Mwamposa and Clear Malissa; The next giant ambassadors of Heaven in Africa after T.B Joshua.

Mwamposa and Clear Malissa; The next giant ambassadors of Heaven in Africa after T.B Joshua.

Hadi uwe na Imani, kitendo cha kwenda Kawe kanisani kwake maana yake unaamini utapona lakini si yeye kutembelea wagonjwa hospitalini kwa sababu sio wote wanaoamini.
Vp kesho daktari anaingia wodini anakuta wodi ipo empty wagonjwa wametimkia kawe, wote watapona?
 
Amani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046

Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.

Nawasilisha.
No no pls huwezi kuwafananisha na TBJoshua,pls
Ni kweli assignment zao ni tofauti tena sn, lkn Bado sn kufikia level zile
Kwa Africa no thank u, aisee hujaijua Africa Mungu ana watu🙌🙌 ambao Hawa hawana hizo level
 
No no pls huwezi kuwafananisha na TBJoshua,pls
Ni kweli assignment zao ni tofauti tena sn, lkn Bado sn kufikia level zile
Kwa Africa no thank u, aisee hujaijua Africa Mungu ana watu🙌🙌 ambao Hawa hawana hizo level
TB Joshua alikuwa na maajabu gani hadi kufuka hizo level unazozisema?
 
Kwanini sasa asiende kutembelea wenye shida badala yake anataka wenye shida wamfuate ili awaponye???????!!!!! kwanini huyu tapeli asiingie hata hapo Muhimbili atende miujiza????!!!!
Dunia hii wenye shida unajua idadi yao na wako wapi hadi Mwamposa akawatembelee?
Muhimbili watu hawaeñdi kumwabudu Mungu wanaenda kutibiwa. Ukitaka uponyaji wa Mungu unaenda kwa Mwamposa.
Hata waganga wa kienyeji wapo ila hujawahi pendekeza nao waende muhimbili wakaponye watu maana nao wanatibu kwa mazingaombwe na watu hujaa huko kutsfuta tiba.
 
Back
Top Bottom