihi. Wengi hapa hatujui historia yote ya kina Nyerere zaidi ya tulichosoma Primary katika Siasa na historia. Hatujui challenges zote walizopitia, hata hivyo hilo halituzuiwii kuchangia huu mjadala.
 
Rubaman,
Nadhani hii post yangu imekufungulia mlango wa kuijua historia ya uhuru wa Tanganyika.
 
We had alot of appetite the reason why parties were formed.
Nyerere was already groomed by the system thus he was all over the independence tire.

The phenomena that happened in Tanzania happened to other African countries as well. For ex
Jamani hakuna haja ya Malumbano au kuonyeshana umwamba wa nani anajua historia ya nchi yetu. Tukubaliane kwamba palikuwa na watu waliomtangulia Nyerere katika harakati za kudai uhuru. Ni jambo lisilopingika. Hata ukikumbuka enzi Mkoloni wa kijerumani na hata kabla ya kipindi cha Sultani mababu zetu walionyesha nia yao ya kuwa huru, kuendeleza himaya zao bila kuingiliwa na wageni, hivyo wakaanza kupigana na hawa wavamizi wa himaya yao. Na hawa kina Mkwawa, Milambo,kina Mangi, Kinjekitile na nisiokumbuka wanahitaji kutajwa kama waanzilishi wa harakati hizi hata kama walikuwa hawajui kusoma wala kuandika kama kina Nyerere, Mwami Theresa Ntare ambao walitumia Elimu ya Mkoloni dhidi ya Mkoloni. Nadhani sote tunakumbuka kusoma historia ya vita ya Maji Maji ambayo ilitokea miaka michache kabla ya vita ya kwanza ya Dunia na miaka mingi kabla ya kuzaliwa kina Nyerere, Mwami Theresa Ntare nk. Hawa mababu zetu nadhani wangepewa sifa Fulani pia. Kitu ambacho nacholaumu ni mfumo wa elimu yetu ya kumpa all credits Nyerere na kusahau kwamba palikuwa na mamia na maelfu ya wengine walioshiriki. Inaweza kuwa sio kosa la Nyerere personally nadhani alitumia charismatic, convincing, negotiation personality yake kuwa kama kiongozi wa harakati. Nadhani ni sawa na yaliyotokea kwa Mandela, Martin Luther King nk. Sio kwamba wao harakati za kudai haki, uhuru zilianzishwa na wao bali walikuja kuwa Leading Figures katika harakati hizo. Tofauti wenzetu (South Africa, USA) wanawapa credits wote walioshiriki bega kwa bega na hawa leaders, sisi ni Nyerere, Nyerere, Nyerere tu. Sijui kama hao waliotajwa Sykes, Mwapachu,Rupia, Bomani wana hata uchochoro ulipewa majina yao, Majengo yenye majina yao? Yaani ni kama hawakuwahi kulitumikia hili Taifa letu kubwa. Inasikitisha..

The main issue I see here is that there was a deliberate efforts to equate Tanganyika independence to a military revolution struggles of some sort. In these types of struggles having a charismatic leader matters. However, when we talk about the independence of Tanganyika, the struggle of independence had a different dimension in the sense that it was a democratic process in a very diverse country rooted in tribal traditions. For example, how could Nyerere convince tribesmen from difference regions and backgrounds vote for him or his party? Currently, we can assume that he was a charismatic leader. But, in 50s that wasn't the case at all. Think about this. Today, 50years after independence, majority of members of parliament are voted along regional and tribal lines.
 
Mzuvendi,
Nakuwekea hapo chini post ambayo niliiweka hapa siku ziizopita.
Nadhani kuna ndani yake kitu cha kujifunza:

Umuhimu wa Abdul Sykes ulianza Burma akiwa katika 6th Battalion ya KAR
wakati wa Vita Kuu ya Pili (1938 - 1945).

Hapo ndipo alipowaeleza askari wenzake umuhimu wa kuunda chama cha siasa
kuwaondoa Waingereza Tanganyika.

