Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Huo upana na siri ndipo utapeli unapo jifichia.
 
Mganga sio mtumishi wa bwana ila Mwamposa ni mtumishi wa mungu pindi anapofanya cha tofauti lazima tujiulize Mara mbili mbili usi mfananishe Mtume mwamposa na mganga
[emoji849][emoji849][emoji849]
 
NI SUALA LA MUDA TU,
WATAOKOLEWA NA MUDA NA SIO MTUME WALA NABII.
KUNA MUDA FAHAMU ZITARUDI, AKILI ITARUDI INGAWA MUDA UTAKUA UMEKWENDA
 
Mimi kuna ndugu yangu nilimsaidia issue flani ivi akaenda kumshukuruku mwamposa kwa maombi yake kujibiwa , namwangaliaga tu ata sielewi kichwa chake kipoje.
Hao watu (hasa wanawake) wakishaenda kwa Mpwamposa kuna kitu anawatilia kichwani, sio bure! Kuna jamaa yangu mmoja yupo huko miaka 2 sasa, ukimuona ni zaidi ya CHIZI. Utamhurumia sana.
 
Wajinga ndio waliwao, yani ukaushe account yake ukajaze kwenye account ya mwenzako? Mbeya Mbalizi amejenga hotel ya hatarii, kanunua kijiji na mtaa mzima, hivi serikali haiwezi kuingilia utapeli huu kwa kivuli cha jina la Yesu?
 
Wajinga ndio waliwao, yani ukaushe account yake ukajaze kwenye account ya mwenzako? Mbeya Mbalizi amejenga hotel ya hatarii, kanunua kijiji na mtaa mzima, hivi serikali haiwezi kuingilia utapeli huu kwa kivuli cha jina la Yesu?
Kwa kuwa wanajipeleka wenyewe sidhani kama serikali inaweza kuthubutu kuingilia kati jambo kama hili.
 
Hao watu (hasa wanawake) wakishaenda kwa Mpwamposa kuna kitu anawatilia kichwani, sio bure! Kuna jamaa yangu mmoja yupo huko miaka 2 sasa, ukimuona ni zaidi ya CHIZI. Utamhurumia sana.
Hatari sana
 
Ani hawa watu sijui hata wanalishwaga nini!! Wakukute sasa unamuongelea vibaya huyo Mwamposa wao uone watakavyokuonea huruma watakwambia una mapepo😂😂😂
 
Ani hawa watu sijui hata wanalishwaga nini!! Wakukute sasa unamuongelea vibaya huyo Mwamposa wao uone watakavyokuonea huruma watakwambia una mapepo😂😂😂
Kweli kabisa. Yaani wao wanajiona wako sahihi 101%.
 
Ila ndugu zangu wakristo mjitafakari
 
Mimi kuna ndugu yangu nilimsaidia issue flani ivi akaenda kumshukuruku mwamposa kwa maombi yake kujibiwa , namwangaliaga tu ata sielewi kichwa chake kipoje.
Walalahoi wengi hasa wanawake wanatapeliwa sana na Mwamposa. 99% ya wafuasi wake ni wanawake. Sijui hawa viumbe wanakwama wapi hadi wakubali kutapeliwa kirahisi hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…