HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Akatende miujiza vijiji kwao kwanza ndiyo waje na mikeshaAmani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Kondoo mtaliwa sana, shenz taipHadi uwe na Imani, kitendo cha kwenda Kawe kanisani kwake maana yake unaamini utapona lakini si yeye kutembelea wagonjwa hospitalini kwa sababu sio wote wanaoamini.
Apostle kuna muujizaKondoo mtaliwa sana, shenz taip
😀 😀 😀, huku mpesa ya mwamposa inasoma miamala tuApostle kuna muujiza
Vp kesho daktari anaingia wodini anakuta wodi ipo empty wagonjwa wametimkia kawe, wote watapona?Hadi uwe na Imani, kitendo cha kwenda Kawe kanisani kwake maana yake unaamini utapona lakini si yeye kutembelea wagonjwa hospitalini kwa sababu sio wote wanaoamini.
No no pls huwezi kuwafananisha na TBJoshua,plsAmani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Hapana nipo nyumbn mapenzi yanataka kuniuwa......Monetary doctor tupe updates, nadhani sasa hivi uko bega kwa bega na mmoja kati ya wawili hao.
Wakiamini kuna uponyaji, hakika watapona woteVp kesho daktari anaingia wodini anakuta wodi ipo empty wagonjwa wametimkia kawe, wote watapona?
TB Joshua alikuwa na maajabu gani hadi kufuka hizo level unazozisema?No no pls huwezi kuwafananisha na TBJoshua,pls
Ni kweli assignment zao ni tofauti tena sn, lkn Bado sn kufikia level zile
Kwa Africa no thank u, aisee hujaijua Africa Mungu ana watu🙌🙌 ambao Hawa hawana hizo level
Sura za kitapeli kama Mr. DudeAmani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Sijasikia popote duniani kama watu wa dini wanatakiwa kutatua tàtizo la ajira kwenye nchi zao.Waendesha mikesha wakae pamoja na serikali waangalie wanatatua vipi ukosefu wa ajira
Dunia hii wenye shida unajua idadi yao na wako wapi hadi Mwamposa akawatembelee?Kwanini sasa asiende kutembelea wenye shida badala yake anataka wenye shida wamfuate ili awaponye???????!!!!! kwanini huyu tapeli asiingie hata hapo Muhimbili atende miujiza????!!!!
KumanyokoWewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
Mwamposa huyu aliye lazwa Aghakhan?Wewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
Walimtapel nanIko open kabisa hao ni matapeli