Wakati huo Abdul alikuwa na umri wa kiasi cha miaka 23 hivi.
Angalia hiyo picha yake hapo chini akiwa Burma:

CIMG2281.JPG


Ukipitia Tanganyika Intelligence Gazette kuanzia 1950 hizi ni taarifa
za kikachero za Waingereza zikiandikwa na Special Branch utaona
habari za Abdul akiwa Dar es Salaam na mikoani alikokuwa akipita
kuongea na viongozi wa TAA kuhusu hali ya baadae ya Tanganyika.

Moja ya taarifa hizi ambazo mimi ninayo ni ni safari ya Abdul Sykes
ya Kanda ya Ziwa aliyofanya mwaka wa 1952 akiwa Katibu na Kaimu

Rais wa TAA kukutana na Paul Bomani na kisha kuelekea Uganda.
Lakini kabla ya hapa mwaka wa 1950 Abdul Sykes alifanya mkutano
na Jomo Kenyatta na kundi lake la kina Paul Ngei, Kungu Karumba,
Bildad Kaggia
na wengine Nairobi agenda kuu ikiwa kuunganisha nguvu
za Waafrika wa Tanganyika na Kenya kupambana na Waingereza.

Huu ulikuwa wakati wa Mau Mau.
Nimeeleza habari hizi kwa kirefu kwenye kitabu chake.

Mimi sikulaumu kuwa wewe hujui historia hii.

Utaijuaje ikiwa haikupatapo kuandikwa hadi nilipoiandika na kitabu kuchapwa
Uingereza mwaka wa 1998?

Tatizo lako ndugu yangu Nguruvi3 ni kuwa unataka kuleta ubishi katika jambo
ambalo wewe huna ujuzi nalo.

Katiba iliyoandikwa na wazee wangu mwaka wa 1950 ipo.

Abdul Sykes
kaieleza katika taarifa yake kwa wanachama wa TAA (Angalia:
Annual Report of the Secretary of Tanganyika African Association, 7 January,
1951 Sykes' Papers).

Cranford Pratt katika kitabu chake ''Critical Phase in Tanzania,'' kaieleza na
kaisifia (Angalia: Cranford Pratt, The Critical Phase in Tanzania 1945-1968,
Cambridge University Press, London, 1976, uk. 29-31.)

''Document'' hii hutoweza kuiona popote pale kwa sababu hata Tanzania National
Archives (TNA) imenyofolewa jalada liko tupu.

Hata kwenye maktaba yake ya ''microfilm,'' pia imeondoshwa.
Halikadhalika katika Maktaba ya CCM Dodoma jalada pia liko tupu.

Nimepata kuandika kuhusu, ''Lost Documents,'' naitafuta hii paper nikiipata nitaileta
barzani In Shaa Allah.

Leo sishangai kwako wewe kunitaka mimi nikupe ushahidi wa katiba iliyoandikwa
na wazee wangu mwaka wa 1950.

Wakati tunahariri mswada wa kitabu kulikuwa na ubishani mkubwa kati yangu na
wachapaji kwa kuwa neno nililoandika ni kuwa nyaraka hii ya katiba ''imeibiwa.''

Mhariri hakupenda neno hili na akasema niseme, ''imepotea,'' au ''haionekani.''
Isiwe ''imeibiwa.''

Nguruvi3,
Nimekupa ushahidi wa katiba iliyoandikwa na wazee wangu waliokuwa katika
TAA Political Subcommittee.

Document hii ilijadiliwa katika mkutano mkuu wa TAA 1954 mkutano uliounda
TANU na mwaka wa 1955 Nyerere alisoma yaliyokuwa katika ''document,'' hii
UNO mbele ya Kamati ya Udhamini.

Ikiwa hujaridhika na haya niliyokueleza mimi nipo hapa In Shaa Allah nasubiri.
Bahati mbaya unachoshwa na kusoma vitabu.

Thanks for sharing this information with me. Oscar Kambona motivated me to look at our history from a very different perspective. After Kambona returned home he mentioned that when the colonial officers asked Nyerere to quit his political activities or loose his job, initially Nyerere chose to keep job. He changed his mind only when others in the movement decided to support him. This is quite the opposite to what we had been taught in school.
 
Mzuvendi,
Nitashukuru kama utatupatia majina ya hao "others in the movement."

Lakini ninachojua mimi kitu kilichompa nguvu Mwalimu Nyerere kuamua kujiuzulu kazi ni matokeo yaliyofuatia safari ya UNO 1955.

Naingia Maktaba In Shaa Allah nitakuwekea historia yote ya safari ya UNO.
 
Mzuvendi,
Nitashukuru kama utatupatia majina ya hao "others in the movement. "

Lakini ninachojua mimi kitu kilichompa nguvu Mwalimu Nyerere kuamua kujiuzulu kazi ni matokeo yaliyofuatia safari ya UNO 1955.

Naingia Maktaba In Shaa Allah nitakuwekea historia yote ya safari ya UNO.
Tunaisubiria...
 
Thanks for sharing this information with me. Oscar Kambona motivated me to look at our history from a very different perspective. After Kambona returned home he mentioned that when the colonial officers asked Nyerere to quit his political activities or loose his job, initially Nyerere chose to keep job. He changed his mind only when others in the movement decided to support him. This is quite the opposite to what we had been taught in school.
I like the way you put things together. Nadhani kuna mambo mengi ambayo hatuyajui na labda hatutayajua sababu kila kitu kipo kipolitics badala ya kuwa informative.Mfano mkoloni wa Kiingereza alipochukuwa Tanganyika baada ya WWI hatukufundishwa resistance(vita) ya mababu zetu vs Mwingereza kama vile walivyofanya kwa Mjerumani, linguine hatukufundishwa/kuelezwa (shuleni) kuwako na vyama vyingine hasa Tanganyika vilivyokuwa vinaendesha harakati za kugombea uhuru bar TAA/TANU. Nachokumbuka kusoma ni kuwepo kwa vyama zaidi ya ASP Zanzibar ambavyo navyo viliendesha harakati tofauti za kugombea uhuru. Kuna mtu anakumbuka(anajua) kama Tanganyika palikuwa na vyama vyingine zaidi ya TAA/TANU kabla/baada ya uhuru? I would like to think others had different views to TAA/TANU back then.

Mohamed Said
 
Rwanda, Urundi na Tanganyika si zilikua nchi moja yote yanawezekana tu hapo.
Isitoshe jamii zinazoishi mipakani zinaingiliana na nchi jirani iko hivyo Mtwara na Msumbiji, Ruvuma, Mbeya na Malawi, Songwe, Rukwa na Zambia, Mara, Arusha na Kenya, Kigoma, Ngara, Karagwe na Rwanda / Burundi/Congo lkn linapokuja kuhusu Kigoma mara nyingi linachukuliwa with special and unique interest.

Vv
 
I like the way you put things together. Nadhani kuna mambo mengi ambayo hatuyajui na labda hatutayajua sababu kila kitu kipo kipolitics badala ya kuwa informative.Mfano mkoloni wa Kiingereza alipochukuwa Tanganyika baada ya WWI hatukufundishwa resistance(vita) ya mababu zetu vs Mwingereza kama vile walivyofanya kwa Mjerumani, linguine hatukufundishwa/kuelezwa (shuleni) kuwako na vyama vyingine hasa Tanganyika vilivyokuwa vinaendesha harakati za kugombea uhuru bar TAA/TANU. Nachokumbuka kusoma ni kuwepo kwa vyama zaidi ya ASP Zanzibar ambavyo navyo viliendesha harakati tofauti za kugombea uhuru. Kuna mtu anakumbuka(anajua) kama Tanganyika palikuwa na vyama vyingine zaidi ya TAA/TANU kabla/baada ya uhuru? I would like to think others had different views to TAA/TANU back then.

Mohamed Said
Rubaman,
Sijui umekusudia nini kusema, ''kipolitics,'' na ''informative.''
Noamba ufafanuzi.

Unasema hii ndiyo sababu ''hatujui,'' na ''hatutayajua baadhi ya mambo.
Umetoa mfano kwa dhana ya ''resistance,'' ya babu zetu kuwa inafundishwa.

Binadamu hafundishwi kuwa huru hili ningependa ulizingatie hakuna shule
inafundisha mtu kutaka kuwa huru katika nchi yake mwenyewe.

Ninachokiona kwako ni kuwa na uniwie radhi, hujui historia ya uhuru wa
Tanganyika.

Imetokea kuwa huyu anayeandika hapa ameandika kitabu cha historia ya
TANU uhuru wa Tanganyika, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924
- 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in
Tanganyika,'' (London 1989) na ameshiriki katika kuandika historia ya Zanzibar
akiwa Mtafiti Msaidizi wa Dr. Harith Ghassany mwandishi wa kitabu ''Kwaheri
Ukoloni Kwaheri Uhuru.''

Hakuna kisichojulikana nakushauri usome vitabu hivi.

i9kvYbC_3fn_BXtQxXIyX0UZoQV7vqncU7quS_2FzgIMGpJF-fKs-fXesFw7KSoKJqAOkYDmICWbSlhGrkJ_Pqc8eg7PntQuaDtF8REpoL6KsRz65g68mdfQnArVHhy9ewxzxZkJqd08wIArKhhJm3n7dQfZKxX_Q8a6NEtgUE91yn37GHf6GmSJOdvRgdsRZdQmdC1gT5tbb4ahknBWn90nSPtQYfrAc-pMrIQRBUtH6wh3EgSjzb_IXB4R3ExkacEHEku8Y6S1Qdn_LHSp-FHM1OLyOTlT1yscBrhKNYcgbCEfTRvospKYKMbOHA-TuzqLH8r3QbZnM_oOnOAYl0JcYBAkbrLsG6MqcncLGZ0K12lIrbaZpOOZQWoLxHS7iLZE1S1-rok5EAOF8ejPkjPft8tUywKjhgZz2_qHB7WlMb4dtbeNuE1qyq8j4ZP0YEqeQZAlIgKUs8JzeTxQQ88fUiAwLO9IId5Cbl1UFH-gsJVyK3i-XphkJxQHKlg9VxdbnyMHMAr9Y3MymmYDpyzvxWGpY_CcpMAnvQ_6dXJhI44KdnMT37fMIryDn1JOjtfSDpARZkaVV4k1E49LV27PC2fjggeIh6PnG7w=w855-h632-no


Unaweza kusoma muhtasari wa historia hii hapo chini:
Mohamed Said: WALIFIKAJE TAREHE 7 MWEZI WA SABA 1954 NA KUASISI TANU?
 
Mzuvendi,
Nitashukuru kama utatupatia majina ya hao "others in the movement. "

Lakini ninachojua mimi kitu kilichompa nguvu Mwalimu Nyerere kuamua kujiuzulu kazi ni matokeo yaliyofuatia safari ya UNO 1955.

Naingia Maktaba In Shaa Allah nitakuwekea historia yote ya safari ya UNO.

Based on Kambona's words, he was one of the people who went to visit Nyerere in Butihama and convinced him that the party will be able to support him if he resigns from his teaching position. Additionally, Kambona mentioned that after the meeting, he (Kambona) went around the country to rise money that could cover some of Nyerere's expenses. I believe this story was also published in some media in 1990s and nobody took an effort refute it. So I believe that there's some truth to what Kambona said.
 
I like the way you put things together. Nadhani kuna mambo mengi ambayo hatuyajui na labda hatutayajua sababu kila kitu kipo kipolitics badala ya kuwa informative.Mfano mkoloni wa Kiingereza alipochukuwa Tanganyika baada ya WWI hatukufundishwa resistance(vita) ya mababu zetu vs Mwingereza kama vile walivyofanya kwa Mjerumani, linguine hatukufundishwa/kuelezwa (shuleni) kuwako na vyama vyingine hasa Tanganyika vilivyokuwa vinaendesha harakati za kugombea uhuru bar TAA/TANU. Nachokumbuka kusoma ni kuwepo kwa vyama zaidi ya ASP Zanzibar ambavyo navyo viliendesha harakati tofauti za kugombea uhuru. Kuna mtu anakumbuka(anajua) kama Tanganyika palikuwa na vyama vyingine zaidi ya TAA/TANU kabla/baada ya uhuru? I would like to think others had different views to TAA/TANU back then.

Mohamed Said

Our system of education wasn't designed to produced thinkers. And what's worse is our independence didn't entail individual liberty which guarantee your right to question authority and be critical.
 
Based on Kambona's words, he was one of the people who went to visit Nyerere in Butihama and convinced him that the party will be able to support him if he resigns from his teaching position. Additionally, Kambona mentioned that after the meeting, he (Kambona) went around the country to rise money that could cover some of Nyerere's expenses. I believe this story was also published in some media in 1990s and nobody took an effort refute it. So I believe that there's some truth to what Kambona said.
Mzuvendi,
Nakushauri usome kitabu cha Abdul Sykes ni muhimu sana ili ujue
hali ya siasa ilikuwaje mwaka wa 1955 pale New Street TANU Office.

Bahati mbaya sijasoma makala ya Kambona kuwa alitembea majimboni
kutafuta fedha kwa ajili ya TANU.

Ninachofahamu mimi ni mara moja tu mwaka wa 1953 ambapo TAA ilifanya
safari nchi nzima kuchangisha fedha kwa wananchi na waliokuwa katika
msafara ule walikuwa Saadan Abdu Kandoro, Japhet Kiliro na Abbas
Sykes
.

Ninachokijua mimi ni kuwa TANU ilikuwa na wafadhili wakuu wanne John
Rupia, Dossa Aziz
na Abdul na Ally Sykes na mshahara wa Baba wa
Taifa
ulilipwa kutoka michango ya wafadhili hawa.

zNgNIOHAE2kiJAPZWU6b6coQ0ptnniAIZI8QorR9UEd--Yx9OT0PAfD44-SSaKbGwuMc_jkVMQ5O4fB3zwzQUuLQP7Zo46X4V7i5LbCL9JM1WzWxTzcmZbD4TJrnbsTebC4tAiZ9jG7N9a0iDwM-7mVzaDbNwbSYxYw7MTnOQW9PVj5ri9CpxpbOuoCWLgzG4tSLXJ58oBxAfkpoiILSO89-P7om5w_HRvCIxqAI-eSL3pWGkks6prpp426U79U9gHQKAntA5J8k1FQ2C2PhEeyBR668hFO7-k4ihviNOIaW3A2cW2v6CuPC4nAbBmUSTdTNlJhV93xUjMOKkRWyq7s8SLg1BUDPFG6B7pQoGWQHOAvHyxMtneYHJE-QpqJ84hpYD8RjF3bapcTR5GmFHaugX8mANaRJtHhEB2Jh-8TdgGTCic5PJv-0F1V19qnzlI1usdSnzzWmPRVEhMP0TfSl9Rl6Wy95Z7pEe6tSXPhj6r-3YU4dbEWpdaH5Dhwdki9NWBqKFqaKImDPmR0Wmu--MXiid53LJWpIce2HZXwmTMPTPErUuTuy9DHOS8PPzYjlHAF6PaeY9lUC2CfVAR-_vbCketyfoYaOhs4=w480-h349-no
 
Mzuvendi,
Nakushauri usome kitabu cha Abdul Sykes ni muhimu sana ili ujue
hali ya siasa ilikuwaje mwaka wa 1955 pale New Street TANU Office.

Bahati mbaya sijasoma makala ya Kambona kuwa alitembea majimboni
kutafuta fedha kwa ajili ya TANU.

Ninachofahamu mimi ni mara moja tu mwaka wa 1953 ambapo TAA ilifanya
safari nchi nzima kuchangisha fedha kwa wananchi na waliokuwa katika
msafara ule walikuwa Saadan Abdu Kandoro, Japhet Kiliro na Abbas
Sykes
.

Ninachokijua mimi ni kuwa TANU ilikuwa na wafadhili wakuu wanne John
Rupia, Dossa Aziz
na Abdul na Ally Sykes na mshahara wa Baba wa
Taifa
ulilipwa kutoka michango ya wafadhili hawa.

zNgNIOHAE2kiJAPZWU6b6coQ0ptnniAIZI8QorR9UEd--Yx9OT0PAfD44-SSaKbGwuMc_jkVMQ5O4fB3zwzQUuLQP7Zo46X4V7i5LbCL9JM1WzWxTzcmZbD4TJrnbsTebC4tAiZ9jG7N9a0iDwM-7mVzaDbNwbSYxYw7MTnOQW9PVj5ri9CpxpbOuoCWLgzG4tSLXJ58oBxAfkpoiILSO89-P7om5w_HRvCIxqAI-eSL3pWGkks6prpp426U79U9gHQKAntA5J8k1FQ2C2PhEeyBR668hFO7-k4ihviNOIaW3A2cW2v6CuPC4nAbBmUSTdTNlJhV93xUjMOKkRWyq7s8SLg1BUDPFG6B7pQoGWQHOAvHyxMtneYHJE-QpqJ84hpYD8RjF3bapcTR5GmFHaugX8mANaRJtHhEB2Jh-8TdgGTCic5PJv-0F1V19qnzlI1usdSnzzWmPRVEhMP0TfSl9Rl6Wy95Z7pEe6tSXPhj6r-3YU4dbEWpdaH5Dhwdki9NWBqKFqaKImDPmR0Wmu--MXiid53LJWpIce2HZXwmTMPTPErUuTuy9DHOS8PPzYjlHAF6PaeY9lUC2CfVAR-_vbCketyfoYaOhs4=w480-h349-no

Where can I buy the book? I don't live in Tanzania. Now with regard to Kambona's narrative, if my memory saves me well, Kambona said that he (Kambona) or people in the movement visited various places and collected approximately 10,000 shillings. After the tour, they went back to Nyerere and told him "Here is the money, please quit your job". If I am not mistaken again, for this effort Kambona visited Kilimanjaro areas.

May be Kambona was laying.
 
Where can I buy the book? I don't live in Tanzania. Now with regard to Kambona's narrative, if my memory saves me well, Kambona said that he (Kambona) or people in the movement visited various places and collected approximately 10,000 shillings. After the tour, they went back to Nyerere and told him "Here is the money, please quit your job". If I am not mistaken again, for this effort Kambona visited Kilimanjaro areas.

May be Kambona was laying.
Mzuvendi,
Please try Amazon.
 
View attachment 682298

HISTORIA YETU
[HASHTAG]#MWAMI[/HASHTAG] THERESA NTARE- MALKIA WA WAHA NA CHIFU MWANAMKE WA KASULU

Alipata nafasi ya kwenda kusoma Ulaya enzi ukoloni nafasi maalum za watoto wa machifu.Alihitimu mafunzo ya ya sheria.Alikuwa msaada mkubwa sana wa kisheria wakati wa kudai Uhuru,hasa kwenye mikataba ya kimataifa.
Mengi hayajulikani katika historia ya utoto wa Mwami Theresa Ntare, lakini inaaminika alikuwa mtoto wa kike pekee wa Chifu Ntare. Inaelezwa kwamba Mwami Thereza Ntare alitawazwa uchifu baada baba yake Mwami Ntare kukosa mtoto wa kiume. Baada kutawazwa uchifu ilibidi atafutiwe mchumba kutoka ukoo wa Chifu Lusimbi wa Kalinzi hivyo akawa ameolewa na kijana wa kitutsi kutoka Kalinzi akiitwa Bw. George Shinganya.

Kulingana na mila za Kiha, Mwami haolewi. Akiolewa inabidi ahame milki yake ya Uchifu ili akawe mke wa huyo muoaji. Hivyo basi, Mwami Ntare hakuolewa na Bw. George Shinganya. Bali familia ya Mwami ndiyo iliyolipa mahari kwa familia ya Bw. George Shinganya. Hivyo, Jina la Shinganya likaondolewa na akaitwa George Ntare.

Baadaye ndoa ya Mwami Theresa Ntare na George ilivunjika na Mwami Theresa Ntare akaoana na Mwami Louis Dantes Ngua wa Ufipa(Huyu ana asili ya uchifu wa Ufipa). Kuna nadharia zinazoeleza pia kuwa Mwami Theresa Ntare alipata pia kuwa mke wa Chifu Makwaia wa Usukuma. Lakini hakuna ushahidi wowote juu ya hilo.

Wakati wa zama hizo jamii nyingi za Kiafrika zilitajwa kuwaweka nyuma wanawake hasa katika masuala ya Uongozi. Hilo halikumfanya Mwanamama Mwami Theresa Ntare asiweze kuongoza vizuri na kishupavu jamii yake ya Waha wa Heru huko Kasulu.

Hakuishia hapo, mama huyu aliweza kushika wadhifa mkubwa ambapo alikuwa ni Mkuu wa machifu wote Tanganyika akipokea kijiti kutoka kwa Chifu Petro Itosi Marealle mwaka 1958. Makabidhiano yalifanyika shule ya sekondari ya Mzumbe, na mpaka sasa Mzumbe kuna bweni linaitwa Ntare.

Mwani Theresa Ntare aliheshimika kama chifu wa Kasulu yote na sio tu Heru alisimamia vyema msimamo wa Baraza la Machifu mwaka 1958 na kuunga mkono juhudi za TANU katika kudai uhuru.

Mwami Theresa Ntare alikuwa ni mmoja ya Wabunge wachache wa Baraza la Kutunga Sheria la Tanganyika kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika.

Aliendelea kuwa Mbunge mpaka miaka ya 1980, lakini kabla ya hapo aliachia uchifu Disemba 9, 1962, Katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam nchini Tanganyika. Hapo alikaribishwa kama Malkia wa Heru kwa Ngoma Maalumu kutoka Ngome ya Malkia wa Heru kwa heshima kubwa.

Inaelezwa alifariki miaka ya 1990 na mara ya mwisho alikuwa akiishi maeneo ya karibu na barabara inayoelekea Munyegera - Kati ya ilipo shule ya msingi na Kahaga Dispensary (kulikuwa na soko hapo kati miaka ya 1985).

Kwa sasa Mwami wa Heru ni Costa Shinganya au Ntare ambaye ni mtoto wa kwanza wa Mwani Theresa Ntare.

Kuna wanaosema Mbunge wa Kigoma mjini, ndugu Zitto Ruyagwa Kabwe ndiye hasa Mwami wa Waha wote. Lakini hili ieleweke yeye amepewa heshima tu ya Mwami Mpole aliyejulikana kama Ruyagwa.

Huyu ndiye Mwami Theresa Ntare VI, Malkia wa Heru kuanzia 16 Aprili, 1946 mpaka 9 Novemba, 1962.
Matukio mawili yaliyowatokea yeye na Baba wa Taifa ni:
Walizaliwa mwaka mmoja 1922,wamefariki mwaka mmoja1999.
Huyu mama naye noma, mabwana wangapi kazungushia kibindoni?
 
Back
Top Bottom